bestchoicetz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2023
- 383
- 875
Hapana ....Bibi huyo unamjua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ....Bibi huyo unamjua ?
Ilikuwa ni kama tupo tuna safiri na private car anaye endesha ni mshkaji wangu kabisa tulipita barabara yenye miteremko mikali sana yenye yenye mapango makibwa ya mawe kuna mahali tulifika ikaonekana ni kama kanisani wakati tuna pumzika katika mazingira hayo yenye watu wengi nika sogea pembeni ndo huyo bbi akawa ananisemesha kwa ishara ya kutaka ni mkaze basi katika maongezi nika mwambia akiwa sawa atanijulisha lakini alikuwa ananihitaji kimapenzi ...... sikumbuki vyote ila kwa uchache ipo ivo nduguKupata tafsiri inahitaji usimulie ndoto yote, mwanzo hadi mwisho.
Mazingira mlifanya wapi..
Nani alianza kumtamani mwenzie, nani alimfata mwenzie, ulikubali kwa kupenda au ulifanya kwa kujilazimisha ...
wewe ni mkristo, muislamu au huna dini ?Ilikuwa ni kama tupo tuna safiri na private car anaye endesha ni mshkaji wangu kabisa tulipita barabara yenye miteremko mikali sana yenye yenye mapango makibwa ya mawe kuna mahali tulifika ikaonekana ni kama kanisani wakati tuna pumzika katika mazingira hayo yenye watu wengi nika sogea pembeni ndo huyo bbi akawa ananisemesha kwa ishara ya kutaka ni mkaze basi katika maongezi nika mwambia akiwa sawa atanijulisha lakini alikuwa ananihitaji kimapenzi ...... sikumbuki vyote ila kwa uchache ipo ivo ndugu
Mkristowewe ni mkristo, muislamu au huna dini ?
Mim ni mkristowewe ni mkristo, muislamu au huna dini ?
Kabisa .... maana ina miteremko mkali sana pamoja na meinuko yani nlikuwa na jawa hofu sanamwendo wa gari ulikua unakuogopesha sana ?
Tulikuwa tuna pita kwwnye mapango makubwa sana ya mawe pia tulipita kwwnye misitu kame sanamwendo wa gari ulikua unakuogopesha sana ?
Ila barabara ilikuwa ya lamiTulikuwa tuna pita kwwnye mapango makubwa sana ya mawe pia tulipita kwwnye misitu kame sana
Maranyingi huwa nikiota ndoto za kusafiri safiri huwa ntapita kwwnye kipindi kigumu sana kifedha nimesha gundua hichi kitu na inakuwa halisi katika maisha ya kawaidaKupata tafsiri inahitaji usimulie ndoto yote, mwanzo hadi mwisho.
Mazingira mlifanya wapi..
Nani alianza kumtamani mwenzie, nani alimfata mwenzie, ulikubali kwa kupenda au ulifanya kwa kujilazimisha ...
hiyo ni safari yako ya maisha siku zijazo,Tulikuwa tuna pita kwwnye mapango makubwa sana ya mawe pia tulipita kwwnye misitu kame sana
Huyo bbi hatujafanya naye ila alinionyesha ishara zote za kunihitaji kipenzihiyo ni safari yako ya maisha siku zijazo,
unahitaji neno la Mungu la kukuvusha kwenye mambo hayo unayokwenda kukutana nayo kwenye safari ya maisha.
Tafsiri ya ndoto hukamilika na kupata tafsiri vizuri kwa kuangalia uliyokuwa unayawaza moyoni ukiwa ndotoni.
ndoto ilikatika ukiwa bado unafanya kile kitendo na huyo bibi au ulimaliza kabisa na kuondoka huku ukiwaza nn
Blessedhiyo ni safari yako ya maisha siku zijazo,
unahitaji neno la Mungu la kukuvusha kwenye mambo hayo unayokwenda kukutana nayo kwenye safari ya maisha.
Tafsiri ya ndoto hukamilika na kupata tafsiri vizuri kwa kuangalia uliyokuwa unayawaza moyoni ukiwa ndotoni.
ndoto ilikatika ukiwa bado unafanya kile kitendo na huyo bibi au ulimaliza kabisa na kuondoka huku ukiwaza nn
kiuharisia ungeaza na Yupi?Mkuu Sulya hebu check hii ndoto yangu..
Nina wake wawili.Mke mkubwa sielewani nae.
Sasa nimeota ndoto kwamba, nimelala nao wote kitanda kimoja.
Nikataka nifanye nao mapenzi.wakanambia nichague wa kuanza nae...nikachagua kuanza na mke mdogo kitu kilichosababisha mke mkubwa kunilalamikia sana kwani alitegemea nichague kuanza naye.Ndoto yangu iliishia hapo nikaamka.Nini tafsiri yake mkuu?