Ndoto ukifanya mapenzi na mtu UNAYEMJUA, Tafsiri yake

Ndoto ukifanya mapenzi na mtu UNAYEMJUA, Tafsiri yake

usidanganye watu, kuota mazingira ya shule ina maana zaidi ya moja.
sio zote humaanisha stagnation..
Sasa hapo nimedanganya nini?

Inategemea na hapo shuleni huwa anaonekana anafanya nini, sasa wewe jiulize mtu mzima ana kazi yake, ameoa/kuolewa lakini anaota yuko shuleni anasoma tena shule ya msingi na wakati huo huo kuna mambo hayaendi kabisaaa, utaitafsiri vipi hii ndoto?
 
Hata mimi nlikua naota ndoto za namna hiyo, ila ndoto ya mwisho nliota nafundisha darasa je hii ina maana gani ?
Ulikuwa unapitia kipindi cha mitihani ya maisha ili uende hatua nyingine.

Sasa kwa kuwa umeota ndoto ya kufundisha darasani, kwanza kumbuka anayefundisha ni Mwalimu, ambaye amesoma na kuhitimu elimu yake.

Kwahiyo huyo ni mtu mzima. Sasa kwa vile wewe ulikuwa unafundisha hiyo inaashiria kwamba umeshafuzu masomo yako na una elimu ya kuwapa wengine.

Sasa kwa tafsiri ya ndoto yako,ni hivi,wewe una karama ya Uongozi, una kundi nyuma la watu linalohitaji uliongoze.

Muhimu; Uongozi unaanzia nyumbani,VyuoniTaasisi n.k ,je unategemewa na wangapi kuwapa mawazo yako na maelekezo?
 
ni kweli kuna ndoto zingine zinakuja kwa fumbo, lakini zingine zinakua hazina mafumbo.

Roho inaona kila sehemu kwahiyo jicho lako la ndani likiwa safi unaweza kuona vitu ambavyo wengine hawaoni.

Hata kama sio ndotoni, ni live naongea na mtu, nina uwezo wa kujua huyu mtu maneno anayoongea yanatoka moyoni au ni maneno ya uwongo.
Ndoto ZOOTE ZINA TABIA YA KULETA UJUMBE KWA MAFUMBO, NDOTO UNAZOZIONA ZINAKUJA NA UJUMBE WA MOJA KWA MOJA HUITWA NJOZI
 
Ulikuwa unapitia kipindi cha mitihani ya maisha ili uende hatua nyingine.

Sasa kwa kuwa umeota ndoto ya kufundisha darasani, kwanza kumbuka anayefundisha ni Mwalimu, ambaye amesoma na kuhitimu elimu yake.

Kwahiyo huyo ni mtu mzima. Sasa kwa vile wewe ulikuwa unafundisha hiyo inaashiria kwamba umeshafuzu masomo yako na una elimu ya kuwapa wengine.

Sasa kwa tafsiri ya ndoto yako,ni hivi,wewe una karama ya Uongozi, una kundi nyuma la watu linalohitaji uliongoze.

Muhimu; Uongozi unaanzia nyumbani,VyuoniTaasisi n.k ,je unategemewa na wangapi kuwapa mawazo yako na maelekezo?
Duh! Hii kitu inatafakarisha

Anyways, Nategemewa na rafiki zangu hata familia yangu kwa ushauri na baadhi ya miongozo kuhusu mambo mbali mbali.

Kuhusu karama ya uongozi, nmesema inatafakarisha kwasababu kuna mama mmoja sikuwa nmeonana nae kwa miaka mingi,

Nmekuja kuonana na yule mama mwaka huu, baada ya salamu na maongezi mafupi aliniambia nna karama ya uongozi, Sikumuelewa vizuri na sikuchukulia userious jambo alilosema kwakua nlimchukulia ni muongeaji.
 
Duh! Hii kitu inatafakarisha

Anyways, Nategemewa na rafiki zangu hata familia yangu kwa ushauri na baadhi ya miongozo kuhusu mambo mbali mbali.

Kuhusu karama ya uongozi, nmesema inatafakarisha kwasababu kuna mama mmoja sikuwa nmeonana nae kwa miaka mingi,

Nmekuja kuonana na yule mama mwaka huu, baada ya salamu na maongezi mafupi aliniambia nna karama ya uongozi, Sikumuelewa vizuri na sikuchukulia userious jambo alilosema kwakua nlimchukulia ni muongeaji.
Neno la Mungu hutimizwa kwa vinywa vya manabii wawili.

Wa kwanza ni mama na wa pili ni mimi.

Hapo cha msingi ni kuanza kuichochea karama yako ili ujue kusudio la Mungu ndani yako ni nini.

