Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Ukweli ni kuwa, pamoja na kuwa na karibia kila kitu kwa wakati huo lakini sikuwa na amani ya moyo. Familia yako ina nafasi kubwa sana katika kuchangia furaha yako.

Sijapata nafasi ya kujumuika na familia kwa kipindi cha zaidi ya miaka minne sasa. Hata kwa simu ni kuwasiliana nao ni mara moja moja tu. Mdogo wangu wa kike niliwahi kukutana naye kwa kumtembelea shuleni.

Mapenzi ya mbali yana changamoto sana. Mawasiliano pekee hayatoshi. Tena haswa kwa binti kidoshi kinachotamaniwa na wanaume wengi. Uwepo wako ni muhimu sana kwa afya ya mahusiano yenu. Mawasiliano yaanza kupungua, kisingizio ni kuwa yupo busy sana na masomo. Mimi pia nilikuwa busy haswa mchana, lakini jioni nilipata muda walau wa kuwasiliana naye.

Mwanzoni sikuwa na hiyana. Aliposema nipo busy niliamini kweli yupo busy. Lakini sasa imezidi kiwango. Wasiwasi unanianza. Nilipata kuwafahamu marafiki zake. Hivyo nilianza kudadisi.

Ukweli ni kuwa alipata mwanaume mwingine mtoto wa Mkubwa. Mapenzi yanauma sana Wakuu. Tena haswa ukijua kuwa ulifanya kila uwezalo kuhakikisha unamtunza. Kila mwisho wa mwezi nilikuwa nikitoa kiasi cha pesa kutoka kwenye mshahara wangu kwa ajili yake. Lakini nyumba aliyokuwa akiishi nilimuachia mimi na kila kodi ikitakiwa nalipa.

Sikuwa na majukumu wala sikuwa mtu wa anasa. Kwa hiyo hela nilikuwa nayo. Akitaka, sikuwa nafikiria hata mara mbili. Namsawazishia.
Hela haikuniuma sana, ila muda mwingi na matarajio yangu juu yake.

Napata safari ya kurudi Dar kwa mafunzo ya siku nane. Akili yangu yote ilikuwa kwa binti. Naanza mafunzo. Nilijitahidi sana kutoruhusu hisia ziniongoze, wala sikumjulisha ujio wangu.
Siku namaliza mafunzo nikasema nikamtembelee. Kwa kuwa hapo ni kama kwangu, hata kodi nalipa mimi na mkataba umeandikishwa kwa jina langu.

Nimefika hayupo. Nikamuomba jirani yake amuambie aje kwa dharura. Akajidai bado yupo darasani, discussion. Akamuomba kwa muda mchache tu.

Huyo kafika na mwanaume wake. Anashangaa anakutana na mimi. Manina, analeta mwanaume kwenye ninapopalipia?
Hello Restart!.
Restart: Fungua, tuingie ndani.

Wewe ni nani umuambie mwanamke wangu afungue? Sikumjibu kitu.
Mwanamke akamvuta pembeni. Alichomuambia eti mimi ni Ex wake bado nang'ang'anizia kuwa naye.

Jamaa akanifata kwa jazba. Unaachwa huachiki? Bro, hakuna anayekutaka. Ondoka kwa mwanamke wangu. Wala sikuwa na muda naye.

Nikamfata mwanamke nikampokonya ufunguo. Nafungua kuingia ndani. Nilipigwa bao la mgongoni, paaah!. Akanitukania mama yangu, mimi nina hasira sana. Niligeuka, nilimtandika ngumi moja ya haja.

Nikazama ndani, mwanamke akakimbia kwa jirani.
Wanamtuliza huyo dogo. Akanifata kutaka kunipiga. Hatokaa anisahau, nilimshughulikia haswa.

Kumbe mpuuzi alishapiga simu. Polisi hao. Nilipigwa mno. Baadae nikalala lock up siku nne.
Uzuri ni kuwa jirani alikuwa akileta chakula. Nikafunguliwa shitaka la kujeruhi. Walipoandikisha maelezo, nikageuza kibao kuwa yeye ndiyo kanivamia. Mwenye nyumba akaitwa, maelezo yake ana mkataba na mimi. Hao wengine hawafahamu.

Ikawa pona yangu. Lakini kazini sijafika bila kutoa taarifa yeyote. Kufatilia wakafahamu nipo kituoni. Mkuu wa tawi akaja na kunidhamini. Kesi ilimalizwa juu juu.

Kazini nikalimwa barua ya kusimamishwa kazi kwa utovu wa nidhamu. Nimejeruhi na sijafika kazini bila taarifa.

Wiki mbili nilikuwa kwenye wimbi la mawazo, hasira na kupanga kisasi. Nimesalitiwa, nimepigwa na kazi nimesimamishwa. Ningekuwa na silaha ningeua.

