ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
Yule ni swahiba wangu wa muda mrefuUmejuaje ni bikra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni swahiba wangu wa muda mrefuUmejuaje ni bikra
Kwani si hata mwanaume kala wengi...ngoma droo... hivi kuoa demu kama huyo ambaye kila mtu ana uhakika "kaliwa" na wengi unajisikiaje sijui! Anyway, kila mtu ana interests zake.
Dodoma Ni Kiangazi Kikali, Kigoma Mvua Nyingi SanaMalipo hapa hapa duniani , na yeye aingie kwenye ndoa aone uchungu wa kuibiwa mume na hawara maana ndo ilikua michezo yake kuiba waume za watu, what goes around comes around
hapo sawa.kipindi hicho ana 17 wewe utakuwa na miaka mingapiHuo ni umri wa kumueka ndani..nitaanza kumtafuta akiwa around 17-19 hapo
Au siyo bro, basi furesh tu😎😎Akikosekana sitooa,,mbona simple tu braza
LILE NI JINI HATA HALION WIVU.MANA KAMENGADA NASAMalipo hapa hapa duniani , na yeye aingie kwenye ndoa aone uchungu wa kuibiwa mume na hawara maana ndo ilikua michezo yake kuiba waume za watu, what goes around comes around
Mkuu unamaanisha nini hapaMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
UTAJIRI LAZIMA UTII MASHARTKwani si hata mwanaume kala wengi...ngoma droo
B12 majuzi pia alimvesha pete ya uchumba, mchumba wake wa siku nyingiwarumi Sasa ITAKUWAJE WATERZO vs B12 KUPO yao ndo ze endi...NA JE UTAJIRI SI NDO UTA DISA PIAA??
Kabisa bongo acting nyingi,jamaa si milionea ana fedha ya kula tu,sijawahi kuona milionea kashindwa kujenga nyumba,majizo amejenga servant quarter mbweni,majirani zake wote wameporomosha maghorofa ila yeye bado nchecheme nchecheme.
Jamaa kama vile analazimisha usioe. 😂😂😂Akikosekana sitooa,,mbona simple tu braza
Kwaiyo hiyo ndio nyumba ya millionaire? Huku wa nje na dirisha vinakaribiana,je millionaire atapata hewa? LolWamepanga huko Bahari beach,majizo ana hela ya kununua kiwanja bahari beach? Bahari beach viwanja ni eka nzima ,Nyumba ya majizo ni hii hapa chini,kama Lulu anabisha mwambie apige picha nyumba anayoenda mbweni.....Mimi ni fundi ujenzi,kwa bahari beach mwenye maeneo ni Baba yake maria sarungi,amenunua jumba la ghorofa 6 la najim,jirani na magembe.
View attachment 1596872
Yule ni swahiba wangu wa muda mrefu
King Kong ulipotea sana mkuu, ulikuwa wapMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Unamaanisha nini HASA hapa Mkuu??Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.