G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Malaya ndio hapendi mwanaume bila posho 😀😀😀 ila mwanamke anaejielewa anajua shida ni mambo ya kupita tu
Ushawaza ukifa mwanao atabaki na nani acha woga fanya maamuzi mapema Kingine acheni waminisga wake zenu mnapesa hapo ndio tatizo uhanzia uyu mwanamke alikupendea pesa inaonekana awali ulikuwa unatoa sana pesa kwake so mda huu anaina unamzingua maana hisia zake kwako ni pesa tu ingawa ndio ukweli mwanamke hampendi mtu kama Hana pesa