Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Sasa Garder ataishije hapa mjini mtoto soft kama yule?,milango yake ya ridhiki Lady JD ameshaifunga
Ngoja wapemba na waarabu wafanye yao
mwekundu hujaanza kutafuta namba yake ili ukabe gap hata kwa huu mda wa mpito?🙈🙈
 
Last edited by a moderator:
Mziwanda hajaachwa, jana usiku Shilole kapost video IG wako ktandan wanawatakia usiku mwema..

Mziwanda si anapenda kulelewa ndio maana anazidi kungangania kukosea akosee shilole msamaha anaomba yeye...ashakubali kuwa kuna vidume vinamsaidia kupiga ze duduz.ile siku ya ugomvi na geti akafungiwa hamna kuingia ndani...

Shilole mwenyewe keshajisemea kupenda mwanaume asie na pesa ni kipaji,

kuna picha moja ya wawili hawa na shilole alivyojichubua ukiwaona utadhan Nuhu yuko na Bibi yake mzaa baba.
 
Mziwanda si anapenda kulelewa ndio maana anazidi kungangania kukosea akosee shilole msamaha anaomba yeye...ashakubali kuwa kuna vidume vinamsaidia kupiga ze duduz.ile siku ya ugomvi na geti akafungiwa hamna kuingia ndani...

Shilole mwenyewe keshajisemea kupenda mwanaume asie na pesa ni kipaji,

kuna picha moja ya wawili hawa na shilole alivyojichubua ukiwaona utadhan Nuhu yuko na Bibi yake mzaa baba.

Aiseee....
Bibi mzaa baba..!!
 
Nimesikitishwa sana na hii habari!
 
Gadna kaona atamaliza maziwa yake, anatwanga papuchi hakuna matunda~mtoto
 
Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa karibu sana.

chanzo cha kuvunjika ndoa hiyo bado hakijajulikana moja moja kwa moja ila wawili hao wamekuwa katika migogoro kwa muda.. na si mara ya kwanza kutengana ila this time hali si shwari. yazidi kusemekana kaka Gardner kazidi michepuko amekua haibi tena anafanya bayana mpaka mwenye mali anajua anavyoibiwa.

kudhihirisha hayo katika ukurasa wake wa IG dada jide ameandika "Walking Away From Troubles" ambapo umbepuzi yakinifu waonesha
mambo si sawa hata kidogo.

Gardner kabla ya kumuoa Jide alikua tayari na mke halali wa ndoa na mtoto mmoja.
Kama ni kweli basi nimeamini Muosha huoshwa,huyu Jide si alikuwa mchepuko wa Gardener,hadi jamaa akamuacha mke wake kwa ajili ya Jide,Jide alifikiri anayo ya dhahabu kuwa jamaa ataacha michepuko?kama alivyomsumbua yule mama na yeye yanamkuta yale yale.
 
Kama ni kweli basi nimeamini Muosha huoshwa,huyu Jide si alikuwa mchepuko wa Gardener,hadi jamaa akamuacha mke wake kwa ajili ya Jide,Jide alifikiri anayo ya dhahabu kuwa jamaa ataacha michepuko?kama alivyomsumbua yule mama na yeye yanamkuta yale yale.

Karma is a bi---ch
 
Tutasikia mengii hapo utakuta hana hata nyumba mwanaume unamtegemea mkeo akafanye kazi sasa kule Kenya, ila Jide anampenda G nahis atamrudia

Yani ukitoa Mungu na mzazi wake next ni Gadner Jide anampenda sana G na Gadner naye kavumilia mengi jamani Jide mtata sana yule pure Kurya.
 
Yani ukitoa Mungu na mzazi wake next ni Gadner Jide anampenda sana G na Gadner naye kavumilia mengi jamani Jide mtata sana yule pure Kurya.

Lakini Jide katulia sana hata kama ni mtata lazima asipende mambo ya kipuuzii
 
Mimi lile liRange Rover sijui linaitwa nini?La Jide au Gadner?Ndiyo yaleeee ya kupeana zamu kuendesha.
 
Back
Top Bottom