Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

paul miteda

Senior Member
Joined
Jan 19, 2023
Posts
131
Reaction score
588
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwa hiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familia kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vipi kuhusu kumchukua mwanangu ana miaka 10 wa kike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu?

MSAADA WA KIMAWAZO WANAJAMII.
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5.Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF,ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku
Tatizo lako hasa ni kuogopa kuachana kwa sababu ya hatma ya mtoto au hutaki ndoa yako ivunjike?
 
Kwanini sitaki kuoa
1: Ndoa ni gereza ukitoka kidogo unatafutwa au kuitwa uko wapi
2: Ndoa ni kitendo cha kumkaribisha mtu atoke kwao aje kwako kumaliza hela zako
3: Ndoa ni utapeli unamuoa mtu mpate watoto wa yeye na wewe anaanza kukupangia (leo sijiskii) wakati bila Ndoa hakuna anayekupangia

Bado mpaka sasa sioni cha kubadilisha msimamo wangu
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5.Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF,ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi.Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Hana mapenzi tena nawe na alikuwa nawe kimaslahi zaidi kama hata buku yake alikuwa anaionea uchungu
Chukua maamuzi magumu.. Sheria inakuruhusu kukaa na mwanao maana ameshavuka miaka 7
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5.Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF,ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi.Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Nina mashaka na principle zako kama dume ndo yanayokutokea hayo

Mwanaume atakama ukishuka kiuchumi lazima ulinde heshima yako

.tumia akili mkuu tumia 🧠 la sivyo

Kuchapiwa kwake ni kama kupumua tu daily


#kaa chonjo#
 
Hapa ni mwanangu tu mtoto analia kila siku anasema mm nataka kuishi na wazazi wangu wote uzur mtoto wangu anaupeo mkubwa sana dah inaniumiza sana ndoa siifikirii tena
Mtoto wako mueleze kuwa mpo wote hata kama hatawaona pamoja na mama. Mwambie mama yake asimjaze woga mtoto kuhusu kutengana. Kutengana kupo tu iwapo mtashindwana.
 
Ulikuja Duniani mwenyewe utaondoka mwenyewe,kabla ya kumfikiria mtoto jifikirie wewe.Sasa ukiendelea kukaa kwenye ndoa hiyo yenye mashaka ikapelekea kupata msogo wa mawazo na kisha kifo-hapo utakuwa umesaidia nini kwako na kwa huyo mwanao.

Ndio maana wazungu wanatishinda wapo objective sana kwenye hata mambo-fikiria amani yako kwanza ili ukae vizuri utake care ya huyo mtoto-kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hiyo kisa mtoto ni utahira wa kiwanho cha PHD.
 
Back
Top Bottom