Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Stress nyingi hukoAisee inawezekana ni kweli kabisa kwenye ndoa kuna idadi kubwa ya vichaaa eeeh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stress nyingi hukoAisee inawezekana ni kweli kabisa kwenye ndoa kuna idadi kubwa ya vichaaa eeeh!
Kuna mwalimu wangu wa college zamani sana alikuwa na msemo mmoja ambao nadhani aliusikia mahali na alikuwa akiusema sana na hadi leo naukukumbuka. Msemo wenyewe ni kama hivi "Hakuna revenge nzuri kwa mwanamke alieku kucheat kama kumuachia mwanamme alocheat nae amchukuwe waondoke huku ukitabasamu".Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Nakubaliana nawe 100% wanaume tujifunze kuwa wastaarabu na wavumilivu wa mambo. Mwanamke ameamua kukusaliti maana yake hana mapenzi nawe tena hata kama akikupigia magoti na kukuomba msamaha, ukae ukijua kuwa kila akikaa atakuwa anamuwaza mpenzi wake wa nje tu!Huyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
Yeye alitumia hasira kubilingishana na mkewe barabarani. Wewe nae unatumia hasira kucoment. Fun enough, unaweza Kuta muda huu Kila kitu kipo sawa kati yao.
Calm down
Feminist katika ubora wako.Huyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
Subiri uoe ndio utaelewa maudhi ya wanawakeHao watu waliokuwa wanarekodi tu na kumbembeleza huyo mwanaume nao ni kama wapumbavu tu. Katika hali ya kawaida huyo mwanaume alipaswa kushambuliwa kwa fimbo na mawe, raia hawakupaswa kucheka na huyo mwanaume, ndoa sio kichaka cha kufichia ukatili.
Komwa kuniwekea maneno unayoyafikiria wewe.Feminist katika ubora wako.
Wanawake mnajiona(ga) special sana na mnafaa kufanya lolote. Hii video ingekuwa mwanaume ndiye amekabwa wala usingetukana.
Waachane vp na wamefunga pingu za maisha?Aisee naona siku hizi matukio ya kuchapana yanazidi kuongezeka kwenye ndoa,ili kuepuka kuozea jela na kupelekana futi 6 mkishindwana muachane kistaarabu
Cheki video hiyoView attachment 2868673
Daaa naona kataa ndoa mmepata mwanya hapa[emoji16][emoji16]Kama una akili vizuri kabisa na unauwezo wa kufikiri...
NDoa sio sehemu nzuri ya kuingia
Ndoa zipo kwa watu wasio na logic ni special for emmotional people
Hakuna genius dunian aliekuwa ameoa
Hata yesu kukaa kwake duniani kote miaka 33 hakuoa hujiulizi? Why
Basi wasubiri kifo kiwatenganisheWaachane vp na wamefunga pingu za maisha?
[emoji16][emoji16][emoji16]Inasikitisha sana nae jamaa anazingua yaani hicho ndo cha kumfanya ampige mwenzie je angemkuta anapigwa tako 3 si angemuua Kabisa