Mkuu mbona povu hivi; au huyo unayekwidwa ni wewe nini? 😀 😀 😀 😀 😀 😀Huyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
Huyo jamaa mi namuelewa vizuri sana sana sababu nilishapitiaga situation ya aina hio. Mwanamke anakuwa kiburii yani hasikii usiombe halafu unakuta kuna boya wana mawasiliano anatongozwa anatoa ushirikiano full charge. Hapo ushamfumania mara kibao anakuwa anafuta futa meseji unapoteza imani naye hata akiaga anaenda mahali roho inakuwa haitulii maana kila ukimpa nafasi unajua ataenda kuchakatwa. Ule uchungu na hofu ndio unapelekea hasira ya kumfumua iwe juu hasa kwa kosa kama kutopokea simu kwa wakati. In real sense mwanamke hapokei simu toka saa 12 hadi saa 4 usiku!?Huyu jamaa unakuta kashasema ndani mpaka kachoka, hapo ni ile hali yaku changanyikiwa anahisi akifanya ivyo mbele za watu kuna relief atapata...... na pengine anahisi akifika ndani mwanamke labda ataomba msamaha, kuna wanawake kwenye ndoa hata akosee vipi samahani hasemi,
Unaweza usimuelewe huyo jamaa na wengi tutasema kakosea!!! Ila vipi kuhusu izo calls zote alizopiga wife alikuwa haoni???
Yakishakukuta hutokumbuka hayoHii video imenifikirisha sana. Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwanini asingesubiri mpaka wafike nyumbani.
Mke wangu popote ulipo hata kama ni juu ya kifua cha mwizi wangu wa penzi tafadhali pokea simu tu maana nitakuja nikufumue hadi udanje.😂😂😂😂Sijui uhusiano wao ukoje ila angejizuia hasira zake huyo mkuu kwa tukio hili amejiweka kwenye mazingira ya kuanza kufuatiliwa maana sauti za kulaani na kutaka hatua zichukuliwe zitakuwa nyingi sana maana tutaanza kumuona Mama Gwajima and the like lkn huenda bora limefanyika hapo wazi maana hatujui wangefika nyumbani wakiwa wenyewe hali ingekuwaje huyo mwanamke amshukuru Mungu sana
Yote kwa yote changamoto zozote zinapotokea suluhisho siyo kugombana wala kujaa ghadhabu ukiona kwa wakati fulani hasira zimezidi bora utoke uende sehemu kwa rafiki, ndugu au hata guest ukakae huko siku ipite then mzungumze hata ikiwezekana na watu wenu wa karibu ili kutatua shida iliyopo
Hawa wanawake wasio waaminifu tumeshakutana nao sanaYakishakukuta hutokumbuka hayo
Mwanamke anasema "jamani naumia" 😁😁😁Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Kuna mda NDOA inakuaga upuuzi
Unapigia mtu missed call 16 halafu hakuingizii hata shilingi kumi?? kweli ndoa zina vituko. Missed call 3 tu zinatosha kumrudisha mwanamke kwao akafunzwe adabu na shangazi zake.
Nimewaza mbali sana ujinga aliouongea anyway siungi mkono kumpiga mwanamke ila ukiingilia ya familia za watu hakikisha una busara ya kutosha kufanya hivyo.U
Utakuja kufa kifo kisicho chako amini maneno yangu!
kabsa mkuu yaani mpka vijaNa wanaogopa kuoaKanisaa rfk ni boraa ukazaa tu ukaendelea ma maisha yako.
Ukileta upumbavu unapigwa tu, mwanamke tunu yake ni stara na adabu tu. Ukivikosa hivyo maama yake 100% utakosa busara na kuwa mtu wa hovyo.Mume wa kupiga hivi Mungu naomba asinipe
Halafu wanaume mnakuwaga wepesi sana kupiga kwani nyie mnapigwaga na nanii
Bora mtu uoe form four failure, hao mabinti waliomaliza chuo ndo wanapigwaga miti balaa, na malekcha mara na walimu wenzao, mara na watu wa mitaani, mara na vigogo, mara sometimes wanajiuza huko chuoni.Mwamba katumia nguvu kubwa sana pasipo sababu. Kama kaliwa uroda ni kaliwa tu huwezi badilisha ilo jambo.
Hapo alitakiwa kufahamu kisa alafu apimie uzito na majibu ya ziada. Akiona hakieleweki, aanze utaratibu wa maisha mengine tu.
Ila jambo lingine vijana wengi wameoa wapenzi wa vijana wengine. Kamwe usitake kumuoa mwanamke, usioe mwanamke uliyekutana naye ghafla jipe muda angalau miaka 3 - 5.
Sasa mtu 7nakutana na binti kamaliza chuo unamrukia ghafla mara miezi mitatu ndoa, huko chuo alikuwa anaishi na mhuni wake kuanzia second year hadi final year, wewe unaokna umepata mk3 kumbe umenyang'anya mtu mpenzi wake.
Huyo lazima akachepuke tu, huna ujanja hapo na hayo ni umejitakia mwenyewe.
Utapambanaje wakati unajua kweli umetoka kutombwaDada naye katulia me ningemng'ata hata pum*u nijitetee
Unless dada anajua Ana makosa
We ndo mwanaume kamili sasa, hatutakiwi kuwa myoronyoro, afu cha ajabu Kuna wanaume wanamtetea huyo binti, wanaume gani nyie laini laini hivyo? Au hamdindishi?Wanaosema mwanaume ni mnyanyasaji labda wao hajaolewa au kuoa au kufunga ndoa au hawajui matunzo ya mke au watoto na uchungu mwanaume anaopitia kuhakikisha familia inakula, kuvaa, na kulala. Kwa mtu aliefunga ndoa kihalali (kanisani/msikitini, sio za bomani) na anawajibika ipasavyo kwa familia na alimuamini mke wake hawezi kuona km anachofanya huyu bwana ni ukatili.
Kwa hiyo huyo mwanamke kutopokea sm Mara 16 kutoka kwa mume wake wa ndoa ndo siyo ukatili. Au huo ukatili ni kwa mwanamke pekee. Tusiendekeze kulea upuuzi kwa kigezo Cha ukatili. Huyo alitakiwa anyooshwe maana itakuwa hakukunjwa na wazazi.
Serious kweli missed call 16 with no response, MKE wa mtu tena usiku then unamtetea eti ananyanyaswa bora waachane. Hapo inatakiwa wanaachana lakini akiwa amebaki na utabulisho wa milele kwa ujinga aloufanya.
Aliyataka Wacha akabwetangu Asubuhi Simu hupokei,Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Ndoa sio kitu cha maisha. Niliwahi kuandika humu serikali ibadili sheria kuruhusu ndoa za mikataba (contract marriages).Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Acha ujinga alimruhush kwenda ila hakumruhusuWhen commonsense is not common.Huyu jamaa ni mjinga haswa.Kamruhusu mwenyewe kwenda alipokwenda na kakaa mpaka saa 4 usiku.Solution ni kumkaba?Anatia aibu wanaume. Huwezi ku deal na ndoa kistaarabu usioe.