Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Angekua sister angu kafanyiwa ivo kesho yake ningekua nguvuni
Hahaha ngoja nikusimulie yaliyotokea kijijini kwetu miaka hiyo, kuna jamaa mmoja dada yake alikuwa kaolewa, siku moja huyo dada akapigwa na mumewe, akatoka kwake analia hadi nyumbani kwao, akamkuta kaka yake nyumbani (huyo kaka yake alikuwa anasifika kwa ubabe), akamuuliza dada yake amekuwaje dada mtu kamsimulia alivyokung'utwa na mumewe, jamaa akamwambia twende nikamwadabishe mshenzi huyo, hao wakakokotana hadi nyumbani kwa dada yake, kilichotokea kichapo wakatembezewa wote dada mtu na kaka yake. Jamaa akiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft utani ukianza raia wanamkumbusha kichapo alicho pokea yeye na dada yake, jamaa alikuwa anakiri kuwa kajamaa kaliwakung'uta aisee. Ukiangalia mwili wa aliyekung'utwa na aliyekung'uta ni mfano wa mlima na kichuguu.
 
Hahaha ngoja nikusimulie yaliyotokea kijijini kwetu miaka hiyo, kuna jamaa mmoja dada yake alikuwa kaolewa, siku moja huyo dada akapigwa na mumewe, akatoka kwake analia hadi nyumbani kwao, akamkuta kaka yake nyumbani (huyo kaka yake alikuwa anasifika kwa ubabe), akamuuliza dada yake amekuwaje dada mtu kamsimulia alivyokung'utwa na mumewe, jamaa akamwambia twende nikamwadabishe mshenzi huyo, hao wakakokotana hadi nyumbani kwa dada yake, kilichotokea kichapo wakatembezewa wote dada mtu na kaka yake. Jamaa akiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft utani ukianza raia wanamkumbusha kichapo alicho pokea yeye na dada yake, jamaa alikuwa anakiri kuwa kajamaa kaliwakung'uta aisee. Ukiangalia mwili wa aliyekung'utwa na aliyekung'uta ni mfano wa mlima na kichuguu.
kweli uchawi upo asee hahahah
 
Hasira hizi aseeh ,bora sisi wengne huwa tunasikitika tu , tulilia kwa moyo afu tunavimba tunanuna mpaka wao ndio huja kutusumbua tu
 
Nakumbuka nilishamwambia wife hatutakaa tugombane wala kupeleka kesi kwa wazazi wala wasimamizi wa ndoa maana mapenzi ni wawili mkwazane mfurahishane yaishie mdani hizi mambo za kupigana barabarani haileti ahueni yoyote ni kudhalilishana tu.

Jamaa angevunga afike home wakae waongee kama katombewa na yeye hatombagi nje basi aachane na demu kama hawezi asamehe kupiga kuna mambo mengi alafu unajenga chuki baina ya familia........mama mkwe wangu anavyonipenda leo nikampigie mwanae bora nimrudishe nisimkwaze yule mama
 
Back
Top Bottom