Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Ndoa za wasomi zinaongoza kwa kuachana

Kwa tafiti ndogo niliyofanya nimeona ndoa nyingi za wasomi watupu hazifanyi vizuri. Zimejaa dharau na viburi na mwisho huwa ni separation.

Kama umesoma sana kama ni mwanaume tafuta msichana ambaye ana elimu ya kawaida mtaishi vizuri. Hata msichana tafuta mwanauame mwenye elimu ya kati mtafanya maisha. Ila mkiwa wote wasomi nyumba haiendi kabisa.

Na bora awe msichana ndo hana elimu maisha yataenda. Ila nyumba yenye msichana msomi ni hatari sana. Msichana akisoma hataki kujishusha kwa mwanaume, jambo ambalo ni sumu kwa mwanaume. Mwanaume kaumbiwa kutawala. Hivyo nyumba ambayo mwanaume hawezi kutawala huwa hawakai. Na akikaa ujue ni makazi tu moyo wake upo sehemu nyingine ambayo utasikilizwa.
ujuaji mwingi tatizo

Oca
 
Kwa tafiti ndogo niliyofanya nimeona ndoa nyingi za wasomi watupu hazifanyi vizuri. Zimejaa dharau na viburi na mwisho huwa ni separation.

Kama umesoma sana kama ni mwanaume tafuta msichana ambaye ana elimu ya kawaida mtaishi vizuri. Hata msichana tafuta mwanauame mwenye elimu ya kati mtafanya maisha. Ila mkiwa wote wasomi nyumba haiendi kabisa.

Na bora awe msichana ndo hana elimu maisha yataenda. Ila nyumba yenye msichana msomi ni hatari sana. Msichana akisoma hataki kujishusha kwa mwanaume, jambo ambalo ni sumu kwa mwanaume. Mwanaume kaumbiwa kutawala. Hivyo nyumba ambayo mwanaume hawezi kutawala huwa hawakai. Na akikaa ujue ni makazi tu moyo wake upo sehemu nyingine ambayo utasikilizwa.

HII NI SAHIHI KABISA. I TOTALLY AGREE [emoji817]

Mimi hata kwenye dating i have an experience na wanawake wa hivi ulivyo eleza mleta mada aisee ni hawafai. Yamkini sio wote ila wa hivyo ni 95% ni hawafai. We compare dem wa x-form 4, x-form six, diploma, bachelor, cpa / learned advocate or any other professional alaf compare hulka na tabia zao utagundua jambo (ongezea akiwa wa kishua kwao)

Sio tu elimu mwanamke kila anavyozidi kupata hela nyingi ndio anavyozidi kupandisha mabega akidhani hamuhitaji tena Mwanamme wa kumuongoza maishani mwake. Ni viumbe flan visivyo na utu wala shukrani kabisa. Ukiona hivi na watoto wameshakua umri piga chini tu, huezi ishi na mwanamke asiye na adabu.

FACTS ON FACTS ASIEKUBALI NI SAWA, NAFKIRI BADO HAYAJAMKUTA.
 
Kamwe usioe msomi hili mbona like wazi.

Kaka yangu alipooa tu mkewe akamwambia nakwenda kusoma canada. Hakurudi tena akaishia kuzaa na wazungu ndoa ikaishia juu kwa juu. Kaka nae akakamata form four lake akaoa upya akapata watoto wake watatu......life goes on
 
Kamwe usioe msomi hili mbona like wazi.

Kaka yangu alipooa tu mkewe akamwambia nakwenda kusoma canada. Hakurudi tena akaishia kuzaa na wazungu ndoa ikaishia juu kwa juu. Kaka nae akakamata form four lake akaoa upya akapata watoto wake watatu......life goes on
Ndoa za wasio wasomi zingekuwa hazivunjiki kabisa ingekua sawa lkn ajabu nazo nyingi tu zinapumulia socks na zingine zishajifia.

Sidhani kama elimu ni shida, shida ni mtu mwenyewe akili yake ipo vipi.
 
T
HII NI SAHIHI KABISA. I TOTALLY AGREE [emoji817]

Mimi hata kwenye dating i have an experience na wanawake wa hivi ulivyo eleza mleta mada aisee ni hawafai. Yamkini sio wote ila wa hivyo ni 95% ni hawafai. We compare dem wa x-form 4, x-form six, diploma, bachelor, cpa / learned advocate or any other professional alaf compare hulka na tabia zao utagundua jambo (ongezea akiwa wa kishua kwao)

Sio tu elimu mwanamke kila anavyozidi kupata hela nyingi ndio anavyozidi kupandisha mabega akidhani hamuhitaji tena Mwanamme wa kumuongoza maishani mwake. Ni viumbe flan visivyo na utu wala shukrani kabisa. Ukiona hivi na watoto wameshakua umri piga chini tu, huezi ishi na mwanamke asiye na adabu.

FACTS ON FACTS ASIEKUBALI NI SAWA, NAFKIRI BADO HAYAJAMKUTA.
NI kweli
 
Sidhani kama kuna ukweli, ila nachoamini mimi ni kwamba vile jamii aliaminishwa mwanamke anapaswa kumtegemea mwanaume kiuchumi, na kitu pekee kilikuwa nikifanya hilo liwezekane ni ndoa na ndio maana wanawake wa zamani ilikuwa hata umpige tukio la namna gani atavumilia tu maana hana pa kwenda wala pa kuanzia. lakini sasa kutana na mwanamke anayeweza kujitegemea kiuchumi (sio lazima awe msomi) ukitaka akuheshimu akikisha na we unamuheshimu zaidi ya hapo hakuna jambo.
 
Back
Top Bottom