Ndoa halali niile ya kwanza..! Huyo kwa hayati mlema alikuwa Danga..! Pamoja na kufunga ndoa hadharani.Sheria inasemaje Mrs Lissu pale unapoingia kwenye ndoa without honest and good will?
Au wewe ni Mrs Lissu fake? Maana mke wa Lissu ni mwanasheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa halali niile ya kwanza..! Huyo kwa hayati mlema alikuwa Danga..! Pamoja na kufunga ndoa hadharani.Sheria inasemaje Mrs Lissu pale unapoingia kwenye ndoa without honest and good will?
Au wewe ni Mrs Lissu fake? Maana mke wa Lissu ni mwanasheria
Ndugu unanishambulia mimi kama vile ndio nimeenda kudang'anya kanisaNdoa imetangazwa kila mahali na picha ya Doreen zimewekwa wazi. Huyo Fredrick alishindwa nini kwenda Mahakamani kumdai huyo unaesema alikuwa mke wake? Kwa nini hakwenda hata kwenye kanisa walikofungia ndoa na kuwaambia kuwa huyo waliyemfungisha ndoa alikuwa mke wake? Mtu amekufa ndio mnaleta za kuleta.
Na unaonekana una chuki binafsi na huyu Doreen. Tangu lini umesikia mali ya marehemu anarithi mke ambae alimuacha au aliishafariki? Mali zote za marehemu alizokuta Doreen ni haki yake pamoja na watoto wote wa marehemu. Mngekuwa mnampenda sana marehemu mngemshauri waingie na mkataba wa prenup na Doreen kabla ya ndoa. Au aandike kabisa will yake mapema.
Kwa hivi ilivyo imekula kwenu. Na msipoangalia mtafunguliwa mashtaka ya kumchafua Doreen.
Amandla...
Ukiwa na ndoa nyingine hutambuliki kwa ndoa mpyaKwani shida ya mtoa mada iko upande upi?
Isije kua ww ndio mtoto wa kwanza wa marehem Mrema maan 🙌Mnakumbuka story ya Raia Mwema
Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu
Ina maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence? Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu? 👇 Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi...www.jamiiforums.com
Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.
Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.
Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092
Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.
In summary Doreen
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.
- Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
- Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
- Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
- Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.
View attachment 2359097View attachment 2359101
Haushambuliwi. Shida yako ni kuwa unajichanganya. Wewe ndio unatakiwa kututhibitishia kuwa jina alilotumia Doreen lilikuwa sio lake. Hiyo sio kazi ya Doreen. Mpaka sasa umeleta majungu tu.Ndugu unanishambulia mimi kama vile ndio nimeenda kudang'anya kanisa
Ebu twende taratibu
1. Kama doreen aliolewa na jina fake na mrema je kanisani walitangaza majina ya ukweli?
Je baada ya kujua kupitia media yeye kama mume alishindwaje kujitokeza wakati huo na kuthibitisha mbele ya mume mpya aliemuowa, mbele ya viongozi wa kanisa pamoja na serikali ili ndoa hiyo mpya iliyofungwa iweze kuvunjwa kabla ya kusubiri mume anaetambulika afariki afu yeye wa mafichoni ndio ajitokeze?Raia mwema wanasema mume wa huyo Doreen hakujua anaolewa mpaka siku aliyoolewa na alijua kama mimi na wewe kwenye media ndoa imefungwa.
Ehh sasa si umuombe Doreen aje kukanusha hizi report. Shida iko wapi anapenda media na anajua kuzitumiaHaushambuliwi. Shida yako ni kuwa unajichanganya. Wewe ndio unatakiwa kututhibitishia kuwa jina alilotumia Doreen lilikuwa sio lake. Hiyo sio kazi ya Doreen. Mpaka sasa umeleta majungu tu.
Amandla...
Unajuaje mume wa kwanza hakujitokeza?Je baada ya kujua kupitia media yeye kama mume alishindwaje kujitokeza wakati huo na kuthibitisha mbele ya mume mpya aliemuowa, mbele ya viongozi wa kanisa pamoja na serikali ili ndoa hiyo mpya iliyofungwa iweze kuvunjwa kabla ya kusubiri mume anaetambulika afariki afu yeye wa mafichoni ndio ajitokeze?
Mkuu, wewe ni mtoto au mpwa wa Marehemu Mrema??Katika majimbo yenye mchuano mkali ni Vunjo yupo Dkt. Charles Kimei wa CCM, Augustino Mrema wa TLP, James Mbatia wa NCCR- Mageuzi na Grace Kiwelu wa Chadema. Mwazoni ilionekana mchuano ulikuwa kati ya Mbatia na Kimei lakini hali ni tofauti Vunjo sasa. Mchuano umekuwa kati ya Mrema na Kimei. Sababu kubwa ni madhaifu ya wagombea wenyewe
1. Charles Kimei hajulikani jimbo la vunjo na Kitendo cha halmashauri Kuu ya Kamati kuu ya CCM kukata Jina la inock koola zadock mtoto wa Tajiri wa kimarangu Mzee Koola(Mmiliki wa makampuni ya Zadock A1outdoor Africa), ambaye alishinda kura Za maoni imeigawanyisha CCM jimboni vunjo pande mbili, wanao muunga mkono kimei na wale walichukizwa na kitendo cha koola kukatwa.
Pili, kwenye majimbo mengine mshindi wa kura Za Maoni alisindikizwa na walioshindwa kwenda kuchukua fomu na hata kumpigia kampeni mshindi, lakini hali ni tofauti vunjo ambapo Koola amegoma kumpigia kampeni Kimei na kuondoka zake kwenda Dar es Salaam.
