Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ulikuja Duniani mwenyewe utaondoka mwenyewe,kabla ya kumfikiria mtoto jifikirie wewe.Sasa ukiendelea kukaa kwenye ndoa hiyo yenye mashaka ikapelekea kupata msogo wa mawazo na kisha kifo-hapo utakuwa umesaidia nini kwako na kwa huyo mwanao.

Ndio maana wazungu wanatishinda wapo objective sana kwenye hata mambo-fikiria amani yako kwanza ili ukae vizuri utake care ya huyo mtoto-kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hiyo kisa mtoto ni utahira wa kiwanho cha PHD.
Mkuu kwa ninavyojua famili yao mtoto wangu atapata tabu sana ndiyo maana nikaomba kujua je ninaweza kwenda kisheria nikapewa mwanangu japo niwakikee???
 
Pole sanaa ilaa tafuta hela kwa sasaa akikuachaa acha aendee hata na mtoto USITAFUTE MAHUSIANO MAPYA... wanawake ndivyo walivyoo sio kwamba wapo after money hapana hawajazoeaa kuumiza akili wala stress so kuwa mpole muache aamue yeye na kuhusu sex usimsumbue kabisaa fanya kama humuoni.. Timiza majukumu pale unapoweza akizidisha matusi na dharau bhasi muache uende ukaanze maisha pengine maana unaweza mfanya kitu kibaya ukaishia pabaya.
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5.Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF,ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi.Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.

wanawake walivojazana unaumia nini !. kula maisha na mchukulie poa
 
Kwanini sitaki kuoa
1: Ndoa ni gereza ukitoka kidogo unatafutwa au kuitwa uko wapi
2: Ndoa ni kitendo cha kumkaribisha mtu atoke kwao aje kwako kumaliza hela zako
3: Ndoa ni utapeli unamuoa mtu mpate watoto wa yeye na wewe anaanza kukupangia (leo sijiskii) wakati bila Ndoa hakuna anayekupangia

Bado mpaka sasa sioni cha kubadilisha msimamo wangu
Ingawa nimeoa, na ninamshauri kijana anayejitambua kuoa hata nyie mnaopinga ndoa nanyi siku hizi nawatambua. Mna hoja kwa kweli kupinga ndoa. Sema wengine tushaamua na mikikimikiki yake tunapambana nayo kwa uweza wa M/Mungu.
 
Huyo mwanamke ni kwamba anakosa utu wa kumvumilia mwenzie aliekosa kipato kwa muda tu? Ama kuna mengine yamejificha? Labda pamoja na kuhudumia umekuwa ukimfanyia upumbavu mwingi ambao emevunja moyo wake naye yupo tu kwasababu ya mtoto, sasa akijumlisha na ya kukosa pesa ndo kabisaaa anasema takataka hii ya nini!
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.

Mwanamke akifanya hivi unafukuza pasipo mijadala wala kuomba ushauri

1. Akiku-cheat
2. Akiwa mshirikina au mchawi
3. Akikunyima unyumba bila sababu ya msingi au anakupa kadiri anavyojisikia.
Mwanamke lazima aelewe kuwa wewe sio mtoto Mdogo. Aelewe kuwa Wewe ni Mumevna mwanaume.

Unapofukuza MTU Kwa Makosa hayo usifikirie mambo ya itakuwaje, fukuza.
Mambo ya Watoto aking'ang'ana muachie.

Vijana WA siku hizi mmekuwaje, unang'ang'ania Watoto umekuwa Mama Yao.
Baba hang'ang'anii Watoto.
Watoto na Mama Yao ndio wanatakiwa wakung'ang'anie.

Kama kuna Mali, mwambie achukue anazoona zinamfaa, kama utapenda Haki gawaneni pasu Kwa pasu.
Ushapata Watoto Wawili wanatosha, Mwanamke kajichanganya mwenyewe, fukuza akupunguzie mizigo.

Ishi Maisha yako Kwa Raha,
Kwa Ulimwengu wa sasa Kwa Wanawake tunatafuta Watoto, ukishawapata Basi.
 
Dunia ya sasa hivi ukiwa mpambanaji suala la kukosa muda ni la mpito tu.

Huyo my wife wako yuko nawe kimaslahi tu.

Ingekuwa ndio mimi, naondoka na mtoto, najua atazoea kukaa bila mama kuliko kuendelea kukaa na mtu anaenipa msongo wa mawazo.

Likishindikana hilo, nitajipanga kisaikolojia, sitaomba nauli, sitaomba unyumba na ikibidi hata chakula, akiniwekea sawa asipoweka sawa. Nikiwa na hamu nitaenda kupiga hata za buku tatu tatu. Namtoa kabisa mawazoni.

Na uchumi ukitengemaa, najiimarisha kiuchumi bila kumshirikisha kabisa katika mipango ya maendeleo. Ni mwendo wa kimya kimya tu. Hapo ndio kichwa chake kitawaka moto.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa ninavyojua famili yao mtoto wangu atapata tabu sana ndiyo maana nikaomba kujua je ninaweza kwenda kisheria nikapewa mwanangu japo niwakikee???

Muache apate tabu.
Mama Yao si mpumbavu.
Kamwe using'ang'anie mtoto hata kama unauhakika ni wako.
Mwanaume hang'ang'anii Watoto.

Fukuza huyo Mwanamke.
Kama ataona umuhimu wa kukupa mtoto Sawa. Asipoona pia ni Sawa.

Kwenye maisha, kitu cha Kwanza jiangalie Nafsi yako kisha mengine ndio yafuate.
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Unahitaji ushauri private au public ???
 
Dunia ya sasa hivi ukiwa mpambanaji suala la kukosa muda ni la mpito tu.

Huyo my wife wako yuko nawe kimaslahi tu.

Ingekuwa ndio mimi, naondoka na mtoto, najua atazoea kukaa bila mama kuliko kuendelea kukaa na mtu anaenipa msongo wa mawazo.

Likishindikana hilo, nitajipanga kisaikolojia, sitaomba nauli, sitaomba unyumba na ikibidi hata chakula, akiniwekea sawa asipoweka sawa. Nikiwa na hamu nitaenda kupiga hata za buku tatu tatu. Namtoa kabisa mawazoni.

Na uchumi ukitengemaa, najiimarisha kiuchumi bila kumshirikisha kabisa katika mipango ya maendeleo. Ni mwendo wa kimya kimya tu. Hapo ndio kichwa chake kitawaka moto.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii nimeikubali
 
Huyo mwanamke ni kwamba anakosa utu wa kumvumilia mwenzie aliekosa kipato kwa muda tu? Ama kuna mengine yamejificha? Labda pamoja na kuhudumia umekuwa ukimfanyia upumbavu mwingi ambao emevunja moyo wake naye yupo tu kwasababu ya mtoto, sasa akijumlisha na ya kukosa pesa ndo kabisaaa anasema takataka hii ya nini!
Dah, kwanini akuone takataka wakati ambapo ndio unahitaji faraja yake the most?. Ni kukosa utu, na uvumilivu wakati wa shida tu.
 
Back
Top Bottom