Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

NASEMA HIVI; VIJANA WOOOOTE MNAOPINGA KUOA ILIHALI HAMJAWAHI KUOA MKAPITIA CHANGAMOTO ZA NDOA MKO NA SHIDA MAHALI AMA NYIE NDO MNAOLEWA! MWANAUME KAMILI WA KIAFRICA NI YULE WA KUMILIKI MKE NA KUTIMIZA MAJIKUMU YOOOTE
 
Nimependa sana comment Yako. Huu ndo ukweli wa Dunia ya Sasa. Mtoto ni wa mwanamke. Wewe mwanaume songa mbele kazalishe wengine maisha yaendelee.
 
Mwanamke ndio kawa mwanaume hapo ndio ulipo fail inawezekanaje una lia una kuwa dhaifu unataka kujiua zote hizi ni tabia za kike ..Cha msingi fikilia kazi utengeneze maisha mengine wanawake kibao huyo mtoto muache kwa mama mpaka amalize la saba then umtafutie shule ya bweni utakuwa una enda kumuona shuleni ni simple na ni cheap uamuzi ni wako
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwa hiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familia kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vipi kuhusu kumchukua mwanangu ana miaka 10 wa kike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu?

MSAADA WA KIMAWAZO WANAJAMII.
Miaka 11 ya mahusiano mtoto 1 tatizo limeanzia hapa.
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwa hiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familia kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vipi kuhusu kumchukua mwanangu ana miaka 10 wa kike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu?

MSAADA WA KIMAWAZO WANAJAMII.
Acha kulia lia wewe wanawake wako wengi unashindwa kumpata mwingine we utakuwa mkristu maana wenzetu waislamu hawanaga kuremba
 
Ni ngumu ila suluhisho ni kumuacha tu
 
Mkeo angekuwa hafanyi kazi ungefanyaje?.. kwenye kunyimwa unyumba lazima Kuna chanzo,,inawezekana unamlazimisha ahudumie familia ..kuitwa mwanaume SI Lele mama bro.wanaume hatuvunji ndoa kizembe hivyo..
Usimsikilize huyu feminists
 
Hapa ni mwanangu tu mtoto analia kila siku anasema mm nataka kuishi na wazazi wangu wote uzur mtoto wangu anaupeo mkubwa sana dah inaniumiza sana ndoa siifikirii tena

Huu ndo ujinga ambao siuelewi, yani ina maana mtoto wa miaka 10 anajua mnataka kuachana? Rubbish kabisa kabisa, anapaswa kujua maamuzi ya kuachana kwenu. Kwani ulifikiri atasema nataka muachane?

Wewe hutaki acha mke na ni mwoga unakuja kutafuta huruma, hakuna mtu anataka ndoa ivunjike, wewe vumilia, be a Man naacha kucheza ngoma za mwanamke.
 
Ni kweli kunasiku nafsi ilijawa mabaya hasira mpaka nikawaza nife pamoja na mwanangu ili abaki huru lakini maombi nilikuwa nayafuatilia upendo tv yalinisaidia sana

Wewe ni mtu zaifu. Ufe na mwanao kwanini unaamua fate ya mwanao? Mwanao ni kiumbe huru anatakiwa aishi mpaka Mungu atakavyomjalia.
 
Songa mbele utapata matatizo makubwa zaidi kwa kungangania hapo. Nenda kaanze upya ikiwezekana mtoto muweke shule ya bweni au kama anahusiano mzuri na mama yake mwache akae nae muhimu utoe matunzo hasa ada na mahitaji ya mtoto. Na pia uweke utaratibu wa kumchukua angalau mara moja kwa mwezi au wiki 2 hata weekend tu ili ujenge nae ukaribu.

Tunaishi mara moja tu hivyo jitahidi uishi kwa amani ya moyo na kujipunguzia mateso maana hujui lini unaondoka.
 
Mkuu kwa ninavyojua famili yao mtoto wangu atapata tabu sana ndiyo maana nikaomba kujua je ninaweza kwenda kisheria nikapewa mwanangu japo niwakikee???
Pole sana mkuu.

Unaweza kwenda Mahakamani ukapeleka maombi ya malezi ya mtoto (custody of a child).

Sharti ni kwamba lazima mtoto awe amefikisha umri wa miaka saba; ambapo Mahakama itamuuliza kwanza mtoto kwamba atapendelea kuishi na baba au mama, ingawa majibu ya mtoto hayatakuwa final and conclusive.

Iko hivi, ikiwa mtoto atachagua kuishi na mama na Mahakama ikajiridhisha kwamba mama ni mlevi sana; basi mama hatapewa mtoto kwasababu hatampa malezi bora, mtoto atapewa baba. Kuna kitu tunaita 'best interest of the child' ndiyo kinaifanya Mahakama isikubaliane na chaguo la mtoto.

Kazi kwako mkuu. Tafuta Wakili akusaidie katika hili.
 
Alafu kwa hili wimbi limekuja kwa kasi la ushoger sjui linachangia, haiwezekani mtu hata hajawai kuoa afu anasema hakuna kuoa!! Inamaana anaolewa yeye
Ukiona dume zima linasema kataa ndoa ujue tayari linatiwa pipe
 
Nina mashaka na principle zako kama dume ndo yanayokutokea hayo

Mwanaume atakama ukishuka kiuchumi lazima ulinde heshima yako

.tumia akili mkuu tumia 🧠 la sivyo

Kuchapiwa kwake ni kama kupumua tu daily


#kaa chonjo#
Principles za kidume zipoje? Fafanua
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwa hiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familia kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vipi kuhusu kumchukua mwanangu ana miaka 10 wa kike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu?

MSAADA WA KIMAWAZO WANAJAMII.
Pole mkuu unawahurumia mtoto mkubwa hivo na mama yake anafanya kazi ww vipi mkuu wewe tembea ukakae sehemu Kwa muda uone reaction ya mkeo na ajifunze huyo si ni mama yake huna haja ya kuogopa.
 
Pole sanaa ilaa tafuta hela kwa sasaa akikuachaa acha aendee hata na mtoto USITAFUTE MAHUSIANO MAPYA... wanawake ndivyo walivyoo sio kwamba wapo after money hapana hawajazoeaa kuumiza akili wala stress so kuwa mpole muache aamue yeye na kuhusu sex usimsumbue kabisaa fanya kama humuoni.. Timiza majukumu pale unapoweza akizidisha matusi na dharau bhasi muache uende ukaanze maisha pengine maana unaweza mfanya kitu kibaya ukaishia pabaya.
Zingatia ushauri wa jamaa hapa.
 
Paul, kama umefunga ndoa kanisani fata muongozo wa kanisa na uheshimu usidanganywe na mtu au nafsi yako. Kama hamjafunga ndoa unahitaji kuelewa ndoa ni nini ili utafite mtu sahihi.

In case unahitaji moral and spiritual advice nikiwa Mkristo Mkatoliki nipo tayari tushauriane! Mungu akubariki na kukutangulia

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom