Kirahisi rahisi tu unalea mabao matatu ya mwanaume mwenzio aliyekuchapia mkeo wa ndoa na kumzalisha watoto watatu,eti hoo"mwanaume stress handler......." ndio tuna handle stress lkn si za type hii cha msingi aende kwa huyo boss na watoto wake watatu.Hakuna sababu ya msingi ya kumwacha mke. Jambo la msingi ni namna ya kuwahandle hawa watoto watatu, physically na psychologically. Mume anatakiwa ajue kuwa ndoa ina mambo mengi, na changamoto ndiyo hizi. Definition nyingine ya mwanaume ni stress handler -- hakuna kitu kinachoweza kumshinda kuhandle systematically & intelligently. Watoto wasiambiwe hadi waridhike kwamba umri unafaa. Mume na mke wafungue ukurasa mpya wa mahusiano mazuri ya kuaminiana na kushirikiana pamoja kama mtu & mzazi mwenzie.
Msamaha hakuna!??? Isijekuwa mumewe ndiye chanzo cha mwanamke kumzawadia bosi wake, maana huwa si rahisi kwa mwanamke anayejiheshimu & kuipenda ndoa yake na kumpenda mumewe.Maandiko yanasema namna pekee ya kuvunja ndoa ni habar ya uzinzi.
Sina ushauri nwingine zaidi ya kuachana na huyo mwanamke maana maumivu yake sio ya kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi utaanzaje kuwachukia watoto ambao almost 20 years umekuwa ukiwapenda na kuwahudumia na kuwathamini kama wanao!??? Haiwezekani, hata kichaa hawezi kufanya hilo.Kirahisi rahisi tu unalea mabao matatu ya mwanaume mwenzio aliyekuchapia mkeo wa ndoa na kumzalisha watoto watatu,eti hoo"mwanaume stress handler......." ndio tuna handle stress lkn si za type hii cha msingi aende kwa huyo boss na watoto wake watatu.
Wanajua sana ku-act siku za awali. Wakati sie tunajitahidi kuonyesha love haswaaWANAWAKE wako very fake, nilipata mwanamke Twanga Pepeta, ana shepu, ana kiuno cha ukweli, yaani kama panga boi.
Nilipompeleka gheto baada ya kusumbuliwa miezi sita, wallah, ni Allah pekee ajuaye nilichokipata.
Kule dnasi alikiwa anakatika kichizi, mikatiko 219%
Nilipo mpeleka ghetto, kudadaki, mikatiko kama yote, Kama joto la Petersburg Urusi kipindi cha winter, -678°c.
Hamna kiuno, hata kujigeuza tu ukimgeuza hajiwezi, kawa mzito kuliko maiti.
Kwakuwa alikuwa anachezesha tako moja huku lingine limetulia. Nikaamua kuomba kijiboga, yerewiiiiii........ Nilikula nakoz za kufa mtu. Nakoz jumlisha makonyagi nikajikuta niamkia hospitali
Kumbe Yule demu alisomea uninja China, pale Twanga Pepeta alikuwa kwenye interview tu ya kazi
Sitowachukia bali wataenda kwa baba yao mzazi,amalizie nilipoishia mimi.Hivi utaanzaje kuwachukia watoto ambao almost 20 years umekuwa ukiwapenda na kuwahudumia na kuwathamini kama wanao!??? Haiwezekani, hata kichaa hawezi kufanya hilo.
Wewe kama ni mwanaume ungeweza kufanya hivyo kama unavyoshauri?????Pengine na watoto walikuwa wanamchora tu kuwa walishaambiwa kuwa huyo sio baba yao...Ingekua mtoto mmoja ndio wa bosi inaongeleka ila watatu….???Hakuna sababu ya msingi ya kumwacha mke. Jambo la msingi ni namna ya kuwahandle hawa watoto watatu, physically na psychologically. Mume anatakiwa ajue kuwa ndoa ina mambo mengi, na changamoto ndiyo hizi. Definition nyingine ya mwanaume ni stress handler -- hakuna kitu kinachoweza kumshinda kuhandle systematically & intelligently. Watoto wasiambiwe hadi waridhike kwamba umri unafaa. Mume na mke wafungue ukurasa mpya wa mahusiano mazuri ya kuaminiana na kushirikiana pamoja kama mtu & mzazi mwenzie.
