mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
na juzi nyingine tu hapa Jay dee alipost picha moja akiwa mwenye huzuni na kama mtu anataka kulia maana machozi yalikua yanalenga machoni na kuweka ujumbe "Sijui Nisemaje"
najaribu kuzidi Ku connect dots.
Siku hizi mupenzi na wewe umo kwenye ufukunyuku na uchokonozi!!
Lakini hivi visa vyote kwa sababu mdada hazai ofcoz