Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Same as your mamaprostitute 😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same as your mamaprostitute 😡
Sio wote mkuu. Sometimes wanawake wanawatesa kwa sabbu kipindi mlivyokuwa nazo mliwatesa pia. Ninukuliwe vizuri..sometimes. kuna wanaume leo ana pesa. Ana gari kadhaa, nyumba na kila kitu. Anarudi nyumbani saa nane and akiulizwa anasema mimi mwanaume sihojiwi. Mwanamke anakuwa wa kulia na kupeleka kesi za usaliti, vipigo kutoka kwa mwanaume. Anaambiwa vumilia ndoa ndo ilivyo. Kama huyu mwanamke hana Mungu moyoni kwamba anatakiwa asamehe na kumuachilia mume wake usitegemee atasamehe jumla. Atatulia tu. Anaanza kujipanga taratibu. Anainuka na yeye kiuchumi. Akiweza kusimama vizuri..shetani anakudondosha wewe uliekua unamtesa.Wanawake wanatutesa Sana wanaume pindi mambo yanapoyumba
Ndio, atulie tu apambane nayo😂kwahio asikimbie matatizo yake apambane nayo 🤣 hii ni statement ya nguvu sana leo.
Kama kuna ukweli hivi!!Mnisamehr ila wanaume wengi wa kichaga ni mazezeta kwenye mapenzi,, mko soft mno na mapenzi hamuyajui,, wanawake wanawapenda kwasababu ya uwezo wa kutafuta ila ule udume hamna mfano ni wewe mwenyewe ndo maana unajiliza hapa
Vihele hele ndiyo nn rudi darasani kwanzaVIHELE HELE VYAO VYA KUOA.. ACHA WAISOME NAMBA VIZURI
Ila bora hamuwatelekezi mitaani ila mnawatelekeza kwa bibi zao au mama zao. Lakini ajabu hata wanawake wenu pia wanatelekeza watoto🙆🙆🙆🙆Ngoja nikupe siri ya watu wa kilimanjaro siyo kupenda ndiyo maana ningumu kukuta watoto wa mitaani labda wawe wakuja ila siyo mzawa.Huwa tunajali sana watoto asilimia kubwa
Sijawahi kudate mchaga ila nawaona kwa ndg jamaa marafiki,, mh wamepoa km uji wa juzi na wengi walivyo weupe ndo kabisaaKama kuna ukweli hivi!!
😂😂😂😂😂😂Sijawahi kudate mchaga ila nawaona kwa ndg jamaa marafiki,, mh wamepoa km uji wa juzi na wengi walivyo weupe ndo kabisaa
Kwamba hawajui mambo kitandani na ni viba100 wengi wao?Sijawahi kudate mchaga ila nawaona kwa ndg jamaa marafiki,, mh wamepoa km uji wa juzi na wengi walivyo weupe ndo kabisaa
Umeelewa hujaelewa ?Vihele hele ndiyo nn rudi darasani kwanza
Unaweza soma huu mwandiko ukajisemea mwamba huyu hapa! Kuuumbe mtu akikujua vizuri anaeza jizarau adi ajiueMwanamke akifanya hivi unafukuza pasipo mijadala wala kuomba ushauri
1. Akiku-cheat
2. Akiwa mshirikina au mchawi
3. Akikunyima unyumba bila sababu ya msingi au anakupa kadiri anavyojisikia.
Mwanamke lazima aelewe kuwa wewe sio mtoto Mdogo. Aelewe kuwa Wewe ni Mumevna mwanaume.
Unapofukuza MTU Kwa Makosa hayo usifikirie mambo ya itakuwaje, fukuza.
Mambo ya Watoto aking'ang'ana muachie.
Vijana WA siku hizi mmekuwaje, unang'ang'ania Watoto umekuwa Mama Yao.
Baba hang'ang'anii Watoto.
Watoto na Mama Yao ndio wanatakiwa wakung'ang'anie.
Kama kuna Mali, mwambie achukue anazoona zinamfaa, kama utapenda Haki gawaneni pasu Kwa pasu.
Ushapata Watoto Wawili wanatosha, Mwanamke kajichanganya mwenyewe, fukuza akupunguzie mizigo.
Ishi Maisha yako Kwa Raha,
Kwa Ulimwengu wa sasa Kwa Wanawake tunatafuta Watoto, ukishawapata Basi.
Alafu kwa hili wimbi limekuja kwa kasi la ushoger sjui linachangia, haiwezekani mtu hata hajawai kuoa afu anasema hakuna kuoa!! Inamaana anaolewa yeyeKuna promo nyingi zinaendelea hapa Jf kupinga watu kuishi kwny ndoa,na watu kuowa na kuolewa.
Mambo ya ndoa na familia yajadiliwe kweny ngazi za familia sio mitandaoni.