mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Ndoto nyevu ndio ya aje aje et?Pole sana aisee,, nikajua unaota ndoto nyevu bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto nyevu ndio ya aje aje et?Pole sana aisee,, nikajua unaota ndoto nyevu bado
Emu nikumbushe wewe Mara ya MWISHO kupatwa na hio nyevu ilikuaga lini?Si tulifundishwaga shuleni
Sijui zinafananaje, nakumbuka tu tulisomaga shuleni 😃😃😃Ndoto nyevu ndio ya aje aje et?
Hasa hizo si mnaota nyie wanaume mkuu😃😃😃Emu nikumbushe wewe Mara ya MWISHO kupatwa na hio nyevu ilikuaga lini?
Wewe pia unaotaga au umesahau umesema tilifundishwa ndio nikakuuliza uliota lini Mara ya MWISHO?Hasa hizo si mnaota nyie wanaume mkuu😃😃😃
Haya bhana🙌🙌Wewe pia unaotaga au umesahau umesema tilifundishwa ndio nikakuuliza uliota lini Mara ya MWISHO?
Na ndio ukweli wasiujua watu wengiJini mahaba limechukua sura ya huyo mwanamke likaja kuyonya shahawa zako
Khaaa 🤔🤭KWAHERI BANDARI ZETU.
Spiritual wife huyo...Nimekula demu mmoja amazing kwenye ndoto, nilipoamka nikakasirika nikalala tena ili nipige cha pili, aisee, nikaota nakimbizwa na mamba mtoni.
Mkuu kuna zile ukiota zinatokea kweli,,,,mfano unaota upo msibani japo hutafunuliwa ni nani ila ukiamka unaletewa taarifa za msiba wa mtu au ndugu,,,,hii unaizungumuziaje mkuuNdoto ni overrated sana
Ndoto ni mawazo tu kama wazo jingine unlike unakuwa umelala tu.
Ndoto ni tafakari kama tafakari nyingine
Ndoto has nothing to do with our life
Ndoto za kunyanduana ni wet dream(Ndoto nyeti) zinazompata mtu yoyote aliebalehe au kuvunja ungo ndimaana ukiamka unakuta ushaharibu
Narudia tena Ndoto ni overrated sanaaaa
mtatofautiana kauli soon tuUsiku wa Jana Niliota nafanya Sex na manzi mmoja hivi ambaye namfahamu lakini Sina feeling nae!!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ayubu 33:14-15Ndoto zina maana sana, wakati nipo chuo nilishawahi kuota mwl anasolve maswali kipindi cha mtihani asubui nimeenda kwenye paper nikatuta maswali 2 ni kati ya yale aliyosolve mwl na nikashuka nayo vilevile na nikayapata yote, yaani niliamini kweli Mungu ana njia zake za kumsaidia mtu tatizo tu ni kwamba wakati mwingine huwa tunakuwa wajeuri
Hizi elimu za kupewa zinaharibu wengi, Maswali kama haya nmeshauliza sana kwenye mada za namna hii, ajabu wanakimbia hawajibu.Mkuu kuna zile ukiota zinatokea kweli,,,,mfano unaota upo msibani japo hutafunuliwa ni nani ila ukiamka unaletewa taarifa za msiba wa mtu au ndugu,,,,hii unaizungumuziaje mkuu