Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Tatizo mnasahau mama zetu baba zetu hawajui kusoma wala kuandika ila watoto mlisoma vizuri mkalelewa kwenye madili vizuri sana,

MY TAKE
Mwanamke ni mama wa nyumbani tu kuishi nje ya huo utaratibu ndio kunafanya wanaume wengi mtoe milio ya kila aina woga wa maisha na ushamba utaogopaje mwanaume kumhudumia mkeo na watoto wako mbona wazee wetu waliweza tena mzee ana wake watatu na kipato shake anategemea jembe tena la mkono na ufugaji wa kuunga unga unga ili tuliishi vizuri tu na hatusikia hizi kelel za kishamba mnazoleta leo
 
Kwa tafiti ndogo niliyofanya nimeona ndoa nyingi za wasomi watupu hazifanyi vizuri. Zimejaa dharau na viburi na mwisho huwa ni separation.

Kama umesoma sana kama ni mwanaume tafuta msichana ambaye ana elimu ya kawaida mtaishi vizuri. Hata msichana tafuta mwanauame mwenye elimu ya kati mtafanya maisha. Ila mkiwa wote wasomi nyumba haiendi kabisa.

Na bora awe msichana ndo hana elimu maisha yataenda. Ila nyumba yenye msichana msomi ni hatari sana. Msichana akisoma hataki kujishusha kwa mwanaume, jambo ambalo ni sumu kwa mwanaume. Mwanaume kaumbiwa kutawala. Hivyo nyumba ambayo mwanaume hawezi kutawala huwa hawakai. Na akikaa ujue ni makazi tu moyo wake upo sehemu nyingine ambayo utasikilizwa.
Kaka nakubali! Wanawake wa wasomi wa siku hizi kuolewa mapema hawataki wanataka wafikishe miaka 27,28 - 32 ndo waolewe
 
Ndoa za wasio wasomi zingekuwa hazivunjiki kabisa ingekua sawa lkn ajabu nazo nyingi tu zinapumulia socks na zingine zishajifia.

Sidhani kama elimu ni shida, shida ni mtu mwenyewe akili yake ipo vipi.
Hakuna iliposemwa hazivujiki point ya msingi ni zipi zinazoongoza kwa kuvunjika?

Mimi sasa hivi nimeshaingia umri wa kutafutwa kuombwa ushauri na madogo,akiniletea wazo la kuoa cha kwanza kumuuliza ni elimu ya anayetegemea kumuingiza kwenye circle ya maisha yake sababu mara zote hapa ndiyo huwa tatizo.
 
Sidhani kama kuna ukweli, ila nachoamini mimi ni kwamba vile jamii aliaminishwa mwanamke anapaswa kumtegemea mwanaume kiuchumi, na kitu pekee kilikuwa nikifanya hilo liwezekane ni ndoa na ndio maana wanawake wa zamani ilikuwa hata umpige tukio la namna gani atavumilia tu maana hana pa kwenda wala pa kuanzia. lakini sasa kutana na mwanamke anayeweza kujitegemea kiuchumi (sio lazima awe msomi) ukitaka akuheshimu akikisha na we unamuheshimu zaidi ya hapo hakuna jambo.
Msichana wa Jana,wewe ni wa 2000s ain't you?

Zamani gani unadhani ilikuwa mwanamke lazima amtegemee mwanaume kwani hata leo hao unaoita wanawake wameacha kuwategemea wanaume?
 
Hakuna iliposemwa hazivujiki point ya msingi ni zipi zinazoongoza kwa kuvunjika?

Mimi sasa hivi nimeshaingia umri wa kutafutwa kuombwa ushauri na madogo,akiniletea wazo la kuoa cha kwanza kumuuliza ni elimu ya anayetegemea kumuingiza kwenye circle ya maisha yake sababu mara zote hapa ndiyo huwa tatizo.
Elimu ni shida sana mkuu. Asante. Hamna hata msomi mmoja aliekuja na kusema kwamba wanaishi safi. Sababu imewaguza
 
Mwanamke akiweza kujitosheleza katika mahitaji yake ,alafu awe na muonekano flani hivi awe akijiangalia kwenye kioo anajiona mzuri ,walio wengi hukosa unyenyekevu ,matokeo yake huishia kuwa masingle mother
 
Kwa hiyo unashauri nini? Tusisomeshe mabinti zetu ili waje kuwa wake bora au?
Hakuna iliposemwa hazivujiki point ya msingi ni zipi zinazoongoza kwa kuvunjika?

Mimi sasa hivi nimeshaingia umri wa kutafutwa kuombwa ushauri na madogo,akiniletea wazo la kuoa cha kwanza kumuuliza ni elimu ya anayetegemea kumuingiza kwenye circle ya maisha yake sababu mara zote hapa ndiyo huwa tatizo.
 
Ndoa za wasio wasomi zingekuwa hazivunjiki kabisa ingekua sawa lkn ajabu nazo nyingi tu zinapumulia socks na zingine zishajifia.

Sidhani kama elimu ni shida, shida ni mtu mwenyewe akili yake ipo vipi.
Kuna ndugu zangu wameoa darasa la saba lakini ndoa zilikufa kitambo. Wapo single mpaka leo. Haikalishi ninmsomi au la . Halafu si ndoa zote mwanamke ndie ana matatizo
 
Hakuna iliposemwa hazivujiki point ya msingi ni zipi zinazoongoza kwa kuvunjika?

Mimi sasa hivi nimeshaingia umri wa kutafutwa kuombwa ushauri na madogo,akiniletea wazo la kuoa cha kwanza kumuuliza ni elimu ya anayetegemea kumuingiza kwenye circle ya maisha yake sababu mara zote hapa ndiyo huwa tatizo.
Ndoa zote zinavunjika haijalishi ni za wasomi au la.
 
Back
Top Bottom