WANAWAKE wako very fake, nilipata mwanamke Twanga Pepeta, ana shepu, ana kiuno cha ukweli, yaani kama panga boi.
Nilipompeleka gheto baada ya kusumbuliwa miezi sita, wallah, ni Allah pekee ajuaye nilichokipata.
Kule dnasi alikiwa anakatika kichizi, mikatiko 219%
Nilipo mpeleka ghetto, kudadaki, mikatiko kama yote, Kama joto la Petersburg Urusi kipindi cha winter, -678°c.
Hamna kiuno, hata kujigeuza tu ukimgeuza hajiwezi, kawa mzito kuliko maiti.
Kwakuwa alikuwa anachezesha tako moja huku lingine limetulia. Nikaamua kuomba kijiboga, yerewiiiiii........ Nilikula nakoz za kufa mtu. Nakoz jumlisha makonyagi nikajikuta niamkia hospitali
Kumbe Yule demu alisomea uninja China, pale Twanga Pepeta alikuwa kwenye interview tu ya kazi