Katika kipindi hiki, ndiyo nilijua umuhimu wa familia. Imagine, hakuna mtu wa kumuambia. Ni wewe na kichwa chako tu. Marafiki wanafika kukupa pole tu. Ila wengine wanakuona boya tu kupigana kisa mwanamke. Wao pia waliamini nalazimisha mapenzi.

Nilimua sasa kupageukia nyumbani. Nikawasiliana na mama yangu na ndugu zangu wa karibu. Nilianza kupata amani kubwa sana ya moyo. Vijana wa rika langu wana familia. Baada ya siku chache nikampigia mzee, kama kawaida yake 'rudi nyumbani mkeo anakusbiri'.

Baada ya kufikiria sana nikajitoa ufahamu nikasalimie nyumbani. Makusudio yangu ni ili kujisahaulisha tu na yaliyotokea.

Tofauti na mategemeo, nyumbani walinipokea kwa furaha. Kuna ile feeling unaipata ukirudi unapoamini wanakupenda. Kesho yake tu ndoa ya kimila. Sikuulizwa kama naridhia ama la!. Baba ndiyo mwisho wa yote.

Asubuhi, ng'ombe wakachinjwa, sherehe ikafanyika. Jioni yake ndiyo taratibu za kimila za kufungisha ndoa. Ndo mara yangu ya kwanza kumuona. Pale tunapolishwa maziwa kuashiria kuwa sasa mimi na yeye tu mme na mke.

Alikuwa binti mrembo kiasi chake, mwenye aibu.

Kesho yake mambo yakaendelea. Hatujawahi hata kukaa kuzungumza. Nikiri kuwa, akili yangu haikuwa hapo hata kidogo. Nilikuwa nafikiri juu ya kazi. Muda wote ni mtu wa mawazo.

Kipindi chote sijawahi hata kufikiria kulala naye. Alikuwa akiishi kwa mama yangu kwa kipindi chote cha miaka minne na miezi kadhaa. Alimpendeza sana mama yangu.
 
Maisha yakaendelea, angalau sasa sikai kwa upweke. Nipo na wenzangu lakini zaidi na familia yangu.

Kwa kuwa ni kipindi kirefu sijafika nyumbani, watu wengi pia siwafahamu. Watoto wengi wamezaliwa na wale wadogo wamekua.

Wengine wameoa na wana familia zao. Hivyo mizunguko ya hapa na pale kuwajulia hali na angalau kuwafahamu ilikuwa haiishi. Hali ile ilisaidia sana kuniondolea Stress.

Tangu nimefika, sijawahi kulala kwetu (kwa mama yangu). Nalala kwenye nyumba za wenzangu wa rika moja.

Nakutana na mke wangu, hawezi kuniangalia kwa aibu. Hata nikimsalimia sauti ni ya chini kabisa. Mimi pia hata ile hamu ya kumchukulia kama mke sikuwa nayo kabisa. Yaani kwangu ni kama mdogo wangu. Angalau kakua, ana miaka 19 sasa.

Mzee anakusanya tu taarifa ninapolala. Akajua sijawahi kulala nyumbani. Siyo kosa kutolala nyumbani, ila lazima ajue kama nimelala naye.

Asubuhi ya siku ya 6, akaniita. Akaniambia, miaka yote nimetembea binti kanisubiria. Ni ajabu sana nimefika nyumbani ila hata kulala na binti nimeshindwa. Watu wananishangaa na binti anafikiria vibaya. Hivyo nifanye namna nilale naye leo.

Tangu nimefika, binti analala pekee yake kwa mategemeo kuwa nitakuja kulala naye. Mimi nikifika, nachukua maji, naoga alafu naondoka. Nguo zangu anazifua siku zinasonga.

Mchana tena nikakutana na mama ambaye tunatiana tangu utotoni. Baada ya story nyingi, akanitania vipi ushaonja kimwana? Nikamuambia kitambo sana. Akaniambia au unaleta mambo ya Uswahili wenu? Akanitonya niichangamkie. Binti kavumilia sana.

Usiku ukawadia. Baada ya chakula cha jioni, tukazunguka zunguka na wenzangu. Muda wa kulala nikawaambia kuna mahali nitaenda kuangusha.

Nikafika nikajilaza zangu, binti alikuwa na mama bado. Nimefika tu usingizi ukanipitia. Baadae alikuja, wala sikumsikia.

Baadae kujigeuza geuza nikamshika mtu. Ndiyo akili ikasanuka kwamba leo nimelala na mwanamke. Nilikuwa muoga sana, mkono ni mzito sana kutaka kumgusa.

