rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
😀 😀 😀 😀 😀itakuwa manzi kafunga uzazi jamaa hana maishaaMiaka 10 mtoto mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 😀 😀itakuwa manzi kafunga uzazi jamaa hana maishaaMiaka 10 mtoto mmoja?
Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu
Ni ngumu sana kumbadilisha Tabia mtu mzima aliye amua kwenda kinyume na maadili..Nimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Acha siasa kijana watu wa kilimanjaro wana utofauti gani na watu wengine? Wanawake ni wale wale, wanaume ni wale wale mapigo ya mahusiano yanatofautiana kidogo tu ila mdundo ni ule ule.Ngoja nikupe siri ya watu wa kilimanjaro siyo kupenda ndiyo maana ningumu kukuta watoto wa mitaani labda wawe wakuja ila siyo mzawa.Huwa tunajali sana watoto asilimia kubwa
1 kati ya 10.Inategemea na namna mnavyoishi,nina jamaa yangu amepata changamoto kazini tangu mwaka jana mwanzoni,ila mkewe bado anamuheshimu na kusupport familia..... anyway haya mambo magumu sana
alpha 1 team evacuating......0ver and outAlpha 1 Kindly evacuate ...do you copy?..over
Kwa maisha ya Sasa hivi Mwanaume jitahidi sana usikose Hela ya kumbadilisha mbogaNimeishi na mwanamke miaka 10 tunamtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwaiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familiya kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Vp kuhusu kumchukua mwanangu anamiaka 10 wakike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu??MSAADA WAKI MAWAZO WANA JAMII.
Pole ,andaa future ya mwanao na wajukuu zako .Kujiua ni udhaifu wa kiwango kikubwa sana .Ni kweli kunasiku nafsi ilijawa mabaya hasira mpaka nikawaza nife pamoja na mwanangu ili abaki huru lakini maombi nilikuwa nayafuatilia upendo tv yalinisaidia sana
Mamboo ni bull bull...😄😄😄😄tukoo palee..tunawaangaliaa😂😂Kina Eva wamekaza kinoma vilio ni vingi mno, mpaka sasa ubao unasoma Adam 0-Eva 10000000000..... Msipotumia akili mtalia sana ndo kwanza mchezo umeanza
Kiukweli tabu wanaipata pataMamboo ni bull bull...😄😄😄😄tukoo palee..tunawaangaliaa
Na hatuna Cha kuwasaidiaaa😅😅😅Kiukweli tabu wanaipata pata
Mnisamehr ila wanaume wengi wa kichaga ni mazezeta kwenye mapenzi,, mko soft mno na mapenzi hamuyajui,, wanawake wanawapenda kwasababu ya uwezo wa kutafuta ila ule udume hamna mfano ni wewe mwenyewe ndo maana unajiliza hapaNgoja nikupe siri ya watu wa kilimanjaro siyo kupenda ndiyo maana ningumu kukuta watoto wa mitaani labda wawe wakuja ila siyo mzawa.Huwa tunajali sana watoto asilimia kubwa
Wapambane na hali zao 😂😂Na hatuna Cha kuwasaidiaaa😅😅😅
Kwa kwelii😂😂😂Wapambane na hali zao 😂😂
Boraa umesemaaaana wanaume tujituinii kupunguzaa kupendaaa ngonoo huwa inasaidia sanaaa ukiwa na mwanamke wew kila siku unampandisha sketii unaweka dyudyu jua haumkomoi ila unajitengenezea mazingira ya kuwa mtumwaa wa ngono na mwanamke akitaka lake anatumia uchi kama fimbo na trust me mwanaume ukizoea kuwekaa aiseee kukaa week hujawekaa unaweza hisi kufa.