Lekaga ekishimbe ntumbafu nyanoko bhe... huyu, mleta mada, atakuwa denti anampigia 'negative campaign' muuza madawa aliyemzidi kete kwa msichana!
Wanachuo, pamoja na visa alivyoposti mleta mada, wanaifuatilia hii mada kwa 99%, ... hizo dawa atamuuzia nani baadaye?
View attachment 2048785
Na wewe sasa.huo ni umbeya, yaani umekosa kazi ya kufanya kiasi kwamba ukaamua kuanza kutembea Mabibo, survey, changanyikeni, msewe, kigamboni n.k kufuatilia wanafunzi wanaoishi pamoja? Mbaya zaidi ukaanza kufuatilia na namna wanavulyotumia p2 na kuchoropoa mimba na namna wanavyotumia kondom kwa mbaaali? Your hayo wewe tu?????Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.
View attachment 2048638
View attachment 2049585
Vp unatumia Kondomu au kavu?Na wewe sasa.huo ni umbeya, yaani umekosa kazi ya kufanya kiasi kwamba ukaamua kuanza kutembea Mabibo, survey, changanyikeni, msewe, kigamboni n.k kufuatilia wanafunzi wanaoishi pamoja? Mbaya zaidi ukaanza kufuatilia na namna wanavulyotumia p2 na kuchoropoa mimba na namna wanavyotumia kondom kwa mbaaali? Your hayo wewe tu?????
Poa. Ujumbe umefikaMkuu utaoga matusi kama yote maana umetupa jiwe gizani sa ukisikia ukunga ujue tayari.
Ukiona watu wanakujibu kunya ujue ndo hao hao ila ujumbe umefika vijana wabadilike wasije wakarudi na vyeti viwili wakaanza kuwa mizigo kwa familia na vile ajira hamna ni hatari.
BTW. Weka poster kwenye famasi yako andika hivi. " UKIMWI UNAUA TUMIA KONDOMU"
Sio kweli kabisa.Vyuo vishakua useless Tanzania
Kama una vijihela vyako ukajibana komaa mtoto mpeleke hata USA au Canada akakimbizane na competition huko zinazochukua watoto worldwide
Goddamn hata Kenya tu hapo si mbaya maana wapo namba 6 kwa Africa,au hata Africa Kusini
Western countries kuna real competition,ethics za kazi,za kujifunza,real timetable,unakutana na best of the best,unajitahidi kupambana,na pia wanadamu wanaheshimiana maana lawsuits ni nje nje...ubaguzi upo ila usiwe mtu sensitive sana,na ni katatiza kadogo compared na upumbavu mitoto inafanya huko changanyikeni inatoka hata haijui kuandika official email na presentantion
Tanzania kielimu tupo mavini kule kabisa..hata Uganda na Kenya hatuwawezi..what a Shame!
Huyu jamaa anashindwa kuelewa kuwa wazembe na wajinga hakuna sehemu wanakosekana. Wachapa kazi na werevu kila sehemu wapo.Sio kweli kabisa.
Putin huwa anasema "harasho gde tam mwi niet"
Maana yake sehemu ambayo wewe haupo ni nzuri sana.
Ila ukienda reality kwa ground ni majanga matupu.
Elimu ya bongo bado ipo imara sana
ExactlyHuyu jamaa anashindwa kuelewa kuwa wazembe na wajinga hakuna sehemu wanakosekana. Wachapa kazi na werevu kila sehemu wapo.
Uza dawa ACHAna na life la watuKumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni. Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.
***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.
NB: Graduate with A's not with AIDS
View attachment 2048638
View attachment 2050364
Labda alikuwa anafanya "research"; muulize tu "Title" ya research yake; "Findings, na Observation; bila kusahau recommendations" - usimlaumu.Na wewe sasa.huo ni umbeya, yaani umekosa kazi ya kufanya kiasi kwamba ukaamua kuanza kutembea Mabibo, survey, changanyikeni, msewe, kigamboni n.k kufuatilia wanafunzi wanaoishi pamoja? Mbaya zaidi ukaanza kufuatilia na namna wanavulyotumia p2 na kuchoropoa mimba na namna wanavyotumia kondom kwa mbaaali? Your hayo wewe tu?????