Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Kila la heri Liz na Majizo. Ndoa yenu ikawe ya furaha
 
Malipo hapa hapa duniani , na yeye aingie kwenye ndoa aone uchungu wa kuibiwa mume na hawara maana ndo ilikua michezo yake kuiba waume za watu, what goes around comes around
Dodoma Ni Kiangazi Kikali, Kigoma Mvua Nyingi Sana
Dar es Salaam Nadhani Bado, Aone Uchungu
Tanzania Kazi Ipo Kubwa!!! Mchagua Nazi Huchagua Koroma 😁😂🤣
 
Malipo hapa hapa duniani , na yeye aingie kwenye ndoa aone uchungu wa kuibiwa mume na hawara maana ndo ilikua michezo yake kuiba waume za watu, what goes around comes around
LILE NI JINI HATA HALION WIVU.MANA KAMENGADA NASA
 
Kigamboni ana Mjengo umetulia wa ukweli.
Kabisa bongo acting nyingi,jamaa si milionea ana fedha ya kula tu,sijawahi kuona milionea kashindwa kujenga nyumba,majizo amejenga servant quarter mbweni,majirani zake wote wameporomosha maghorofa ila yeye bado nchecheme nchecheme.
 
Wamepanga huko Bahari beach,majizo ana hela ya kununua kiwanja bahari beach? Bahari beach viwanja ni eka nzima ,Nyumba ya majizo ni hii hapa chini,kama Lulu anabisha mwambie apige picha nyumba anayoenda mbweni.....Mimi ni fundi ujenzi,kwa bahari beach mwenye maeneo ni Baba yake maria sarungi,amenunua jumba la ghorofa 6 la najim,jirani na magembe.

View attachment 1596872
Kwaiyo hiyo ndio nyumba ya millionaire? Huku wa nje na dirisha vinakaribiana,je millionaire atapata hewa? Lol
 
Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.

Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
King Kong ulipotea sana mkuu, ulikuwa wap
 
Back
Top Bottom