cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchebe alichemsha Kwa ubabe wa Bibi Titi Mama lishe ingawa alikua analelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchebe alichemsha Kwa ubabe wa Bibi Titi Mama lishe ingawa alikua analelewa
Daaah aisee mjini darisalama umeingia lini? Social life yako ikoje? Luiza Mbutu ni habari nyingine mjini hapa.Huyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui
[emoji3][emoji3][emoji3] hata sijui nacheka Nini jamaniMwanamke akisha kuja na Mambo ya kuowana, na siyo kuolewa,huyo lazima atakua wale wanaharakati!!
Inawezekana bado hajaolewa, na ukute sababu ni hizi mentality za kiharakatiMkuu hakuna kitu Kama kuoawana, Wanaume ndiyo tunaowa,na Mwanamke ndiyo anaolewa! Kama mahali zingekua zinatoka pande zote mbili hapo kidogo tungeweza kusema kuna kuowana Mkuu!!
Kuna walimwengu hawaangalii sura wakiamua lao wanapita na wewe hata kama una sura kama sokweNani amtongoze luiza mbutu,angekuwa anavutia wangeshaachana kwa wivu
Hata mzazi wake anazo, ila nimesemea rumours wanasema huyo n baba ake mzazi, ila yeye anasema baba ake mkubwa.Hela za baba mkubwa
Anawaza mafaoKwanini unasema kaamua kuwa mpole mkuu?
Jirani jirani yangu eeh nimekukosea nini??Huyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui
Hii ni mojawapo ya dalili za mwanzo kabisa za afya ya akili, haiwezekani Mtu ucheke,alafu usijuwe kwa Nini unacheka!!??[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] hata sijui nacheka Nini jamani
Apo Mume alikubali kuwa bwegeMsanii Nguli, LUIZA MBUTU amedumu kwenye ndoa yapata miongo kadhaa sasa, Hana makeketofauti na wasanii wengi nchini.
Tumeshuhudia ndoa za wasanii wengi kutokudumu ikiwemo Wema Vs Prof Kumbe, Dogo janja vs Uwoya, **esma Vs petit, esma (Tena) Vs msizwa, Haji Vs mke2, Shilole Vs uchebe, jay Dee Vs Gardner, AY Mzee wa commercial wastara na waume zake 7
[emoji23][emoji23][emoji1]Umekuja mjini juzi tulia tu fuatilia uzi mwishoni utamjua tu
Nahreel anavumilia mateso afaidi mafao uzeeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaa kweli. Ila ndo ivo nahreel ana stick nae tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Umekuja mjini juzi tulia tu fuatilia uzi mwishoni utamjua tu