Hapo basi unakuwa umejiibia mara mbili; wale watoto unatakiwa ujimilikishe kisheria wawe wako, uwapende na kuwathamini kama wanao wa damu, as if hujui kilichotokea. Purukushani zingine ni ZERO BRAIN na mihemko ya hasara. Halafu, kitendo cha kuwafukuzwa na kuwadhalilisha ni chuki ya karne, usijifiche kwenye maneno matupu. Kijana huna hata chembe ya ubinadamu!!??? Angalia usijeshindwa kuoa aiseee! Tafakari ulipojikwaa siyo ulipoangukia.Sitowachukia bali wataenda kwa baba yao mzazi,amalizie nilipoishia mimi.
Huo ni ujahili zaidi ya ushetani! Ulimuumbia uhai!???Binafsi maamuzi yangu ni kumtoa duniani huyo mama km bado hajawaambia ukweli hao watoto watatu,
Then ntaendelea kuwalea watoto wote kama wanangu bila kinyongo wala nini maana nimetoka nao mbali.
Huo ni ujahili zaidi ya ushetani! Ulimuumbia uhai!???
@Rebeca 83 ni makosa sana kumlaumu mwanamke mwenyewe kwenye hii scenario. Kilichofanyika ni kosa kubwa, lakini don't judge prematurely. Nadhani kabisa source ya yote ni mumewe. Halafu, yuleee mume mwenzake. Hivi wewe bosi ofisini unaanzaje kummendea mke wa mtu mwingine, kimfano!??? Tabia ya kugeuza ofisini kuwa sehemu ya uchuuzi wa mapenzi ni kosa ambalo litaendelea kuwaandama sana wanaume day in, day out hadi washangae.Ila wanawake sisi duuuhhh[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji4]
Itakua ndg yng ww!Ndo uzuri wa kuwa na birth mark ,ukoo wetu woote tunazaliwa na baka bega la kushoto.
Si wa kile si wakiume woote baka.
Usisahau kwamba wanaume haohao wamezaa nje kwa wanawake za watu kibao tu. Usikute hata huyo jamaa yako unayemtetea naye ana wavulana na wasichana weeeengiiii amewekeza kwa mwanaume mwenzake huko. Ukiingia kwenye ndoa, basi ingia kikamilifu. Mwanaume anayeingia kwenye ndoa akiwa na mawazo kama yako ya kutelekeza ndoa yake, huyo ni mwoga. Accept reality and move on with life. Huo ndio uanaume wenyewe. Kitendo hakikubaliki hata kidogo, but unakihendo manly. Sasa mwanaume unareact kama kuruka kwa pweza!??? Relax kisha anza maisha upya. Mbona mambo huwa yananyooka tu. Mtegemee Mungu pia atakusaidieni. Usiende kichwakichwa utaishia Segerea!Wewe kama ni mwanaume ungeweza kufanya hivyo kama unavyoshauri?????Pengine na watoto walikuwa wanamchora tu kuwa walishaambiwa kuwa huyo sio baba yao...Ingekua mtoto mmoja ndio wa bosi inaongeleka ila watatu….???
Atafune wale wa kike wakwanza
Ukiachana nae maumivu yatapungua? Haitaondoa ukweli na ni kitu ambacho hutaweza sahau maisha yako yoteMaandiko yanasema namna pekee ya kuvunja ndoa ni habar ya uzinzi.
Sina ushauri nwingine zaidi ya kuachana na huyo mwanamke maana maumivu yake sio ya kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app