Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Ndoa za Kikristo: Mke anapoamua muwe na mtoto 1 tu, hataki kukupa unyumba, yupo mkoa wa mbali kikazi - suluhisho ni lipi?

Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa

-mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
-mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
-mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
-kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
-mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.

yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume ).

suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja ?

Wewe lengo lako unataka watu waseme uoe mwingine au uchepuke
 
Tatizo la watoto wa nowadays mna ukaidi mwingi sana..MUNGU aliesema "mtaambatana" mnadhani alikuwa hajui yajayo...alijua tu mtapata nyeg[emoji16] now and then...ndio maana akasema muambatane muwe pamoja mkae sehemu moja...ila nyie sasa..mume Mwanza..mke..mtwara...haya bhana..mie nikiolewa naacha kila kitu namfuata mume wangu fresh kabisa...siwezi kufa na ny*&$ wakati nina halali yangu...aende huko akatafute hela atanikuta hapa...kwanza kula kwa jasho sio kazi yangu..alaaaaaaar[emoji2210][emoji102]
 
Huko Y am sure kuna Jamaa anakusaidia kumliwaza wife....
It's not easy as you think guys...inauma pale unapigwa na baridi la usiku huku unajua mumeo kakumbatiwa huko.....kifuatacho ni kipoozeo!
Nabet wewe upo hapa mjini
 
Kama amepita chuo hapo nakupa pole mara tatu.
Mkuu ongeza pole nyingine,maana tu si kupita chuo bali ni Medicine Doctor.
Yaani usimwambie kitu kuhusu afya au madawa anakwambia ww hujui kitu niache sasa ndugu,Mambo ya hivi utapigana ngumi kila siku?
Si nitaishia jela,na jela zetu hizi hazina human rights, ukipelekwa huko. Yaani Paka wa kufugwa anaishi vzr kuliko jela zetu hizi za bongo.
 
Tunaposema maandiko ya biblia hayajakataza ndoa yenye mke zaidi ya mmoja ila ni maelekezo ya viongozi wa makanisa muwe waelewa.

Haya sasa, hivi chukulia kijana wa kikristo mwenye miaka 25 kaoa halafu anaenda kukutana vitu hivi kwenye ndoa.
  • Mke kaamua awe na mtoto mmoja tu baada ya hapo atatumia kinga za kuzuia mimba
  • Mke hana uwezo wa kuzaa (tasa)
  • Mke hana hamu tena ya tendo, labda mara 1 kwa mwaka.
  • Kapatwa na ugonjwa ama ajali isiyomruhusu kufanya tendo.
  • Mke kapandishwa cheo anahamishiwa bukoba kikazi wakati mme wake yupo dar na kukutana ni mara 1 kwa mwezi.
Yaani hapo hakuna kuongeza mke na ndoa kuvunjika ni mpaka kifo ama umfumanie anachepuka (kitu ambacho ni aibu kwetu wanaume).

Suluhisho ni lipi hapo kwa hizi sheria za viongozi wa makanisa (sio maandiko) waliombana mwanaume awe na mke mmoja?
Mkuu, huwezi kulinganisha Ukristo na Uislamu, they are incompatible. Uislam ni imani ya mwilini na Ukristo ni imani ya rohoni.

Hizo hoja ulizotoa hapo hazina mashiko kabisa hata nje ya Ukristo, alimradi tu anayezisoma ana ufahamu na anajitambua.

1. Mke KAAMUA awe na mtoto mmoja - kwenye ndoa za kikristo mke hana hayo maamuzi. Maandiko yanasema zaeni muongezeke mkaijaze nchi. Mungu ndiye mwamuzi, hivyo huu upuuzi uhifadhi kwa ajili ya imani yako tu.

2. Maandiko yanasema hiyo iko hivyo ili Mungu atukuzwe. Mwenye kutoa mtoto ni Mungu, ndiye asili ya uhai wote. Ninyi mlioagizwa kwamba ni lazima mwanamke azae fanyeni hivyo.

