Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh story nzuriwazee wa episode jinsi mlivyo na nongwa!
Hajalazimishwa kuleta simulizi
Hahaha!.Sasa ulikula papuchi au hukula maana unatupotezea mda hautaki kumalizia story
Carleen!.Ila ninyi wanaume si mngeenda kupambana na thread za tozo za miamala kule, chanjo na katiba mpya, Muanze kuweka harakati jinsi gani tutaandamana..!
Ni nini mnaanza kupambana na story za huku MMU eti..?? 😂 😂
Kila jambo na wakati wake na mahali pakeIla ninyi wanaume si mngeenda kupambana na thread za tozo za miamala kule, chanjo na katiba mpya, Muanze kuweka harakati jinsi gani tutaandamana..!
Ni nini mnaanza kupambana na story za huku MMU eti..?? 😂 😂
Restart,Carleen!.
Swala la mapenzi ni swala la kila jinsia. Swala la tozo za miamala vivyo hivyo.
Kukaza shingo kwenye malalamiko kwenye swala la tozo hakupunguzi kiasi cha tozo.
Lakini, hapa pia tunatoa Ushuhuda wa maisha ya ndoa. Kuwapa wengine tumaini kuwa, ndoa ya amani na furaha inawezekana.
[emoji1787][emoji1787] hatari mtu hamjuani yaani giza afu mnakodolea siling boardMaisha yakaendelea, angalau sasa sikai kwa upweke. Nipo na wenzangu lakini zaidi na familia yangu.
Kwa kuwa ni kipindi kirefu sijafika nyumbani, watu wengi pia siwafahamu. Watoto wengi wamezaliwa na wale wadogo wamekua.
Wengine wameoa na wana familia zao. Hivyo mizunguko ya hapa na pale kuwajulia hali na angalau kuwafahamu ilikuwa haiishi. Hali ile ilisaidia sana kuniondolea Stress.
Tangu nimefika, sijawahi kulala kwetu (kwa mama yangu). Nalala kwenye nyumba za wenzangu wa rika moja.
Nakutana na mke wangu, hawezi kuniangalia kwa aibu. Hata nikimsalimia sauti ni ya chini kabisa. Mimi pia hata ile hamu ya kumchukulia kama mke sikuwa nayo kabisa. Yaani kwangu ni kama mdogo wangu. Angalau kakua, ana miaka 19 sasa.
Mzee anakusanya tu taarifa ninapolala. Akajua sijawahi kulala nyumbani. Siyo kosa kutolala nyumbani, ila lazima ajue kama nimelala naye.
Asubuhi ya siku ya 6, akaniita. Akaniambia, miaka yote nimetembea binti kanisubiria. Ni ajabu sana nimefika nyumbani ila hata kulala na binti nimeshindwa. Watu wananishangaa na binti anafikiria vibaya. Hivyo nifanye namna nilale naye leo.
Tangu nimefika, binti analala pekee yake kwa mategemeo kuwa nitakuja kulala naye. Mimi nikifika, nachukua maji, naoga alafu naondoka. Nguo zangu anazifua siku zinasonga.
Mchana tena nikakutana na mama ambaye tunatiana tangu utotoni. Baada ya story nyingi, akanitania vipi ushaonja kimwana? Nikamuambia kitambo sana. Akaniambia au unaleta mambo ya Uswahili wenu? Akanitonya niichangamkie. Binti kavumilia sana.
Usiku ukawadia. Baada ya chakula cha jioni, tukazunguka zunguka na wenzangu. Muda wa kulala nikawaambia kuna mahali nitaenda kuangusha.
Nikafika nikajilaza zangu, binti alikuwa na mama bado. Nimefika tu usingizi ukanipitia. Baadae alikuja, wala sikumsikia.
Baadae kujigeuza geuza nikamshika mtu. Ndiyo akili ikasanuka kwamba leo nimelala na mwanamke. Nilikuwa muoga sana, mkono ni mzito sana kutaka kumgusa.
Baada ya kusubiri sana huku nikiwazua nimuingiaje, nikajaribu tena kumshika. Hakuwa amelala hata kidogo. Nilipomgusa anatetemeka balaa. Nikajua anaogopa.
Nikaondoa mkono kwa hofu kuwa hataki. Nimefikiria sana. Nikitaka kulala, usingizi hauji. Nikitaka kumuongelesha roho inasita kabisa.
Yeye ndiyo muoga zaidi. Hajigusi, hata pumzi kabana. Husikii hata akihema. Alikuwa akiniogopa sana.
Usingizi ukaenda mbali nami. Lakini bora yangu nilipata nafasi ya kulala kwa muda. Yeye hata tone hajalala, nikamuonea huruma.
Nikamwita Sindiyo (jina lake la ukweni), kwa sauti ya uoga na uchu akaitikia abee.
Nikamuuliza leo hulali? Akaniuliza mbona wewe hujalala?
Nikamueleza tu kuwa nawaza mambo ya kazini.
Hakuna aliyekua akijua kama nafanya kazi mkoani kwetu. Mpaka sasa hakuna ambaye anajua kuwa nimesimamishwa kwa sababu ya mapenzi na kupigana.
Akaniuliza, kwa nini nilikuwa simtaki? Hapo ndipo mazungumzo yetu yalipoanzia. Muda wote macho yapo darini, japokuwa ni giza hakuna aliyegeuza shingo kumuangalia mwingine. Alipokuwa akizungumza najidai kumchungulia lakini nikiwa na wasiwasi kuwa ananiona. Tuliongea sana na kujaribu kumuelewesha kwa kumdanganya kuwa haukuwa muda sahihi kwangu.
Akaniambia wala simpendi ndiyo maana hata sikutaka kukaa kuongea naye. Tangu nimekuja analala kwa kuvizia kuwa huenda nikaja muda wowote.
Nilijisikia mkosaji na ndiyo nikaelewa sababu ya yeye kutetemeka. Alikuwa akihitaji sana uwepo wangu.
Basi, akanieleza sasa tulale maana ameshanifahamu. Lakini walau hisia za kutaka kumkuna zimwshaanza. Nikamuuliza hakuna kingine? Kwa lugha ya kutaka nataka akasema hakuna. Nina hakika alisema hivyo huku akitabasamu.
Nikasogeza tena mkono anatetemeka sana bado. Nikamshtua, unaniogopa?? Hakujibu chochote. Ilikuwa muda wa saa tisa au kumi hivi.
Nikajitoa ufahamu nikamshika tena mkono nikaupandisha mpaka begani. Mtandao ukareact H. Sogeza kidogo kushukia kwenye mjongeo wa shingo. Nikateremka mpaka kwenye ziwa lake la mkono wa kulia, mnara ukanasa H+.