Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Hizi kinga za kuzuia mimba baadhi zina madhara kwa wanawake.

Moja wapo ni kupoteza hamu ya tendo.

Kuna mmoja alieleza uzoefu wake kwenye semina ya afya alisema kuna kinga zinawawasha mpaka wanadhalilika, wanajikaza kujikuna lakini mwisho wa siku lazima wajukune hata iwe kwenye daladala
 
Umetumwa? Usitengeneze tatizo pasipo na tatizo. Huo ni uchawi.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
mama yako anataka awe bibi wa wajukuu lakini mke wako anajiamulia kuzaa mtoto moja, je utaongezea hao wajukuu wengine wapi?

mke wako hana hamu ya kukupa unyumba, anaweza kukupa mara 1 tu kwa miezi miwili, uta deal vp na hii hali bila kutenda dhambi ?
 
hicho cha mtoto, anaweza akawa kapata hali ya kiafya ambayo haimruhusu tena kushiriki tendo, hapo vp?
Ni hekima kubwa sana Mungu kuruhusu make zaidi ya mmoja maana hawezi weka amri huku kwingine akufunge. Yani aseme usizini huku mke ana maradhi ndio maana akaruhusu. Allahu Akbar
 
Kuna mmoja alieleza uzoefu wake kwenye semina ya afya alisema kuna kinga zinawawasha mpaka wanadhalilika, wanajikaza kujikuna lakini mwisho wa siku lazima wajukune hata iwe kwenye daladala
Madhara ni mengi...alafu hakuna utatuzi wowote
 
na hata kwenye biblia imeruhusu kuoa mke zaidi ya moja lakini sasa ukristo umevamiwa na viongozi wa makanisa.

Kama umeitizama hiyo video anaeleza vizuri kuwa hakuna sehemu Bibilia imekataza hilo jambo bali kanisa ndilo lililozuia. Napia kaeleza kuhusu dini nyengine.

Mimi naamini hili suala la kulazimisha watu waoe mke mmoja ni ajenda za kishetani za kimaharibi, mana ni wazi kuwa zinakwenda kinyume na dini pamoja na mila zote za kidunia.
 
Unavyoahangaika na ukristu utadhani umefungwa kamba🤣🤣
 
Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa

-mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
-mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
-mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
-kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.

yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume ).

suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?
Una miaka mingapi ndugu yangu? Inaonekana una umri mdogo au ni mgeni wa mahusiano pia. Lakini ushauri wangu ni huu ufiatao......!

1. Kama mkeo amepangiwa kazi mbali na wewe umejiajiri fanya mpango ahamie unapofanyia kazi, sheria inaruhusu (kama mmefunga ndoa na cheti mnacho) hiyo kesi itakuwa imeisha hivyo. Kama umeajiriwa pia mwambie aombe uhamisho akufuate ulipo.

2. Kama hataki kuongeza mtoto wakati wewe unahitaji basi ndoa yenu mlikurupuka. Kipindi cha uchumba ndyo kipindi ambacho mnatakiwa kukubaliana kuwa mzae watoto wangapi, kipato chenu mtakitumiaje? Kwahiyo kama anapata ujasiri wa kuamua hivyo pekee yake maana yake anakumudu vizuri na anajua huwezi fanya lolote kwake.

3. Kama mwanamke wako hana hamu ya kufanya mapenzi na wewe mara kwa mara brother hapo kuna mwanaume mwenzako anapewa uroda wako mara kwa mara na anapiga show bora kuliko wewe. (Nina ushahidi kwenye hili) kwahiyo jipange kisaiokolojia kuwa hiyo ndoa haina mwendo mtefu itakufa au kufubaa.


4.Jiongeze, wewe ni mtu mzima ndyo maana ulioa. Tumia akili na mbinu za kiume ili usiwahi kufa.
 
Back
Top Bottom