3. Mke hana hamu ya tendo la ndoa, labda mara moja kwa mwaka - lala naye mara moja kwa mwaka. Hoja ya ajabu hii!! Maandiko yanasema mke hana amri juu ya mwili wake, kadhalika mume naye. Unaelewa maana ya haya?

4. Kupatwa na ugonjwa ama ajali - so what!? Umpe talaka? Basi wewe ni ibilisi kabisa. Maandiko yanasema wako matowashi waliofanywa hivyo na wanadamu. Ninyi mmejengwa msingi wa imani yenu kwenye nyuchi, hivyo hoja za hayo huwavuruga vichwa kweli kweli.

5. Mke kupandishwa cheo, kahawia mbali - akili za ajabu hizi. Mke ni mama wa nyumbani, sasa anawezaje kupandishwa cheo? Mke jukumu lake ni kulea familia, sio kutafuta pesa. Hiyo ndio ndoa ya Kikristo.

Wewe unajua nini kuhusu maandiko hata uwashambulie viongozi wa makanisa? Neno la Mungu na Qur'an ni vitu viwili tofauti kabisa, nuru na giza hakika pamoja. Wawezaje basi kuyatambua (discern) mambo ya nuruni? Simama na imani yako inayokufanya reprobate mind.
 
Unajua kuna mengi chini ya kapeti .
So ningumu kushauri kisawasawa .

Ila naongea kwa experience .
1. Huyu dada either ni mshirikina nakapewa masharti ya hivyo ulivyomention na akikiuka anaharibu kazi yake .
2. Huyo mwanaume wake hana jipya ni luga luga hawezi kumhandle kisawa sawa mwanaume anayeweza mambo anakuwa anazawadiwa mtoto au watoto na mwanamke anafuraha sasa hupewi mtoto kisa hana furaha .
3. Ameona huyo mtu hana haja ya watoto anawatoto wengine nje na isitoshe anamahusiano na wanawake wengine kuliko mke wake wandoa basi huyo mama akaona bora iwe hivyoo.
 
Mkuu, huwezi kulinganisha Ukristo na Uislamu, they are incompatible. Uislam ni imani ya mwilini na Ukristo ni imani ya rohoni.

Hizo hoja ulizotoa hapo hazina mashiko kabisa hata nje ya Ukristo, alimradi tu anayezisoma ana ufahamu na anajitambua.

1. Mke KAAMUA awe na mtoto mmoja - kwenye ndoa za kikristo mke hana hayo maamuzi. Maandiko yanasema zaeni muongezeke mkaijaze nchi. Mungu ndiye mwamuzi, hivyo huu upuuzi uhifadhi kwa ajili ya imani yako tu.

2. Maandiko yanasema hiyo iko hivyo ili Mungu atukuzwe. Mwenye kutoa mtoto ni Mungu, ndiye asili ya uhai wote. Ninyi mlioagizwa kwamba ni lazima mwanamke azae fanyeni hivyo.

3. Mke hana hamu ya tendo la ndoa, labda mara moja kwa mwaka - lala naye mara moja kwa mwaka. Hoja ya ajabu hii!! Maandiko yanasema mke hana amri juu ya mwili wake, kadhalika mume naye. Unaelewa maana ya haya?

4. Kupatwa na ugonjwa ama ajali - so what!? Umpe talaka? Basi wewe ni ibilisi kabisa. Maandiko yanasema wako matowashi waliofanywa hivyo na wanadamu. Ninyi mmejengwa msingi wa imani yenu kwenye nyuchi, hivyo hoja za hayo huwavuruga vichwa kweli kweli.

5. Mke kupandishwa cheo, kahawia mbali - akili za ajabu hizi. Mke ni mama wa nyumbani, sasa anawezaje kupandishwa cheo? Mke jukumu lake ni kulea familia, sio kutafuta pesa. Hiyo ndio ndoa ya Kikristo.

Wewe unajua nini kuhusu maandiko hata uwashambulie viongozi wa makanisa? Neno la Mungu na Qur'an ni vitu viwili tofauti kabisa, nuru na giza hakika pamoja. Wawezaje basi kuyatambua (discern) mambo ya nuruni? Simama na imani yako inayokufanya reprobate mind.
Duuu
 
Back
Top Bottom