Hizi elimu za kupewa zinaharibu wengi, Maswali kama haya nmeshauliza sana kwenye mada za namna hii, ajabu wanakimbia hawajibu.
Ndoto ya kitu ambacho kinakuja kutokea kweli mimi nlikua naota sana, That's why huwa sina shaka kwenye uamini wa "kiroho" ( Spiritual )