Baada ya kusubiri sana huku nikiwazua nimuingiaje, nikajaribu tena kumshika. Hakuwa amelala hata kidogo. Nilipomgusa anatetemeka balaa. Nikajua anaogopa.

Nikaondoa mkono kwa hofu kuwa hataki. Nimefikiria sana. Nikitaka kulala, usingizi hauji. Nikitaka kumuongelesha roho inasita kabisa.

Yeye ndiyo muoga zaidi. Hajigusi, hata pumzi kabana. Husikii hata akihema. Alikuwa akiniogopa sana.

Usingizi ukaenda mbali nami. Lakini bora yangu nilipata nafasi ya kulala kwa muda. Yeye hata tone hajalala, nikamuonea huruma.

Nikamwita Sindiyo (jina lake la ukweni), kwa sauti ya uoga na uchu akaitikia abee.
Nikamuuliza leo hulali? Akaniuliza mbona wewe hujalala?
Nikamueleza tu kuwa nawaza mambo ya kazini.

Hakuna aliyekua akijua kama nafanya kazi mkoani kwetu. Mpaka sasa hakuna ambaye anajua kuwa nimesimamishwa kwa sababu ya mapenzi na kupigana.

Akaniuliza, kwa nini nilikuwa simtaki? Hapo ndipo mazungumzo yetu yalipoanzia. Muda wote macho yapo darini, japokuwa ni giza hakuna aliyegeuza shingo kumuangalia mwingine. Alipokuwa akizungumza najidai kumchungulia lakini nikiwa na wasiwasi kuwa ananiona. Tuliongea sana na kujaribu kumuelewesha kwa kumdanganya kuwa haukuwa muda sahihi kwangu.

Akaniambia wala simpendi ndiyo maana hata sikutaka kukaa kuongea naye. Tangu nimekuja analala kwa kuvizia kuwa huenda nikaja muda wowote.

Nilijisikia mkosaji na ndiyo nikaelewa sababu ya yeye kutetemeka. Alikuwa akihitaji sana uwepo wangu.

Basi, akanieleza sasa tulale maana ameshanifahamu. Lakini walau hisia za kutaka kumkuna zimwshaanza. Nikamuuliza hakuna kingine? Kwa lugha ya kutaka nataka akasema hakuna. Nina hakika alisema hivyo huku akitabasamu.

Nikasogeza tena mkono anatetemeka sana bado. Nikamshtua, unaniogopa?? Hakujibu chochote. Ilikuwa muda wa saa tisa au kumi hivi.

Nikajitoa ufahamu nikamshika tena mkono nikaupandisha mpaka begani. Mtandao ukareact H. Sogeza kidogo kushukia kwenye mjongeo wa shingo. Nikateremka mpaka kwenye ziwa lake la mkono wa kulia, mnara ukanasa H+.
 
Ila ninyi wanaume si mngeenda kupambana na thread za tozo za miamala kule, chanjo na katiba mpya, Muanze kuweka harakati jinsi gani tutaandamana..!

Ni nini mnaanza kupambana na story za huku MMU eti..?? 😂 😂
Carleen!.

Swala la mapenzi ni swala la kila jinsia. Swala la tozo za miamala vivyo hivyo.

Kukaza shingo kwenye malalamiko kwenye swala la tozo hakupunguzi kiasi cha tozo.

Lakini, hapa pia tunatoa Ushuhuda wa maisha ya ndoa. Kuwapa wengine tumaini kuwa, ndoa ya amani na furaha inawezekana.
 
Carleen!.

Swala la mapenzi ni swala la kila jinsia. Swala la tozo za miamala vivyo hivyo.

Kukaza shingo kwenye malalamiko kwenye swala la tozo hakupunguzi kiasi cha tozo.

Lakini, hapa pia tunatoa Ushuhuda wa maisha ya ndoa. Kuwapa wengine tumaini kuwa, ndoa ya amani na furaha inawezekana.
Restart,
Endelea na story, I ain't even serious nilikuwa nawatania hao wanaolalamikia 'itaendelea'..!
 
Maisha yakaendelea, angalau sasa sikai kwa upweke. Nipo na wenzangu lakini zaidi na familia yangu.

Kwa kuwa ni kipindi kirefu sijafika nyumbani, watu wengi pia siwafahamu. Watoto wengi wamezaliwa na wale wadogo wamekua.

Wengine wameoa na wana familia zao. Hivyo mizunguko ya hapa na pale kuwajulia hali na angalau kuwafahamu ilikuwa haiishi. Hali ile ilisaidia sana kuniondolea Stress.

Tangu nimefika, sijawahi kulala kwetu (kwa mama yangu). Nalala kwenye nyumba za wenzangu wa rika moja.

