Ndoa yangu inateketea

Brother pole mi na wewe tupo kwenye same boat! Pitia nyuzi zangu HIV karibuni... Nimeumizwa mpaka Basi na nakuona tu na wewe unatakavyopitia mule mule kama hautakua strong.

Kikubwa fahamu mwanamke akitaka lazima litimie hata ufanyaje... Let her gooo!!! Ukimuomba Mungu anajibu ila si kwa haraka mpaka analolitafuta huyo mkeo limfike
 
Kitu cha kufanya
1. Pambana na afya yako kwanza na usiwaze kitu chochoteee.

2. Kubaliana na hali
Yaani hapa amini kabisaa hauangalii bongo movie ni kweli kabisaa liko kwako.

3. Usijilaumu hata kidoogo
Kwa namna yoyote ile epuka kujilaumu japo sababu zinaweza kuja zenye mashiko.

4. Jiepushe na visasi.
Kwa njia yoyote ile usijidanganye kulipa kisasi aseee. Thamani yako ni kubwa ukilinganisha na ya kwake kwa sasa, hivyo kitendo cha kupata watoto na yeye hiite we ni kidume.

5. Tafuta hela kwa uhuru.
Huyo kasaidia ukombozi wa uhuru nawe tafuta ukomboe kipato chako.

Mwisho kabisa japo si kwa muhimu.
Hivi kimoyomoyo haufurahi kuachwa huru?
Huo ni ukombozi. Ulioa kwa kuwa una kazi kazi imeondoka imeondoka na ilivyokuja navyo hivyo jipange upyaa
 
Asante kaka,nimeanza kuukali uhalisia
 
Daah nimesoma hii ni ya muda imeniuma sana pole sana ila nadhan ulipata muafaka
 
Nashukuru kwa kunifariji mkuu,yaan kumpoteza mtu uliyemthamin na kushea mambo mengi inaumasana
Assert namba moja duniani ni AFYA YAKO, kwa sasa pigania afya irudi kwenye mstari,na hilo ukifanikiwa jikite kuinuka tena kiuchumi. Wallah nakuhakikishia hiyo vita hutaiweza kamwe na hutashinda ukiipigana sasa ambapo afya ni mgogoro na kiuchumi umeyumba... Pole sana..
 
Ukijions una matatizo pitia huku ... ndio utaona ya kwako HAMNA KITU
 
Yani unafiwa na baba mzazi mkeo anashindwa kuhudhuria msiba? Baba mkwe ni baba na mwajiri yeyote anamchukulia hivyo so bro sikushauri uendelee na huyo mwanamke maana Hana upendo kwako
 
mkuu pole sana, mambo ya ndoa sometimes amua mwenyewe
 
Kaka kosa kubwa ni kumwacha muda mrefu mkeo kwa wakwe hii inagharimu ndoa nyingi.
 
cha muhimu sana usijevunja ndoa utakaribisha mikosi maishani. Mimi baada ya kuvunja ndoa ilifuata mikosi non stop kila ninachogusa hakiendi kafibia mwaka mzima
 
Maisha ni mwalimu mzuri sana, hana likizo, hachoki kukufunza, wakati wowote unapokasirika, unapokwazika, fungua macho uone, tega sikio usikie kwasababu wakati huo lyf linakuambia jambo, usikivu na utizamaji ni juu yako

Robert Kiyosaki
 
sorry nje ya maada, hivi ni kweli corona inatesa kiasi hicho, kwa sisi tulio vijijini tunaishi kama tupo jerusalem kwa kweli tunasikia tu radioni .
Pole sana mkuu jifunzi kumuacha aende kikubwa tu ushapata watoto ingawa sinauhakika kama na hao watoto ni wako kweli au alikubambikizia ila ishi kwa kuamini kuwa tulizaliwa mara moja na tutakufa mara moja , piga moyo konde wewe ni wathamani zaidi ya huyo mke wako, Taraka ni jambo la muhimu kwa maisha yako ya baadaye, Bwana Yesu akuponye ninakuombea
 
Wanawake tunadanganyana sana mwanaume akifilisika
But the future is uncertain Mungu atakupa wa kufanana nae in future pole sana mkuu muache aende
 
Wadau wameshasema mengi,ila kwa dhani nimechukua sekunde 30 kufumba macho na kuomba Mungu akupe afya na ukakutane na mkono wake.All the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…