hilo swala la kuishi kwenye ndoa linatakiwa liwepo,ila itawezekana?amegundua kuwa hakupendi na anao uhuru wa kukuacha
utamzuiaje?
Klorokwini mwanasheria na hachewelewi kutafuta sababu akikirwa....lol...hilo uliloliandika hapo nahisi kama ndio hali iliyopo sasa aisee,...watu wanajichagulia steak tu, dahhh!
...otherwise, mimi nipo sana tu mbona, ila unajua tena...funga mwaka hii kuhesabiwa muhimu hapa, usijekuta kina klorokwini wanapita na vikapu vya michango ya msiba kumbe recession tayari...
haswaaa babu hata maandiko yanasema tuishi nao kwa akili na zaidi tufikirie mara mbili zaidi yao kabla ya kufanya mamuzi......Ahsante sana kaka,
Wewe kaoe tu....Ukiwa tayari kuliwa ili nawe ule naamini utasonga mbele!!
Hawa dada zetu ni wagumu sana kuishi nao but yet very simple kuwamudu.......!!
Kuna dada yangu mmoja alinambia wakati naoa kwamba, jukumu la kuvunja au kulinda ndoa ni la mume!!
Kwa sasa ndo nimeanza kuelewa alikuwa anamaanisha nini!!
Mkuu suala la kuishi kwenye ndoa linatakiwa liwepo tu pale panapokuwa na maelewano na amani. Hili ni jambo la muhimu sana.
Enzi zile, jamiii nzima ilihakikisha ndoa inapewa msaada mkubwa ili idumu. Lakini kama ilionekana kuwa haiwezekani, basi wahusika walipewa pia msaada ili waachane salama!!
Hadi sasa principle ni hiyo hiyo ila kinachokosena ni social system ya kusaidia wanandoa pale ambapo wanahisi hawawezi kuishi pamoja. Kwa mfano, sababu zinazotolewa na baadhi ya watu wanaochana ni za ajabu ajabu ukilinganisha na huko nyuma!
Mtu anamwacha mwenzake eti amegundua hakumpenda...Je anafikiria nini kuhusu maisha ya mtu ambaye anamwacha??
Wanataka kula ila wasiliwe...very pathetic!!
hilo swala la kuishi kwenye ndoa linatakiwa liwepo,ila itawezekana?amegundua kuwa hakupendi na anao uhuru wa kukuacha
utamzuiaje?
basi ndoa hazitadumu ila sijui itakwaje,mi naona cha msingi ni watoto kuwa na malezi kwa pande zote(baba & mama)ila....Hapo hakuna ujanja Mkuu inabidi tu utoe uhuru wa mtu kuchukua 50 zake ili kuepusha balaa zaidi.
hilo swala la kuishi kwenye ndoa linatakiwa liwepo,ila itawezekana?amegundua kuwa hakupendi na anao uhuru wa kukuacha
utamzuiaje?
Rushwa inaweza kupenya,mbali na hivo utawezaje kuishi na mtu ambaye sheria imembana ila hakupendi na anajilazimisha kuishi na wewe?au ndo kusema kukaa nimekaa ila moyoni nimesimama.
...lol...hilo la kuachana kwa vijisababu vya kijinga kwakweli halina ubishi kabisa...
ila kama Excellent alivyotanabahisha, ana uhuru wa kuacha/kudai kuachwa...utamzuiaje?!
..nahisi uhuru wa kuachana umekuwa mkubwa sana kwa kizazi hiki, au mwaonaje?
hili nalo limechangia wajameni, japo RITA nao wamekurupuka kusikojulikana wamekuwa wakali siku hizi,
hauwezi kupata cheti cha kuachana mpaka mpitie baraza la usuluhishi!!!
...lol...hilo la kuachana kwa vijisababu vya kijinga kwakweli halina ubishi kabisa...
ila kama Excellent alivyotanabahisha, ana uhuru wa kuacha/kudai kuachwa...utamzuiaje?!
..nahisi uhuru wa kuachana umekuwa mkubwa sana kwa kizazi hiki, au mwaonaje?
hili nalo limechangia wajameni, japo RITA nao wamekurupuka kusikojulikana wamekuwa wakali siku hizi,
hauwezi kupata cheti cha kuachana mpaka mpitie baraza la usuluhishi!!!
babu DC kwa wtoto wa dotcom ukiwa realistic wanakuona umepitwa na wakati na ni mnoko.
Just like that???
