Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Ndoa yangu inakwenda kuvunjika naombeni ushauri nifanyeje?

Mkeo angekuwa hafanyi kazi ungefanyaje?.. kwenye kunyimwa unyumba lazima Kuna chanzo,,inawezekana unamlazimisha ahudumie familia ..kuitwa mwanaume SI Lele mama bro.wanaume hatuvunji ndoa kizembe hivyo..
Thank you....
 
na wanaume tujituinii kupunguzaa kupendaaa ngonoo huwa inasaidia sanaaa ukiwa na mwanamke wew kila siku unampandisha sketii unaweka dyudyu jua haumkomoi ila unajitengenezea mazingira ya kuwa mtumwaa wa ngono na mwanamke akitaka lake anatumia uchi kama fimbo na trust me mwanaume ukizoea kuwekaa aiseee kukaa week hujawekaa unaweza hisi kufa.
Aloooh.
 
Mpe taraka utamua bure ufungwe au ujiue mwenyewe, Tuliza akili Beba chombo kingine
 
Mwanamke akifanya hivi unafukuza pasipo mijadala wala kuomba ushauri

1. Akiku-cheat
2. Akiwa mshirikina au mchawi
3. Akikunyima unyumba bila sababu ya msingi au anakupa kadiri anavyojisikia.
Mwanamke lazima aelewe kuwa wewe sio mtoto Mdogo. Aelewe kuwa Wewe ni Mumevna mwanaume.

Unapofukuza MTU Kwa Makosa hayo usifikirie mambo ya itakuwaje, fukuza.
Mambo ya Watoto aking'ang'ana muachie.

Vijana WA siku hizi mmekuwaje, unang'ang'ania Watoto umekuwa Mama Yao.
Baba hang'ang'anii Watoto.
Watoto na Mama Yao ndio wanatakiwa wakung'ang'anie.

Kama kuna Mali, mwambie achukue anazoona zinamfaa, kama utapenda Haki gawaneni pasu Kwa pasu.
Ushapata Watoto Wawili wanatosha, Mwanamke kajichanganya mwenyewe, fukuza akupunguzie mizigo.

Ishi Maisha yako Kwa Raha,
Kwa Ulimwengu wa sasa Kwa Wanawake tunatafuta Watoto, ukishawapata Basi.
Kwenye list yangu ya wanaJF bora wa mwaka 2022 kwa nyuzi kali niliondoa jina lako kwasababu kuna post zako zilikuwa kama unanipa makavu LIVE. We taikoni sio mtu mzuri 😄😄
 
Mnisamehr ila wanaume wengi wa kichaga ni mazezeta kwenye mapenzi,, mko soft mno na mapenzi hamuyajui,, wanawake wanawapenda kwasababu ya uwezo wa kutafuta ila ule udume hamna mfano ni wewe mwenyewe ndo maana unajiliza hapa
Njoo ujarbu ili uelewe kinachosemwa
 
Wale jamaa wa KATAA NDOA wana hoja za maana. Huwa nafikiria huu uhuru wangu nilio nao kwa sasa nije niupoteze kisa papuchi huwa napatwa na hasira balaa. Pia nikifikiria ile siku ya harusi wakubwa wanatoa nasaha zao na kuniambia ndoa ni uvumilivu huwa nakasirika zaidi.
 
Njoo ujarbu ili uelewe kinachosemwa
Kwa kamasi hizi zinazokutoka una kipi sasa cha kuvutia mwanamke na wewe hebu usinichekeshe, wanawake huwa hatuhangaiki na mwanaume anaelizwa na mwanamke maana tunajua ni boya flani hivi, fatilia utagundua wanawake tunamkimbilia sana mwanaume anaeliza wanawake sio anaelilia wanawake km wewe
 
Pesa ya mwanaume kwa mwanamke ni SECURITY. Mkeo hajisikii kuwa salama; yeye na mwanae pia so reaction yake ni panick!

Acha kutaka kuvunja ndoa kwa mambo madogo. Vingine ni vya kuelewa tu na kuacha vipite. Kwani utakosa hela kila siku?

Wanaume wa sasa fragile sana, kidogo mnataka kukimbia. Yaani una family nzuri unataka kuivunja kisa mnuno wa mke? Ukipata anayetembea hata na baba yako mzazi si utajiua wewe!
Hatujafunzwa kuvumilia shidaa na maudhi ya wanawake ndo maana... wazee walikuwa wanakaza kidogoo sema hata kina mama hawakua na mdomoo mchafu na maudhi kama nyiee ndo tatizooo
 
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.

Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.

Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.

Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.

Sikia ushauri wangu, usivunje ndoa kama sababu ni hiyo tu, ukipata mwanamke anayekusaidi kifedha shukuru, ukikosa pambana.

Kutopata unyumba ni frustration tu, na tena inaweza kuwa inferiority complex yako.
 
Kwa kamasi hizi zinazokutoka una kipi sasa cha kuvutia mwanamke na wewe hebu usinichekeshe, wanawake huwa hatuhangaiki na mwanaume anaelizwa na mwanamke maana tunajua ni boya flani hivi, fatilia utagundua wanawake tunamkimbilia sana mwanaume anaeliza wanawake sio anaelilia wanawake km wewe
Ujui familiy ya mtu na yanyojiri kwaiyo be silent
 
Hali ni mbaya, wanawake Wengi hamtaki kutoa papuchi kwa waume zenu shida nini, watu wazima tena wazee, wanalalamika unaweza kuta mwaka mzima mke hatoi papuchi, mke akiulizwa anajibu Mume kuwa, kila saa anawaza ngono au mume anapewa masharti ya kupewa papuchi, lazima anunue hiki ndio apewe nyapu Kalpana
😆 😆 😆 😆 hamna bana Balqior
Hao ni watoto sio matured
 
Back
Top Bottom