Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
30 ni nyingi mno sumu inakuwa imeshayeyuka na kuwa dawa mpaka inakuwa sumu tena.Miscal 30 tunaimba tumpeleke tumpeleke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
30 ni nyingi mno sumu inakuwa imeshayeyuka na kuwa dawa mpaka inakuwa sumu tena.Miscal 30 tunaimba tumpeleke tumpeleke
mimi ukiniambia hukuwa na bundle nakumindSipo upande wowote ila missed call 16 ni nyingi kumpandisha mtu mahasira.
Sijakuelewa mkuu, bundle la ninimimi ukiniambia hukuwa na bundle nakumind
Mbili za nn? Unapiga moja unaacha ujumbe,Missed calls zikishazidi 2 ni kujitafutia presha, napiga mara 2 then natulia.
Yes kama hakuna response hakuna tu, hata kwa ishu ya kibiashara nafanya hivyo napiga mara 2 kama mtu ataona umuhimu wa kupiga atakapoona ni yeye.Si ndio? Sababu hata zikiwa 100 hazibadilishi kitu.
Moja sawa pia ila mbili imekaa poa zaidi ujumbe siachi na isiwe ndio kila mara, kuna muda haya tunayatengeneza wenyewe.Mbili za nn? Unapiga moja unaacha ujumbe,
Ndo missed calls 16?Huyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
We nae m*tak0 tu mjubaHao watu waliokuwa wanarekodi tu na kumbembeleza huyo mwanaume nao ni kama wapumbavu tu. Katika hali ya kawaida huyo mwanaume alipaswa kushambuliwa kwa fimbo na mawe, raia hawakupaswa kucheka na huyo mwanaume, ndoa sio kichaka cha kufichia ukatili.
Nguvu ya kisungura...🤣🤣🤣🤣Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Umeona eenhh??!!.Lkn ktk Imani kwa sisi Wakatoliki tunaamini ktk Msemo usemao "Philosophie anchillar Theologica",Kwamba Imani na akili husaidiana,kwa hiyo ktk Mazingira km hayo Kanisa laweza kuruhusu Mke na Mume watengane kwa muda ili kila mmoja kujitafakari na kisha kujirudi.Kuna kitu Kwenye Canon Law kinaitwa "Nullity of Marriage",huyo yamo Mambo 12 yanayoweza Kufanya ndoa isiwe halali,Mojawapo ni hali ya hatari kwa mmojawapo wa Wana ndoa.Ndoa ni kama dini, watu wameaminishwa hakuna kutengana, hivyo wameuza nafsi zao huko....kufa kupona
Uko la ngapi mkuu? Yaani mtaani ukiona mke na mume wanadundana unaingilia ugomvi, huna shughuli za kukukeep busy?sisi hata mtaani kwetu tukijua unampiga mkeo mangumi tukikufuma live unachezea mangumi pia hatujali kama mnapendana au la kama mnapigana in privacy na mnavumiliana fresh tu ila ukimpiga mbele tukaona au tukasikia maana umejivunjia mwenyewe your freedom to privacy lazima tukufunze adabu mwanamke hapigwi ngumi
Tena jamaa kapanda nae madhabauni kabisa, mzaha sio mzaha?Missed calls 16, hizi ndoa.
Sahihi kabisaUmeona eenhh??!!.Lkn ktk Imani kwa sisi Wakatoliki tunaamini ktk Msemo usemao "Philosophie anchillar Theologica",Kwamba Imani na akili husaidiana,kwa hiyo ktk Mazingira km hayo Kanisa laweza kuruhusu Mke na Mume watengane kwa muda ili kila mmoja kujitafakari na kisha kujirudi.Kuna kitu Kwenye Canon Law kinaitwa "Nullity of Marriage",huyo yamo Mambo 12 yanayoweza Kufanya ndoa isiwe halali,Mojawapo ni hali ya hatari kwa mmojawapo wa Wana ndoa.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Mimi ndio maana huwa namsisitizia mume wangu mara kwa mara "Mimi sio mali yako, ni mwenza wako" ili iendelee kuingia akilini. We are partners, lovers na hakuna anayemmiliki mwenzie wala baba au mama wa mwenzie. The options you have ukikosewa ni kusamehe au kuondoka na ni haki yako kufanya either of them!Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Pamoja na yote hayo kwahiyo njia nzuri ni kwenda na wewe upigane siyo?umeona kiongoz alivyomuwekea goti la shingo yule manzi?
Ha ha ha na mume wako huwa anajibu nini ukishamwambia hivyo?Mimi ndio maana huwa namsisitizia mume wangu mara kwa mara "Mimi sio mali yako, ni mwenza wako" ili iendelee kuingia akilini. We are partners, lovers na hakuna anayemmiliki mwenzie wala baba au mama wa mwenzie. The options you have ukikosewa ni kusamehe au kuondoka na ni haki yako kufanya either of them!