Mnapoachana watoto mtagawana,itakwaje wasifahamu?....Mkuu hili kwa maoni yangu ni kosa kubwa sana. Ugomvi wa Wazazi kamwe watoto wasihusishwe na hata kuambiwa yupi wampendaye kati ya Baba na Mama. Pamoja na tofauti zenu inabidi mjitahidi tu ili watoto wasihusishwe kabisa katika ugomvi wenu.
Mkuu inauma ila huwezi kulikimbia,mana ndo njia zinazotumika ili watoto wewe upande wakoKaka, unapozidi kuingiza suala la watoto unanishika pabaya,
Hiii line ya mjadala siitaki tena...Tuongelee ndoa ila mambo ya kugawana watoto ni magumu sana!!
hahahaha....sasa hapo mzee ndio panapotuumiza wengi, yaani na sheria zinakubana umkabidhi yeye (mwanamke)
mtoto/watoto hata kama kosa la kuachana alilisababisha yeye, halafu anaweza kukufunga na kipengele cha sheria sehemu
kubwa ya ndururu zako unazozitolea jasho kila mwezi zinapigwa panga kuelekea kwake!
Aisee hivi baba Adamu asingekula lile tunda la mama Hawa tusingefikia haya nadhani, dahhh!
hayaepukiki haya mkuu.
Ulimbukeni ila unapewa maumivuUlimbukeni tu...hata huyo celeb angepewa nafasi atawaweza wanawake wote wanaomtamani??
Mkuu kama hujaoa changamoto kama hizi kwa maisha ya baadaye zinakuweka kwenye nafasi nzuri ya kuyafahamu mapenzi na maisha
anakuchukuliwa watoto na utatakiwa kuwalea na kuwapa matumizi huko huko alipo
hahahaha....sasa hapo mzee ndio panapotuumiza wengi, yaani na sheria zinakubana umkabidhi yeye (mwanamke)
mtoto/watoto hata kama kosa la kuachana alilisababisha yeye, halafu anaweza kukufunga na kipengele cha sheria sehemu
kubwa ya ndururu zako unazozitolea jasho kila mwezi zinapigwa panga kuelekea kwake!
Aisee hivi baba Adamu asingekula lile tunda la mama Hawa tusingefikia haya nadhani, dahhh!
hayaepukiki haya mkuu.
Sijaoa,ila watoto dah ni jambo lingine la ziadaHuko sipo tena kaka,
Ila mtego wa watoto siutaki kabisa!!
....Mkuu hili kwa maoni yangu ni kosa kubwa sana. Ugomvi wa Wazazi kamwe watoto wasihusishwe na hata kuambiwa yupi wampendaye kati ya Baba na Mama. Pamoja na tofauti zenu inabidi mjitahidi tu ili watoto wasihusishwe kabisa katika ugomvi wenu.
Siku hizi mpenzi wako anamsifia celebrity,je akikutana naye itakwaje,miaka 10 mingi sana
anakuchukuliwa watoto na utatakiwa kuwalea na kuwapa matumizi huko huko alipo
Mnapoachana watoto mtagawana,itakwaje wasifahamu?
anaenda kumtunza,kumkatikia mauno kibao mpaka jasho,favor ambayo we kama mme hujapewa
...mkuu, kiukweli wengi hiyo ilikuwa wishes zetu lakini siku ukweli ulipodhihiri, mwanaume unaachwa na nyumba yako, halafu baada ya muda unaanza kupangiwa kiwango cha makato kwenye kipato chako kwenda kwa ex-spouse wako kwaajili ya child maintenace, halafu kabla hujakaa sawa unapigwa barua ya visitation rights,....ukileta ubishi unapewa restraining order!...
hizi ndio ndoa za dot.com bana...kwa bongo hawajalitambua bado hili, ngoja wajue hizi haki zao tutakoma!
...hahaha, mke anakulazimisha umpeleke kwenye show ya Fally Ipupa, halafu huko anakutia aibu jinsi anavyomshangilia na kung'ang'ania kwenda kumkumbatia mara kwa mara....balaaaa!
...kufahamishwa ni lazima wafahamishwe lakini nisichokubaliana nacho ni kile cha kuwaambia watoto wachague kati ya Baba na Mama ni nani wampendaye.
tatizo ni pale anaomba kwa kuachana na bado hajaenda kwa mwingineHata hivyo, sheria ya ndoa ya Tanzania inatoa nafasi ya mzazi mwenye uwezo kuwachukua watoto endapo wamepita umri ambao ni lazima wake na mama tu (sina hakika ila nadhani ni hadi miaka 10)!!
Ila kama mke wangu kaolewa na mume mwingine siwezi kukubali aende na mtoto wangu hata kama ana mwezi 1!!
anaenda kumtunza,kumkatikia mauno kibao mpaka jasho,favor ambayo we kama mme hujapewa
Hilo linauma sana na kwa vyovyote vile watoto watamchagua mama mana mda wote ndo wapo karibu...kufahamishwa ni lazima wafahamishwe lakini nisichokubaliana nacho ni kile cha kuwaambia watoto wachague kati ya Baba na Mama ni nani wampendaye.
tatizo ni pale anaomba kwa kuachana na bado hajaenda kwa mwingine
Hakuna ulazima wowote kwa sababu sheria iko wazi kwenye hili...Ila ukija kwenye practicalities, kunakuwa challenges zake. Kuna jamaa kapewa divorce ila watoto wote 3 wamakatalia kwa mama yao na wote wakubwa tu (>10yrs old)!!
ila utafanyaje mkuu,na mke kama huyo mi lazima nimpe changamotoMkuu ukikubali kuingia kwenye ndoa, kuna upuuzi mwingine automatically huwezi kuuepuka...Tena unaweza kupata unafuu kwa kumtania tania na kumpamba pamba badala ya kumnunia!!
Mkuu,
Nakushukuru kwa changamoto zako...Ni kweli ni vigumu kujua ni jinsi gani utahandle issue complex kama hiyo. Majibu tunayotoa hapa yanaweza kuwa ni over-simplification!!
Naamini itafika mahali tutakuwa na system nzuri ya kushughulikia mambo ya ndoa. Tukiachwa hivi hivi, kizazi hiki kitaangamia!
Mkuu hapo sawa,na hakutakuwa na migongano,ila sheria haisaidii kwa usuluhishi ila hiari ya kila moyo wa mtu
Ila akija kugundua baba aliyemlea si wake atakutafuta,sema tu atagunduaje?That's much better,
Unajua kwa mtoto mdogo, mume wa mama ndiye baba??
Imagine mtoto wako anapata akili akiwa mikononi mwa dume jingine...Una lako hapo?