Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Wasalaam WanaMMU.

Nyuzi kuhusu ndoa kuwa ni chungu, yenye mateso zimekuwa ni nyingi sana humu jukwaani.

Leo nimeona nitoe Ushuhuda wa maisha yangu ya ndoa ndani ya miaka 8. Kwangu mimi ndoa imekuwa ni baraka sana na yenye furaha.
Imaliziwe imaliziwe. Tunasubkria mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu sijui huwa wanaharakia wapi kuweka mavitu yao ya itaendelea....
Watu wengi ambao huwa mnalaumu kuhusu hili huwa najua hamjawahi kuandika thread ndefu humu ndio mana

Ila kama ushawahi kuandika ni kawaida sana ili kuepusha kupoteza. Ukiandika ndefu sana bila kupost inacolapse na inabidi uanze upya tokea mwanzo. Hamjui tu ugumu wake ndomaana hata sie wengine huwa napost vipande vipande halafu naedit kuliko kurisk kupoteza nguvu bure
 
Nasikia harufu ya kuja kuombwa mchango wa kifurushi.

Kama alivyolialia konda msafi kwenye story ya Khumbu, mpaka wana JamiiStory wakapitisha Daftari La Mchango. Story ya Khumbu ilikua na Episod nyingi kuliko hata Etugrul au Sultan, acha kabisa.
😂😂😂 Sema jamaa alijitahidi kusimulia na kuimaliza kabisa. Tofauti na kina LwandaMagere na Chizi Maarifa hawakumaliza kabisa story zao.
 
Watu wengi ambao huwa mnalaumu kuhusu hili huwa najua hamjawahi kuandika thread ndefu humu ndio mana

Ila kama ushawahi kuandika ni kawaida sana ili kuepusha kupoteza. Ukiandika ndefu sana bila kupost inacolapse na inabidi uanze upya tokea mwanzo. Hamjui tu ugumu wake ndomaana hata sie wengine huwa napost vipande vipande halafu naedit kuliko kurisk kupoteza nguvu bure
Mkuu ukiwa na kisa kirefu ni vyema ukiandike kando kadiri ya urefu wake, halafu unakuwa unaweka episodes zake hapa...

Kuandika kisa chote pembeni pia kunatoa fursa ya kufanya uhariri
 
Mnapoona mtu kaleta stori yake msiwe mnachangia iangaluen TU had pale mleta mada atakapo itoa yote ndio muanze kukoment

Ona Sasa mna vyopata taabu na mleta uzi anawachora tu maisha ya jf n tofaut na kitaa wengi mnaamin stori za humu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ukiwa na kisa kirefu ni vyema ukiandike kando kadiri ya urefu wake, halafu unakuwa unaweka episodes zake hapa...

Kuandika kisa chote pembeni pia kunatoa fursa ya kufanya uhariri
Hahahaa nakusoma mkuu unachomanisha na pia sie anatuacha na uraibu.

Ila nilikua nasimulia story of my life yanayonikutaga mpk muda mwingine unaacha kabisa kupost kwa hasira. Sijui inatokeaga nini tu kitu inafutika yote yan😂😂😂😂😂
 
Nasikia harufu ya kuja kuombwa mchango wa kifurushi.

Kama alivyolialia konda msafi kwenye story ya Khumbu, mpaka wana JamiiStory wakapitisha Daftari La Mchango. Story ya Khumbu ilikua na Episod nyingi kuliko hata Etugrul au Sultan, acha kabisa.

Mnapenda story ila mnataka vya bureeeee.. hivi kukaa na kuandika ni jambo jepesi jamani mnafikiri?!
 
Back
Top Bottom