Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ukikabudhiwa utaweza kumlea vyema?

Kisheria mama ana nafasi kubwa kupewa mtoto, labda uthibitishe kuwa tabia yake haifai kulea mtoto
 
Kwenye sheria ya Watoto, imeangalia mazingira gani ambayo mtoto akiishi ana uhakika wa maradhi,chakula na mavazi. Kwa hiyo unaweza kuishi na mtoto lakini ni lazima umuandalie mtoto mazingira mazuri.

Miaka 10 si haba mjue mtu unayeishi naye ni mtu wa aina gani. Lakini pia silka ya huyo mtu ikoje mwanadamu jinsi anavyokua ndivyo jinsi ambavyo matamanio yake na malengo yanabadilika. Tafuta kazi usitoke kwenye chaki ila badili mfumo wa kutafuta kazi. Huo ni upande umejiongelea wewe hatujui na yeye ana lipi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…