Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa

-mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
-mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
-mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
-kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.

yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume ).

suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?

Nilishamwambiaga Shetani sitachepuka hata itokee mke wangu ataninyima unyumba milele.Maana niliona wengi wanachepuka kwa kisingizio cha kunyimwa tendo la ndoa.

Hivyo mkuu,elewa siku zote ni mpango wa Shetani kuharibu ndoa za watu.Endelea kumuomba Mungu akupe msaada.na pia endelea kuwa mwaminifu ktk ndoa yako
 
My dear bado hujakutana na mbaba anakwambia nataka wa tano hapa, mbona uzazi wako wa mpango utavurugika. Alafu wewe kwenye uzi ule kujimwambafai kumbe gari zao za mkopo mbona sijakuona wewe jamani.
Atakupangiaje na mwili wako bwana!!

Sijauona huo uzi.
 
Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa

-mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
-mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
-mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
-kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.

yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume ).

suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?
Dah Poleni wakristo
Tukisema Uislamu ni dini ya haki mnatubeza ona sasa
Uislamu unaendana na Maumbile ya mwanadamu ktka hali zote
mm stki kusema saana ila ukikaa mwenyewe ukifikiria haswaaa na ukiacha ushabiki utajua ukweli uko wapi
 
Kuna mmoja alieleza uzoefu wake kwenye semina ya afya alisema kuna kinga zinawawasha mpaka wanadhalilika, wanajikaza kujikuna lakini mwisho wa siku lazima wajukune hata iwe kwenye daladala
Ndo wakome kwann Muumba hajatuekea hizo kinga bcz watu wanamuasi Muumba wanadhani wataachiwa tu watadhalilishwa tu
 
Dah Poleni wakristo
Tukisema Uislamu ni dini ya haki mnatubeza ona sasa
Uislamu unaendana na Maumbile ya mwanadamu ktka hali zote
mm stki kusema saana ila ukikaa mwenyewe ukifikiria haswaaa na ukiacha ushabiki utajua ukweli uko wapi
Wakristo wa Zama hizi wabishi sana
 
Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa

-mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
-mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
-mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
-kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.

yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume ).

suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?
Feminists watakuja kukushambulia sana mkuu. Na hapa wataanza kuvurumisha kashfa na matusi kwa uislam
 
Weka angalizo ma bachelor wapite kushoto, ng'ambo ya Mama Samia huko.
Hapa tuna deal na seriously issue.

Same problem mkuu,navuta mkeka kusubiri suluhisho.
Tatizo la kujitakia. Vuta chuma cha pili mzee
 
Nipo mkoa x na wife mkoa y ...wote watumishi nilivyoona vimelea vya uzinzi vitanipata nikajiongeza kuoa mke.....

Kinachokera Sana Ni muda was malezi...aisee unaboa Sana kubembelezana ule mzigo ....

Halafu sisi hatuna habari za misindano kumkinga mke....

I enjoy two wives......
Mkuu mimi mwenyewe mke mmoja itakuwa hapana kwa kweli
 
Mimba zinachangamoto sana, ukute huyo mmoja amekulia shida tupu ndo maana mke hataki kuongeza mtoto
Habari za ukute tena?? Hebu kubalini katika hili inabidi tu wanaume wawe na wake zaidi ya mmoja
 
1. Kama mkeo amepangiwa kazi mbali na wewe umejiajiri fanya mpango ahamie unapofanyia kazi, sheria inaruhusu (kama mmefunga ndoa na cheti mnacho) hiyo kesi itakuwa imeisha hivyo. Kama umeajiriwa pia mwambie aombe uhamisho akufuate ulipo.
sio kirahisi kama unavyofikiria, mwanaume umehamishiwa kazi halmashauri ya tarime na mke wako ni lecturer anaefundisha chuo ambacho kipo Dar pekee, hapo inakuaje?
2. Kama hataki kuongeza mtoto wakati wewe unahitaji basi ndoa yenu mlikurupuka.
-wala hata usiongee sana, kiufupi ni kwmba hakuna njia nyingine ya kuiongeza mtoto hapo,
- na vipi akiwa hana uwezo wa kuzaa ?

3. Kama mwanamke wako hana hamu ya kufanya mapenzi na wewe mara kwa mara brother hapo kuna mwanaume mwenzako anapewa uroda wako mara kwa mara na anapiga show bora kuliko wewe.
Hio ni moja ya sababu, kwa hio hapo kiufupi inabidi uwe mvumilivu tu wakati mwenzako anapiga show.
lakini vipi pia mwanamke akipatwa na maradhi ama ajali ambayo haitamruhusu kushiriki tena tendo?

nina swali la ziada, vp mke akienda jela miaka 20 ?
 
Nipo mkoa x na wife mkoa y ...wote watumishi nilivyoona vimelea vya uzinzi vitanipata nikajiongeza kuoa mke.....

Kinachokera Sana Ni muda was malezi...aisee unaboa Sana kubembelezana ule mzigo ....

Halafu sisi hatuna habari za misindano kumkinga mke....

I enjoy two wives......
Huko Y am sure kuna Jamaa anakusaidia kumliwaza wife....
It's not easy as you think guys...inauma pale unapigwa na baridi la usiku huku unajua mumeo kakumbatiwa huko.....kifuatacho ni kipoozeo!
 
Ukisikia biblia utakuta, Abraham alipewa mjakazi wake amzalie, naye ndiyo Baba wa taifa teule!
Mfalme Suleiman idadi ya wanawake zake Hadi nahisi alikuwa anatoa povu!
Daudi mteule wa Mungu,

Sasa hao vigogo tunayoambiwa Mungu alikuwa anawatokea, na wanapiga story walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja, mimi na wewe ni kina Nani!?! Tukomae na mmoja!?!

Yesu alisema nakuja kutengua vitabu!
 
suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?
Wao wenyewe wanazivunja sana, wakati mwingine jaribu kufuatilia mahubiri yao na mifano yao kwa sikio na jicho la tatu utajifunza mambo kadhaa juu ya mienendo yao.
 
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.
Kuna kigogo mmoja alialikwa mgeni rasmi kwenye mahafali mahali fulani, kufika pale akaona figure 8 moja akashindwa kujizuia akaipiga promotion ikahama na kwenda kushika nafasi ya uongozi somewhere, wenye ufahamu wakajua kinachokwenda kuendelea mbele ya safari
 
Mimi sio bachelor, ninachosema ni hivi muache ujinga. Yaani mwanamke anipangie siku za kulala nae nimuvumilie?

Nyie wanaume wa dar acheni ujinga
Kweli kabisa waache ujinga...janamke la namna hiyo unalivumiliaje....huyo anapaswa akute ulishaleta mrembo mwengine ndani ya munyumba
 
mpandishe cheo tu mkuu, awe bi mkubwa na mtoto wake mmoja akiendelea kukaa mkoani na wewe unabaki mjini ukiwa na msaidizi wake bimdogo...
 
Back
Top Bottom