Kama ingewezekana na pia isiwe ni kuingilia uhuru wa mtu wa namna hiyo, tungependa kujua undani kabisa.....
If he or she made a mistake kwa kudhani kwamba anamependa huyo aliyekubali kuoana naye, leo anapomwacha, atamrudisha kwenye hali yake ya zamani? .....Kwa nini anajifikiria yeye peke yake?? She already ruined someone's life!
I can only understand kama kuna kosa kafanyiwa au tatizo jingine la msingi (medical or psychological)!!
haya mambo mengine wakati mwingine yanakuwa km hangover ya ulevi ,haiwezi kuwa sababu tosha ya kuvunja kitu kikubwa km ndo lkn.Uhuru umekuwa mkubwa na rate ya kuu-abuse pia imekuwa kubwa pia...Kama RITA wanataka usuluhishi itasaidia.
Binafsi ukinambia kuwa tuachane kwa sababu hunipendi tena lazima nikufungulie kesi ya madai....Huwezi kuharibu maisha yangu halafu ukaondoka salama kiasi hicho!!
Rushwa inaweza kupenya,mbali na hivo utawezaje kuishi na mtu ambaye sheria imembana ila hakupendi na anajilazimisha kuishi na wewe?au ndo kusema kukaa nimekaa ila moyoni nimesimama.
leo anapomwacha, atamrudisha kwenye hali yake ya zamani? =asiyekupenda haogopi kukukalisha kwenye magogo.Just like that???
Kama ingewezekana na pia isiwe ni kuingilia uhuru wa mtu wa namna hiyo, tungependa kujua undani kabisa.....
If he or she made a mistake kwa kudhani kwamba anamependa huyo aliyekubali kuoana naye, leo anapomwacha, atamrudisha kwenye hali yake ya zamani? .....Kwa nini anajifikiria yeye peke yake?? She already ruined someone's life!
I can only understand kama kuna kosa kafanyiwa au tatizo jingine la msingi (medical or psychological)!!
Rushwa inaweza kupenya,mbali na hivo utawezaje kuishi na mtu ambaye sheria imembana ila hakupendi na anajilazimisha kuishi na wewe?au ndo kusema kukaa nimekaa ila moyoni nimesimama.
kesi utashinda,ataendelea kuishi na wewe ila atamegwa,halafu wewe ndo umpe talakaUhuru umekuwa mkubwa na rate ya kuu-abuse pia imekuwa kubwa pia...Kama RITA wanataka usuluhishi itasaidia.
Binafsi ukinambia kuwa tuachane kwa sababu hunipendi tena lazima nikufungulie kesi ya madai....Huwezi kuharibu maisha yangu halafu ukaondoka salama kiasi hicho!!
leo anapomwacha, atamrudisha kwenye hali yake ya zamani? =asiyekupenda haogopi kukukalisha kwenye magogo.
Kwa nini anajifikiria yeye peke yake??=mana hakupendi tena.
Imetokea amerubuniwa na kigogo au mwenyewe uwezo,sidhani kama hapo atasikia maumivuSidhani kama kuna sababu ya kumlazimisha mtu ila kama anataka kuvunja ndoa bila sababu ya msingi basi alipe gharama ya uamuzi wake....Alipe fidia ili aone uchungu kwa uamuzi aliouchukua!
Hii iitasaidia watu kufikiria mara mbili mbili kabla ya kukimbia kula viapo vya ndoa!
basi ndoa hazitadumu ila sijui itakwaje,mi naona cha msingi ni watoto kuwa na malezi kwa pande zote(baba & mama)ila
inaonekana kuna ugumu
kesi utashinda,ataendelea kuishi na wewe ila atamegwa,halafu wewe ndo umpe talaka
Mke ameshinda kwa dau,basi imekula kwake,mme akishinda mke atarudhi nyumbani ila sarakasi na skendo kama kawaida.kama ilivyo rushwa ya kufanikisha mume anapata cheti chake cha kuachana, mke anaweza vile vile kuongeza dau hiko cheti kisitoke,...unafanya mchezo na u dot.com wewe?
...Pia labda kuanzishwe kitengo cha kuzinusuru ndoa ili kabla ya kuachana kuwe na watu tuseme kutoka baraza la usuluhishi ili kwa kipindi cha miezi 12 wajaribu kuwasuluhisha wahusika ili kuinusuru ndoa husika, hili labda litapunguza idadi ya ndoa zinazosambaratika kila mwaka.