Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Iko hivi, Mwanamke ukija kuishi kwangu nimekuoa, Mwanaume anayeishi kwa mwanamke ameolewa!
Au umepeleka mahari kwao mwanaume? Hapo mtakuwa mmeoana
yeah,wametulia last month nilikutana na Marlaw pale bugando umri umeanza kumtupa mkonoMarlaw vs Besta
Hapo bado hujajibu au nawe hujui ni msanii wa nini. Msanii inabidi atajwe ni rapper, pop singer, muigizaji, mchekeshaji, etc. Sasa hata kusema ni wa nini hamtakiUmekuja mjini juzi tulia tu fuatilia uzi mwishoni utamjua tu
Duh.... humjui Luiza Mbutu! Anyways alikuwa queen wa muziki wa dance miaka ya 2000Huyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui
Niko mid twenties. Mbona kina Bi Kidude na Mbaraka Mwinshehe nawajua. Ukiwa msanii kazi zako si zinadumu, yani hapa nataka kutafuta hizo kazi zake. Au ndio wale wasanii wana headlines nyingi kuliko kazi, au ndio hasara za kutotunza kazi za sanaaYou must be very young
Haya hapa nishaongeza idadi ninaowajua. Aisha Madinda, Lilian Internet, Kimobitel na huyu. Na wote nawajulia JFDuh.... humjui Luiza Mbutu! Anyways alikuwa queen wa muziki wa dance miaka ya 2000
Sio WANANDOA
Hawajoana wanaziniTo me this is The best!![emoji3531]
Wanazini hawajaoanaWatia hamasa hawa watu.hongera nyingi kwao[emoji3059][emoji3059]
Hajawahi kuolewa,hata yeye analijua hiloMid-2000's na Teja flan anaitwa Jumbe
Kwahyo unambishia yeye muhusika aliesema hajaolewa[emoji23][emoji23][emoji23]i cnt with u[emoji119][emoji119][emoji121]We mtoto wa juzi unajua nn?
Miaka hiyo huku Twanga Pepeta ya Banza Stone, Ally Choki na Lwiza Mbutu, huku Tam Tam ya Mwinjuma Muumin, Badi Bakule na Kimobiteli; bendi zote za Asha Baraka, upande wa pili una TOT Band wana wa achimenengule ya kina Misambano chini ya John Komba(RIP). Hiyo ilikuwa kabla ya FM Academia(Wajelajela) na Akudo Sound.Haya hapa nishaongeza idadi ninaowajua. Aisha Madinda, Lilian Internet, Kimobitel na huyu. Na wote nawajulia JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaah.Shilole ni msagaji na pia anapelekesha wanaume hawezi kudumu
Wema anapenda starehe sana na mtumiaji mbaya wa pesa
Irene woya ana madanga mengi na anataka pesa kwaio hawez kudumu kwasababu anatak kuwa huru
Jay dee ni tasa kwaio hakuna mwanaume atakae kubaliana na hilo
Hawa walifanya magazeti ya udaku yauze sanaMiaka hiyo huku Twanga Pepeta ya Banza Stone, Ally Choki na Lwiza Mbutu, huku Tam Tam ya Mwinjuma Muumin, Badi Bakule na Kimobiteli; bendi zote za Asha Baraka, upande wa pili una TOT Band wana wa achimenengule ya kina Misambano chini ya John Komba(RIP). Hiyo ilikuwa kabla ya FM Academia(Wajelajela) na Akudo Sound.
Sadly hizo band zote kiuhalisia zimekufa
Pamoja na kuwa hilo nalo lilikuwa jukumu lake, lakini umeandika kwa kutaka KUMKOSEA ADABU!Mkata viuno wa twanga pepeta.