Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Sidhani kama kuna ukweli, ila nachoamini mimi ni kwamba vile jamii aliaminishwa mwanamke anapaswa kumtegemea mwanaume kiuchumi, na kitu pekee kilikuwa nikifanya hilo liwezekane ni ndoa na ndio maana wanawake wa zamani ilikuwa hata umpige tukio la namna gani atavumilia tu maana hana pa kwenda wala pa kuanzia. lakini sasa kutana na mwanamke anayeweza kujitegemea kiuchumi (sio lazima awe msomi) ukitaka akuheshimu akikisha na we unamuheshimu zaidi ya hapo hakuna jambo.
Wanawake wasomi wengi wana watoto mmoja mmoja , waulize baba za hao watoto ndio utajua walishaachan...Akili zao zinaanza kurudi wakifika miaka 35 na kuendelea ..Hawa ambao wako 28 , ukimuuliza una mpango gani ? utasikia ''I'm currently pursuing master's degree''

Kaa nao mbali , hata kuzaa wanaona wanajizeesha .
 
Kwa hiyo unashauri nini? Tusisomeshe mabinti zetu ili waje kuwa wake bora au?
Tusisomeshe na nani?mimi wa kwangu nitasomesha lakini wakati huo huo mama yao akiwa ndiyo dira yao kwa namna anavyoishi na mimi ajifunze kesho na yeye kwenye nyumba yake ajue namna ya kuishi na mumewe sasa wewe somesha wa kwako huku ukiishi na baba yao kama ngumbaru fulani kwa sababu mnashindana uwezo ndani ya nyumba.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini wanawake waliokuzwa kwenye mazingira ya single parent wengi hawadumu ktk ndoa zao?sababu hawakuwahi kuwaona mama na baba zao namna wanavyobadilishana maneno ndani ya nyumba sasa watoto watakaotokana na wanawake wajuaji kama wasomi nao tutegemee kurithi tabia za mama zao iwe walisoma au hawakusoma.
 
Ndoa zote zinavunjika haijalishi ni za wasomi au la.
The issue is “kwa kiwango gani?”,huku ni kujifariji tu.

Zote zinavunjika lakini utakuta za wasiosoma zinavunjika mume amekuwa mlevi au ameshindwa matunzo (ambazo siyo case nyingi) lakini za waliosoma conflicts zinaanza mke amechelewa kurudi mara ameanza dharau na majibu mabovu ndani ya nyumba hapo hakuna mwanaume timamu atasema ana mke.

Na chunguza kesi nyingi za wasiosoma ni rahisi kuwa solved kwa sababu ni vyepesi mke kujishusha maisha yaende lakini kwa mke msomi anayepokea mshahara au hata kama hana hata cent ile kuwa tu na elimu kichwani hudhani amemaliza na kuona anaweza kuishi hata kwa kudanga.
 
The issue is “kwa kiwango gani?”,huku ni kujifariji tu.

Zote zinavunjika lakini utakuta za wasiosoma zinavunjika mume amekuwa mlevi au ameshindwa matunzo (ambazo siyo case nyingi) lakini za waliosoma conflicts zinaanza mke amechelewa kurudi mara ameanza dharau na majibu mabovu ndani ya nyumba hapo hakuna mwanaume timamu atasema ana mke.

Na chunguza kesi nyingi za maskini ni rahisi kuwa solved kwa sababu ni vyepesi mke kujishusha maisha yaende lakini kwa mke msomi anayepokea mshahara au hata kama hana hata cent ile kuwa tu na elimu kichwani hudhani amemaliza na kuona anaweza kuishi hata kwa kudanga.
Lete data tuone kwa uhalisia
 
Dah
Sasa,itakuaje kwa wasomi wetu?Ndiyo maana baada ya kupiga LY yangu nikaamua nijikite kwenye usomi wa magazeti tu.🤔
Dah rafiki umetaja neno LY umenikumbusha mbali sana ,kipindi ambacho wakati wa kumaliza darasa la saba Kuna nyimbo mnaimbiwa na wadogo zenu kidarasa Basi zinatia huzuni eti mnajikuta wote mnafuta machozi kwa huzuni kwa kusema kuwa hamtakuwa pamoja tena pale shuleni .

Hapo muda mwingine ulikuwa na crush wako waa darasa la chini alafu naye ni miongoni mwa waimbaji basi ukiwaza unamuacha mtoto mzuri ,chozi linakutoka Kaka .

Old is Gold nakumbuka mbali sana ,wapi ticha Mwandamo ? Sekela mwakisambwe ? Je Philipo tondokoso mnaishi kweli ?

😭😭
 
Watanzania tunapenda sana ishu za data ndiyo maana hata nchi haisogei,wewe kubali au kataa sikushikii fimbo lakini mke msomi ndani ya nyumba ni kichomi!
Sasa bila data utajuaje kama ndoa za wasomi ndio zinavunjika? Kwa taarifa yako nchi nyingi zimeendelea sababu ya kuwa na takwimu za uhakika. Bila takwimu unawezaje kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo?
Hata mipango binafsi inahitaji data, upo?
 
Tusisomeshe na nani?mimi wa kwangu nitasomesha lakini wakati huo huo mama yao akiwa ndiyo dira yao kwa namna anavyoishi na mimi ajifunze kesho na yeye kwenye nyumba yake ajue namna ya kuishi na mumewe sasa wewe somesha wa kwako huku ukiishi na baba yao kama ngumbaru fulani kwa sababu mnashindana uwezo ndani ya nyumba.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini wanawake waliokuzwa kwenye mazingira ya single parent wengi hawadumu ktk ndoa zao?sababu hawakuwahi kuwaona mama na baba zao namna wanavyobadilishana maneno ndani ya nyumba sasa watoto watakaotokana na wanawake wajuaji kama wasomi nao tutegemee kurithi tabia za mama zao iwe walisoma au hawakusoma.
Kweli kabisa asije kufikisha miaka 40 anashtuka ndio hawa unaskia nataka kuolewa na yoyote tu atakayekuja ..hapo ana vyeti vya chuo kama 50 ila hana raha, stressed, alcoholic, etc..
 
Kweli kabisa asije kufikisha miaka 40 anashtuka ndio hawa unaskia nataka kuolewa na yoyote tu atakayekuja ..hapo ana vyeti vya chuo kama 50 ila hana raha, stressed, alcoholic, mke

Mke aliesoma ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom