Halafu wewe sema mke bora hapa uje ukute mimi mwanaume kamili๐๐๐๐๐Wape ushauri bana najua wewe umejawa na hekima + mke bora [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
๐๐๐๐๐๐Halafu wewe sema mke bora hapa uje ukute mimi mwanaume kamili๐๐๐๐๐
Thubutu shetani yeye ni mzee wa bata tu kelele za msaada kwake hazina nafasi anakutema asubuhi mapema kama hamjuani vile. Nireteeni gwajima.Very sad. Kanye si alijiunga na dini ya shetani? Amuombe shetani amsaidie kwenye kipindi hiki kigumu
Hata wao kuta wametoshana nguvu tuinabidi kila mtu awe mpole.Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Hahahaha....Halafu wewe sema mke bora hapa uje ukute mimi mwanaume kamili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajuaje Obama na Michelle hawavumiliani?Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
Hahahaha....
Unajua kwenye ku type tu unaweza mhisi jinsia ya mtu humu jf
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Pouwa babe,Vipi baeeh, [emoji7][emoji7][emoji7]
Ndo maana nikakwambia ni mfia ndoa, hawezi chomoka pale, why? ndoa, mke watu[emoji1745][emoji1745]Bey wala hana moyo wa kumvumilia Hov kwa uchafu wake.
Bey kinacho mcost anaish km divah so haitaji skendo au crush, ndo maan anakuwa prop na ndoa.
Yaan kwa uchafu wa Hov hakna mwanamke atavumilia ni vile bas tyuuuh Bey hana namna.
Ukitaka kuelewa hapo kwa language, inabidi ukuje unifuate gheto ukiwa na daftari lako la mistari mikubwa na midogo.Hapo kwa language, me sijaelewa, niliishia la 4 B
๐ kama vile wanaishi pamoja na Queen Elizabeth II ndani ya Buckingham PalaceHahahahaha wewe ni mwehu Yaan umenifanya nimecheka balaaa
Huwa tunawafatilia ujue ni mastar wakubwa
Sasa ungewakuta kina Nalendwa wanavyosimulianaa habari za queen Wa Uk si ungechoka Yaan wanajua utafikiri wanaishi mle kwenye kingdom ya malkia elizabeth ๐๐
Ndo hicho tyuuuh Bey anataka status isomeke "Married ".Ndo maana nikakwambia ni mfia ndoa, hawezi chomoka pale, why? ndoa, mke watu[emoji1745][emoji1745]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora niendelee kutojua hiyo language.Ukitaka kuelewa hapo kwa language, inabidi ukuje unifuate gheto ukiwa na daftari lako la mistari mikubwa na midogo.
Wewe uje na Kichongeo chako, Kalamu ya kuandikia tayari mimi ninayo.
Kichongeo Chako kitaichonga hii Kalamu Yangu mpaka ichongoke wima, kisha nitaliandika daftari lako na kukufundisha mpaka utaelewa.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Pouwa babe,
Mwaaah! [emoji6]
Hata hivyo wamejitahidi sana kudumu kwa muda mrefuView attachment 1671448
Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian yapumulia mashine na kutaka kutalakiana. Kwa mujibu wa media za Marekani kwa muda Sasa ndoa yao Haina afya nzuri na ilidhoofu kwa kiasi kikubwa mwaka 2020 ambapo mastaa hao wamekuwa wakiishi Kila mtu kwake huku Kim akiwa na watoto
Kwa mujibu wa taarifa Kim hasa ndie anataka waachane baada ya mambo kumshinda ila anataka waachane kwa amani sio migogoro kwani wameshajaribu kwenda mapumzikoni pamoja na hata kwenda kupata ushauri maalum kuipa afya ndoa yao lakini mambo ndio yameonekana kutibuka zaidi Kim tayari ameripotiwa kumchukua mwanamama Laura ambaye Ni mwanasheria maarufu wa migogoro ya mastaa ili aweze kumsaidia suala hilo kuimaliza ndoa kwa amani
Sio kweli. Ulishamsoma Michelle alivyokuwa analalamika kuw Obama alikuwa anakoroma anavyta sigara soksi zinanuka etc?Ndoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.
[emoji3] kama vile wanaishi pamoja na Queen Elizabeth II ndani ya mule Buckingham Palace
roho ya nani itabaki milele?Duh! Shetani kajibu maombi yake; ameanzia kwenye ndoa. Mwisho wa siku ataitaka roho ya Kanye baada ya kumdhoofisha kila idara. Shetani noma sana.
unajuaje kama hao uliowataja kama nao wanaishi kwa kuvumiliana tu ama laNdoa ni Obama na Michelle tu nyingine zote ni kuishi kwa kuvumiliana tu.