bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
PepoMi hata sielewi kwann mtu unahangaika hivi?
Au hugongwi vzr au nn?
Maana lazima Kuna sbb ya mtu kuhangaika hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PepoMi hata sielewi kwann mtu unahangaika hivi?
Au hugongwi vzr au nn?
Maana lazima Kuna sbb ya mtu kuhangaika hivi
Missed calls 16 lazima awe hivyo, zile za salma zilikuwa 40 akafyatuliwa ubongo.
Kwakweli mkuu ni spiritPepo
Pia hakikisha umemaliza nyege zako zote ndipo uingie kwenye ndoa kifo kitakuhusu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
misidi koru 16 zimezua kizaa zaa.
Ukiitaka ndoa jua kuitumikia ndoa.
Usiitake ndoa kama huwezi kuitumikia 😂
Unataka uchukue nafasi ya dada yako? 😀. Asee heshimu ndoa ya mwanaume mwenzioAngekua sister angu kafanyiwa ivo kesho yake ningekua nguvuni
Nyingi uishia kuuwa wamiliki au familia yakeKuna umuhimu Sasa, wa kumiliki mguu wa kuku, 😎😎 missed calls 16 ni nyingi sana
Ndoa zina siri nyingi sana wengi hawafikiMi hata sielewi kwann mtu unahangaika hivi?
Au hugongwi vzr au nn?
Maana lazima Kuna sbb ya mtu kuhangaika hivi
Sa si umwambie mhusika km hufiki na nn unataka ufanyiwe Ili ufike?😂Ndoa zina siri nyingi sana wengi hawafiki
Uharibu maisha yako kisa mtu ambae hata hujazaliwa nae. Hivi haiwezekan mtu kama kakushinda ukamuacha aende zake?Kuna umuhimu Sasa, wa kumiliki mguu wa kuku, 😎😎 missed calls 16 ni nyingi sana
Zilibaki missed call 4 zifike 20.. Mchuano uingie phase 2..Missed calls 16 lazima awe hivyo, zile za salma zilikuwa 40 akafyatuliwa ubongo.