Tatu, Palikuwa hakuna shamrashara kimei alivyotangazwa kama mgombea wa ubunge CCM vunjo.
Nne, kulazimishwa kustaafu CRDB, wananchi wa vunjo wanajua Magufuli alishauri astaafu kuliko kutumbuliwa kwa kashfa ya kulipwa mil 45 kwa mwezi. Hawa ndio wale waliomchukiza magufuli kwa kulipwa zaidi ya mil 40 kwa mwezi na alisema hadharani.
Tano, kuna bango lilisimikwa njia panda himo na wana CCM, upande mmoja picha ya magufuli na upande wa pili picha ya Mrema (angalia picha ya chini) ikileta tafsiri kwamba wana CCM watampigia Mrema kura.
Sita, kitendo cha Waziri mkuu Kassim majaliwa kutompigia kampeni Kimei, alifanya mikutano moshi mjini na vijijini akaenda kufanya mkutano Rombo wakati kwenda rombo unapitia Vunjo, hata Kimei alipojaribu kuusimamisha msafara wake haukusimama, wakati 2015 wakati Magufuli alivyokuja vunjo kwa ajili ya kampeni aligeuza msafara wake kuelekea Mwanga ili kumpa heshima na kumsalimia Mrema. Hivyo majaliwa kumtosa Kimei haijaleta picha nzuri vunjo.
1. James Mbatia alivyoshinda ubunge 2015 alilikacha jimbo na hakufanya kitu na alikuwa anaonekana kwa nadra sana jimboni humo. Alichangisha kila kaya 20,000 Za kuchonga barabara Jambo ambalo halikulitekeleza na limewaudhi wananchi jimboni humo. Madiwani wake wengi kumkimbia ndani ya jimbo hilo, kata kama Za Marangu magharibi diwani wake alijitoa na anagombea kwa tiketi ya CCM, hata mbadala wake waliomuweka kugombea kata hiyo amejiondoa, katika kata nyingi amepoteza wanachama kwa hali hiyo. Jambo jingine ni kwamba mbatia ushindi wake wa 2015 ulibebwa na ukawa na dhana kwamba lowassa angekuwa Rais na mbatia kuwa waziri wa elimu lakini hicho kitu hakipo kwa sasa kila chama kinajigemea hata Chadema ilimsaidia ashinde 2015, mwaka huu wameweka mgombea grace kiwelo. Mbatia mpaka sasa hajafanya kampeni anazindua kampeni zake tarehe 19.9.2020
3. Grace kiwelu hawezi kupata ubunge maana ukweli wachaga wao kutawaliwa na mwanamke inakuwa ngumu. Mbili, kuolewa na mwanaume wa old moshi na si wa vunjo. Tatu, kawa mbunge wa viti maalum miaka 10 hakuna alichosaidia wana vunjo na ameteuliwa na chama chake ubunge wa Viti maalum Chadema tafsiri yake si kwamba hayupo kwenye ushindani ni kwamba ameweka tu jina.
4. Augustino Mrema anafanya kampeni zake chini kwa chini na kura zote Za mbatia zitarudi Kwake, Vilio vingi ni kwamba wanajuta kumchagua Mbatia na mbadala ni Mrema.
Mbili, Mrema ana historia ya uchapa kazi nzuri vunjo na kitendo chake cha kuwa karibu na kumuunga mkono Rais, Dkt. Magufuli kitampa kura kwa sababu ya imani kubwa wananchi walionayo kwa Mhe. Rais kwamba anafanya kazi nzuri.
Tatu, Mrema kuteuliwa tena kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole kwa kipindi cha pili 2020 - 2023 ni heshima kubwa aliyopewa na magufuli na yeye pekee yake kaingia kugombea ubunge bado kashikilia cheo alichopewa na Rais wengine wote wenye tamaa walitumbuliwa, wana vunjo wanajiuliza kama rais ana imani kubwa hivyo na Mrema kwa nini wasimpe ubunge.View attachment 1567986View attachment 1567988
We ni mtoto, mpwa au chawa wa Mrema?We umeona mbali; mbatia vunjo hawamtaki, Kimei hajulikani: Mrema atachukua jimbo
Tuwekee hapa mkuu hata linkUna huhakika gani alimtunza vizuri au ndio alivyokuwa anajiweka kwenye media na mnaamini?
Doreen alikuwa moshi kila siku tunakutana nae. sasa swali mzee huyo nani alikuwa anamwangalia?
Na unajua kuna clips na videos za mzee Mrema anasema kwa ndugu zake analalamika alikosea kuoa?
Majasho ana majasho balaaJe baada ya kujua kupitia media yeye kama mume alishindwaje kujitokeza wakati huo na kuthibitisha mbele ya mume mpya aliemuowa, mbele ya viongozi wa kanisa pamoja na serikali ili ndoa hiyo mpya iliyofungwa iweze kuvunjwa kabla ya kusubiri mume anaetambulika afariki afu yeye wa mafichoni ndio ajitokeze?
Kama alijitokeza ni kwanini hatukuwahi kusikia, kuona wala kusoma taarifa zake kama tunavyozisikia, na kuzisoma leo baada ya Mrema kufariki?Unajuaje mume wa kwanza hakujitokeza?
Taratibu na sheria zinasemaje kwa ndoa za wakatoliki kuwa na waume wawili?
Majasho namuuliza swali ananijibu kwa kuuliza swali. Naona mleta mada ni kanjanja 😂😂🤣🤣Majasho ana majasho balaa