Mwanamke akifanya hivi unafukuza pasipo mijadala wala kuomba ushauri
1. Akiku-cheat
2. Akiwa mshirikina au mchawi
3. Akikunyima unyumba bila sababu ya msingi au anakupa kadiri anavyojisikia.
Mwanamke lazima aelewe kuwa wewe sio mtoto Mdogo. Aelewe kuwa Wewe ni Mumevna mwanaume.
Unapofukuza MTU Kwa Makosa hayo usifikirie mambo ya itakuwaje, fukuza.
Mambo ya Watoto aking'ang'ana muachie.
Vijana WA siku hizi mmekuwaje, unang'ang'ania Watoto umekuwa Mama Yao.
Baba hang'ang'anii Watoto.
Watoto na Mama Yao ndio wanatakiwa wakung'ang'anie.
Kama kuna Mali, mwambie achukue anazoona zinamfaa, kama utapenda Haki gawaneni pasu Kwa pasu.
Ushapata Watoto Wawili wanatosha, Mwanamke kajichanganya mwenyewe, fukuza akupunguzie mizigo.
Ishi Maisha yako Kwa Raha,
Kwa Ulimwengu wa sasa Kwa Wanawake tunatafuta Watoto, ukishawapata Basi.