Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa we ndio jamaa ungefanyaje ?Fanya unachoona kitakupa furaha
Hakuna kitu inauma kama, mishe haziendi na mtu anakuletea stress ndani. Nje ntiti, ndani ntiti yani kichwa kinaweza kuzima data kabisa.Dunia ya sasa hivi ukiwa mpambanaji suala la kukosa muda ni la mpito tu.
Huyo my wife wako yuko nawe kimaslahi tu.
Ingekuwa ndio mimi, naondoka na mtoto, najua atazoea kukaa bila mama kuliko kuendelea kukaa na mtu anaenipa msongo wa mawazo.
Likishindikana hilo, nitajipanga kisaikolojia, sitaomba nauli, sitaomba unyumba na ikibidi hata chakula, akiniwekea sawa asipoweka sawa. Nikiwa na hamu nitaenda kupiga hata za buku tatu tatu. Namtoa kabisa mawazoni.
Na uchumi ukitengemaa, najiimarisha kiuchumi bila kumshirikisha kabisa katika mipango ya maendeleo. Ni mwendo wa kimya kimya tu. Hapo ndio kichwa chake kitawaka moto.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nakuapia mambo mengi sana ndani ya nyumba maranyingi napiga punyeto mbele yake ata mishindo miwiliHawezi from no where akunyime uchumba itakuwa na wewe una TABIA mbaya either ya ukitombii
Mwamba hawa watu si wakuwanyeyekea kabisa ukizubaa wanatufanya ma mazombie, akikuboa na wewe unamboa ki saikolojia tu. Usitumie nguvu.Hii nimeikubali
We acha tu dada dunia ya sasa sio kama ya zamani huku bunda Mara wake zetu wanatupiga kweli kweli kama watoto wadogo wanatuchapa na magongo inabidi tuwe tunakimbilia kwa wakwe au mpkani Kenya kuokoa maisha yetuIla wanaume mnalizwa siku hizi kila siku ni vilio tu vya kupigwa matukio,, kweli mambo yamebadilika,,
😂😂Kina Eva wamekaza kinoma vilio ni vingi mno, mpaka sasa ubao unasoma Adam 0-Eva 10000000000..... Msipotumia akili mtalia sana ndo kwanza mchezo umeanza
Hahaahaa!Kila siku tunawakataza kuoa nyie mnang`ang`ania tu,sasa ushauri kwaleo haupo..
Labda upost tena kesho
Vijana wamekuwa delicate sana nowadays. Aliposema kuishi nanyi kwa akili alimaanisha aisee,akili inajumuisha nguvu ya kufanya maamuzi hata kama ni magumu.Ila wanaume mnalizwa siku hizi kila siku ni vilio tu vya kupigwa matukio,, kweli mambo yamebadilika,,
Mwache hakupendi uyoNimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Dah we jamaa kwaiyo utaacha mwanao au wanao waishi kama watoto wa bata????Wanaume wengi wanateseka kwny ndoa
Kwa kigezo Cha watoto wataishije
Ujinga huu inabidi ifikie hatua ufe.
Mwisho wa Uzi huu apa✔️✔️✔️Mwanamke akishajua wee Ni mafia,
Huna hofu yoyote kuachana nae ananyooka
Wanawake Wafundi sn kucheza na madhaifu yetu
Bahati nzuri au mbaya misimamo ya hivi na mkamaanisha mpo wachache sanaAkili 90% + nguvu 10%
Ukishaona Mwanamke anaanza Kubadilika usisubiri mpaka awe tishio kwako, Fukuza.
Mambo ya kuanza kumbembeleza au kutaka kumbadilisha Sisi wengine hizo tabia hatuna