Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Very sad. Kanye si alijiunga na dini ya shetani? Amuombe shetani amsaidie kwenye kipindi hiki kigumu
Thubutu shetani yeye ni mzee wa bata tu kelele za msaada kwake hazina nafasi anakutema asubuhi mapema kama hamjuani vile. Nireteeni gwajima.
 
Bey wala hana moyo wa kumvumilia Hov kwa uchafu wake.
Bey kinacho mcost anaish km divah so haitaji skendo au crush, ndo maan anakuwa prop na ndoa.

Yaan kwa uchafu wa Hov hakna mwanamke atavumilia ni vile bas tyuuuh Bey hana namna.
Ndo maana nikakwambia ni mfia ndoa, hawezi chomoka pale, why? ndoa, mke watu[emoji1745][emoji1745]
 
Hapo kwa language, me sijaelewa, niliishia la 4 B
Ukitaka kuelewa hapo kwa language, inabidi ukuje unifuate gheto ukiwa na daftari lako la mistari mikubwa na midogo.

Wewe uje na Kichongeo chako, Kalamu ya kuandikia tayari mimi ninayo.

Kichongeo Chako kitaichonga hii Kalamu Yangu mpaka ichongoke wima, kisha nitaliandika daftari lako na kukufundisha mpaka utaelewa.
 
๐Ÿ˜€ kama vile wanaishi pamoja na Queen Elizabeth II ndani ya Buckingham Palace
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora niendelee kutojua hiyo language.
 
Hata hivyo wamejitahidi sana kudumu kwa muda mrefu
 
Duh! Shetani kajibu maombi yake; ameanzia kwenye ndoa. Mwisho wa siku ataitaka roho ya Kanye baada ya kumdhoofisha kila idara. Shetani noma sana.
roho ya nani itabaki milele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