Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
249
Reaction score
452
Kwa tafiti ndogo niliyofanya nimeona ndoa nyingi za wasomi watupu hazifanyi vizuri. Zimejaa dharau na viburi na mwisho huwa ni separation.

Kama umesoma sana kama ni mwanaume tafuta msichana ambaye ana elimu ya kawaida mtaishi vizuri. Hata msichana tafuta mwanauame mwenye elimu ya kati mtafanya maisha. Ila mkiwa wote wasomi nyumba haiendi kabisa.

Na bora awe msichana ndo hana elimu maisha yataenda. Ila nyumba yenye msichana msomi ni hatari sana. Msichana akisoma hataki kujishusha kwa mwanaume, jambo ambalo ni sumu kwa mwanaume. Mwanaume kaumbiwa kutawala. Hivyo nyumba ambayo mwanaume hawezi kutawala huwa hawakai. Na akikaa ujue ni makazi tu moyo wake upo sehemu nyingine ambayo utasikilizwa.
 
Kwa tafiti ndogo niliyofanya nimeona ndoa nyingi za wasomi watupu hazifanyi vizuri. Zimejaa dharau na viburi na mwisho huwa ni separation.

Kama umesoma sana kama ni mwanaume tafuta msichana ambaye ana elimu ya kawaida mtaishi vizuri. Hata msichana tafuta mwanauame mwenye elimu ya kati mtafanya maisha. Ila mkiwa wote wasomi nyumba haiendi kabisa.

Na bora awe msichana ndo hana elimu maisha yataenda. Ila nyumba yenye msichana msomi ni hatari sana. Msichana akisoma hataki kujishusha kwa mwanaume, jambo ambalo ni sumu kwa mwanaume. Mwanaume kaumbiwa kutawala. Hivyo nyumba ambayo mwanaume hawezi kutawala huwa hawakai. Na akikaa ujue ni makazi tu moyo wake upo sehemu nyingine ambayo utasikilizwa.
Haya yote huitimishwa kwenye kitabu cha Waefeso 5:22-33
 
Liko wazi,
Elimu yetu na ulimbukeni wake inafanya wanawake kukosa HAIBA"ile yali ya ukike kike".
Haiba ndio sumaku ya kuvuta mwanaume yeyote.
Haiba mwanaume anaipata tu mwanzo wamahusiano, atapata ushirikiano mzuri kwenye mawasiliano, heshima, utii na unyenyekevu.
Akishaoa mwanamke, hivi vitu vinakuwa kinyume chake, na Haiba anakuja kuipata kwa mchepuko tu.
Kwamba mwanaume kutokua na mchepuko, ni kujitafutia ufupi wa maisha yako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom