Kaoa mabaki ya panya roadSasa kwa mtu wa aina hiyo utafanya maendeleo gani kwenye hii dunia..jiulize mwenyewe halafu ujijibu.
Huyo ndo mtu wa kuanzisha nae familia?
Maelezo yako yanaonyesha kama mkeo ni mchaga na hiyo ni kawaida kwao kudokoa pesa na kuwa na mahawara wanaowaita anko. Kwa vile hamjafika mbali, mpe taarifa kuwa utamuacha kama hataacha. Akiendelea mpige chini. Kwanini uishi na kibaka nyumba moja. Utakuta zinapelekwa kwao kunjenga nyumba Yethu.Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Huyu mwamba akiuona huu UZI sijui ataandika nn
Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Acha tu, huyu jamaa ni maskini mtarajiwa'wanaume tumeumbwa matesoo, mateso kuhangaikaa'..!
Hili ni pepo apate maombi haraka sana. Mtu kujifukuzisha chuo sio kawaida aisee.Maelezo zaidi mkuu
Kumbe weye nintu mume kunachukua utamu wa mwenzio kunauweka hapo juu'wanaume tumeumbwa matesoo, mateso kuhangaikaa'..!
samahani Mr. Mwakiri, hicho ni kiswahili umeandika hapo.!?Kumbe weye nintu mume kunachukua utamu wa mwenzio kunauweka hapo juu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu ila nimejaribu kuiga lafuthi ya watu wapemba ingawa Mimi ni mtu wa Mtan'gatasamahani Mr. Mwakiri, hicho ni kiswahili umeandika hapo.!?
Mfungulie biashara .. ili aone uchungu wa pesa pengine mkeo Ana Hali yakuchukulia Mambo kiraisi .. akishindwa kuendesha biashara .. jaribu kuchunguza circle ya marafiki zake .. pengine Hana marafiki wanao jielewa .. ikiwa Hana marafiki .. ulizia hali ya nyumbani kwao .. pengine wazazi wake humuomba pesa Mara kwa Mara kwaiyo hujikuta anako plan B .. lakini Kama ivyo vyote Amna .. basi .. Huza IYO N'GOMBE nunua MAZIWA ya REJAREJA .. ovaHapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???
Maana mbinu zangu zote zimeshindikana
Unamshauri kuachana unajua mwenzako dini gani?HUU SIO UAMUZI SAHIHI, ACHA NAO UTAKUJA KUJUTIA NA KUPATA KESI MBAYA
Inaonesha mkeo ana tabia ya udokozi kwa asili kitu ambacho hukuwahi kumjua ndani ya hicho kipindi cha miaka miwili
Ni aheri umuache kabisa uendelee na majukumu ya kulea mimba/mtoto kuliko jinsi unavyomuona hapo kila siku unaweza ukapata hasira mara ghafla unamuua jambo ambalo sio zuri
Kajibu mwenyewe kuwa tayari mke alishajifunguaShe is 23 years old and the pregnancy is 27 weeks old.