Nakutana na mke wangu, hawezi kuniangalia kwa aibu. Hata nikimsalimia sauti ni ya chini kabisa. Mimi pia hata ile hamu ya kumchukulia kama mke sikuwa nayo kabisa. Yaani kwangu ni kama mdogo wangu. Angalau kakua, ana miaka 19 sasa.

Mzee anakusanya tu taarifa ninapolala. Akajua sijawahi kulala nyumbani. Siyo kosa kutolala nyumbani, ila lazima ajue kama nimelala naye.

Asubuhi ya siku ya 6, akaniita. Akaniambia, miaka yote nimetembea binti kanisubiria. Ni ajabu sana nimefika nyumbani ila hata kulala na binti nimeshindwa. Watu wananishangaa na binti anafikiria vibaya. Hivyo nifanye namna nilale naye leo.

Tangu nimefika, binti analala pekee yake kwa mategemeo kuwa nitakuja kulala naye. Mimi nikifika, nachukua maji, naoga alafu naondoka. Nguo zangu anazifua siku zinasonga.

Mchana tena nikakutana na mama ambaye tunatiana tangu utotoni. Baada ya story nyingi, akanitania vipi ushaonja kimwana? Nikamuambia kitambo sana. Akaniambia au unaleta mambo ya Uswahili wenu? Akanitonya niichangamkie. Binti kavumilia sana.

Usiku ukawadia. Baada ya chakula cha jioni, tukazunguka zunguka na wenzangu. Muda wa kulala nikawaambia kuna mahali nitaenda kuangusha.

Nikafika nikajilaza zangu, binti alikuwa na mama bado. Nimefika tu usingizi ukanipitia. Baadae alikuja, wala sikumsikia.

Baadae kujigeuza geuza nikamshika mtu. Ndiyo akili ikasanuka kwamba leo nimelala na mwanamke. Nilikuwa muoga sana, mkono ni mzito sana kutaka kumgusa.

Baada ya kusubiri sana huku nikiwazua nimuingiaje, nikajaribu tena kumshika. Hakuwa amelala hata kidogo. Nilipomgusa anatetemeka balaa. Nikajua anaogopa.

Nikaondoa mkono kwa hofu kuwa hataki. Nimefikiria sana. Nikitaka kulala, usingizi hauji. Nikitaka kumuongelesha roho inasita kabisa.

Yeye ndiyo muoga zaidi. Hajigusi, hata pumzi kabana. Husikii hata akihema. Alikuwa akiniogopa sana.

Usingizi ukaenda mbali nami. Lakini bora yangu nilipata nafasi ya kulala kwa muda. Yeye hata tone hajalala, nikamuonea huruma.

Nikamwita Sindiyo (jina lake la ukweni), kwa sauti ya uoga na uchu akaitikia abee.
Nikamuuliza leo hulali? Akaniuliza mbona wewe hujalala?
Nikamueleza tu kuwa nawaza mambo ya kazini.

Hakuna aliyekua akijua kama nafanya kazi mkoani kwetu. Mpaka sasa hakuna ambaye anajua kuwa nimesimamishwa kwa sababu ya mapenzi na kupigana.

Akaniuliza, kwa nini nilikuwa simtaki? Hapo ndipo mazungumzo yetu yalipoanzia. Muda wote macho yapo darini, japokuwa ni giza hakuna aliyegeuza shingo kumuangalia mwingine. Alipokuwa akizungumza najidai kumchungulia lakini nikiwa na wasiwasi kuwa ananiona. Tuliongea sana na kujaribu kumuelewesha kwa kumdanganya kuwa haukuwa muda sahihi kwangu.

Akaniambia wala simpendi ndiyo maana hata sikutaka kukaa kuongea naye. Tangu nimekuja analala kwa kuvizia kuwa huenda nikaja muda wowote.

Nilijisikia mkosaji na ndiyo nikaelewa sababu ya yeye kutetemeka. Alikuwa akihitaji sana uwepo wangu.

Basi, akanieleza sasa tulale maana ameshanifahamu. Lakini walau hisia za kutaka kumkuna zimwshaanza. Nikamuuliza hakuna kingine? Kwa lugha ya kutaka nataka akasema hakuna. Nina hakika alisema hivyo huku akitabasamu.

Nikasogeza tena mkono anatetemeka sana bado. Nikamshtua, unaniogopa?? Hakujibu chochote. Ilikuwa muda wa saa tisa au kumi hivi.

Nikajitoa ufahamu nikamshika tena mkono nikaupandisha mpaka begani. Mtandao ukareact H. Sogeza kidogo kushukia kwenye mjongeo wa shingo. Nikateremka mpaka kwenye ziwa lake la mkono wa kulia, mnara ukanasa H+.
[emoji1787][emoji1787] hatari mtu hamjuani yaani giza afu mnakodolea siling board
 
Back
Top Bottom