ABLE04
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 976
- 2,391
Oya weee!!Nakuapia mambo mengi sana ndani ya nyumba maranyingi napiga punyeto mbele yake ata mishindo miwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya weee!!Nakuapia mambo mengi sana ndani ya nyumba maranyingi napiga punyeto mbele yake ata mishindo miwili
Hawezi from no where akunyime uchumba itakuwa na wewe una TABIA mbaya either ya ukitombi
Hakuwa mjinga kusisitiza hilo tumieni akiliVijana wamekuwa delicate sana nowadays. Aliposema kuishi nanyi kwa akili alimaanisha aisee,akili inajumuisha nguvu ya kufanya maamuzi hata kama ni magumu.
Bahati nzuri au mbaya misimamo ya hivi na mkamaanisha mpo wachache sana
Aisee shida ipo kwako!Ni kweli kunasiku nafsi ilijawa mabaya hasira mpaka nikawaza nife pamoja na mwanangu ili abaki huru lakini maombi nilikuwa nayafuatilia upendo tv yalinisaidia sana
Yani wanaume km nyie mmebaki 1 kwa 10, bado hali teteAlafu Sisi sisi Wanawake tulionao ndio wanaenjoy zaidi, yaani huna utakachowaambia kuhusu Sisi wakakuelewa😂😀
Tuchekiane through email kaka!!!!Private ni bora zaidiVyote sawa.
Acheni kuwatumia watoto ku-justify indecision zenu! Sema tu ukweli - hauwezi kumuacha.
Ushawaza ukifa mwanao atabaki na nani acha woga fanya maamuzi mapema Kingine acheni waminisga wake zenu mnapesa hapo ndio tatizo uhanzia uyu mwanamke alikupendea pesa inaonekana awali ulikuwa unatoa sana pesa kwake so mda huu anaina unamzingua maana hisia zake kwako ni pesa tu ingawa ndio ukweli mwanamke hampendi mtu kama Hana pesa
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana eti mnakimbilia mpakani mwa kwenya kuokoa maisha.We acha tu dada dunia ya sasa sio kama ya zamani huku bunda Mara wake zetu wanatupiga kweli kweli kama watoto wadogo wanatuchapa na magongo inabidi tuwe tunakimbilia kwa wakwe au mpkani Kenya kuokoa maisha yetu
Sawa.Tuchekiane through email kaka!!!!Private ni bora zaidi
Solution sio kumuacha,Dah we jamaa kwaiyo utaacha mwanao au wanao waishi kama watoto wa bata????
Mnalia mno hadi mnakera sasa, 😂 hamna tena mamlaka ya kiumeWe acha tu dada dunia ya sasa sio kama ya zamani huku bunda Mara wake zetu wanatupiga kweli kweli kama watoto wadogo wanatuchapa na magongo inabidi tuwe tunakimbilia kwa wakwe au mpkani Kenya kuokoa maisha yetu
Hata mambo eti ya vikao vya usuluhishi sitaki kabisa. Ukileta ngebe tembea atakuja mwenzako. Pisi nyingi siku hizi wako wengi wanataka hiyo vacancy.Akili 90% + nguvu 10%
Ukishaona Mwanamke anaanza Kubadilika usisubiri mpaka awe tishio kwako, Fukuza.
Mambo ya kuanza kumbembeleza au kutaka kumbadilisha Sisi wengine hizo tabia hatuna
Yani wanaume km nyie mmebaki 1 kwa 10, bado hali tete