Yaani ni uongozi wa namna gani, kiroho au kimwili?

Je,ni wapi utaanzia,akina nani watakuongoza na mission yako itakuwa ni ipi hapa duniani.

Kitu cha kuomba zaidi ni kupata watu sahihi, sehemu sahihi na kuanza muda ambao ni sahihi.

Mungu akutangulie.
 
Surya
Msaada wako ndugu Surya Said,
Mimi kuna ndoto imekuwa ikijirudia takribani huu ni mwaka wa 3 Sasa.

Iko hivi, mara nyingi huwa naota nipo kwenye matembezi na binti mzuri sana kwa muonekano wake, hasa maeneo ya ufukwe wa bahari au pembezoni mwa mto na mara zote lazima tutakutana na Sheikh mbele yetu na lazima atatufungisha ndoa Mimi na huyo binti.

Naomba kupata msaada wa ufafanuzi wa ndoto hii na pia kama kuna jambo la ziada kuhusu ndoto hii.
 
Surya
Msaada wako ndugu Surya Said,
Mimi kuna ndoto imekuwa ikijirudia takribani huu ni mwaka wa 3 Sasa.

Iko hivi, mara nyingi huwa naota nipo kwenye matembezi na binti mzuri sana kwa muonekano wake, hasa maeneo ya ufukwe wa bahari au pembezoni mwa mto na mara zote lazima tutakutana na Sheikh mbele yetu na lazima atatufungisha ndoa Mimi na huyo binti.

Naomba kupata msaada wa ufafanuzi wa ndoto hii na pia kama kuna jambo la ziada kuhusu ndoto hii.
Kila ukiota ni kufunga ndoa.. hiyo ndoa yenu haina maendeleo au muendelezo mwingine wa kimaisha ???

anyway iko hivi..
Katika ndoto, kuna aina (type) mbili za Ndoto.
a. Symbolic dream (Yenye mafumbo)
b. Realty dream ( isio na mafumbo)

Ndoto yako uliyosimulia haina mafumbo.
ni halisia kama ulivyoona na kufanya.

Are you a Muslim ?
 
Kila ukiota ninkufunga ndoa.. hiyo ndoa yenu haina maendeleo au muendelezo mwingine wa kimaisha ???

anyway iko hivi..
Katika ndoto, kuna aina (type) mbili za Ndoto.
a. Symbolic dream (Yenye mafumbo)
b. Realty dream ( isio na mafumbo)

Ndoto yako uliyosimulia haina mafumbo.
ni halisia kama ulivyoona na kufanya.

Are you a Muslim ?
Kuhusu dini mimi ni mkristo,

Muendelezo upo mkuu na nisingependa kuweka wazi sana hapa kwa sababu za kibinafsi.

Ila tu kuna mlolongo wa matukio hapo katikati na sasa huwa naona ndoton akiwa na watoto wawili (nikimaanisha ni familia).

Nahitaji sana kupata maana halisi na nahitaji kujua ni nini hasa kinaendelea sababu ndoto hii imekuwa kama sehemu ya maisha yangu.

Mkuu kama kuna namna ya kuwasiliana nawe moja kwa moja kwa msaada zaidi nitashukuru sana.
 
Kuhusu dini mimi ni mkristo,

Muendelezo upo mkuu na nisingependa kuweka wazi sana hapa kwa sababu za kibinafsi.

Ila tu kuna mlolongo wa matukio hapo katikati na sasa huwa naona ndoton akiwa na watoto wawili (nikimaanisha ni familia).

Nahitaji sana kupata maana halisi na nahitaji kujua ni nini hasa kinaendelea sababu ndoto hii imekuwa kama sehemu ya maisha yangu.

Mkuu kama kuna namna ya kuwasiliana nawe moja kwa moja kwa msaada zaidi nitashukuru sana.
njoo pm
 
Tafsiri yake, hiyo ni ndoto ya kishetani.

Fanya ibada za kila siku, ibada haina msimu wala siku.
Nashukuru sana kwa ushauri wako, lakini miasha yangu yana stori complicated kdg kuhusu haya mambo ya kiroho.

Maana kuna wakati huwa naota kama naongea na mtu lkn yupo kwenye taswira na umbo la duara kama jua na anatoa mwanga mkali sana mweupe, mara nyingi anayoniambia hutokea kama alivyonielekeza.

Mfano mwezi wa 11 mwaka jana nilitakiwa kwenda safari na watu furani mkoani na tulipanga kuondoka jioni, Cha ajabu siku ya safari kuna mazingira yalitokea tu baada ya kumaliza kula mchana nikapitiwa na usingizi (nilikuwa nyumbani).

Alipokuja usingizini (huyu mwenye taswira ya duara) aliniambia sitakiwi kwenda safari ile na sitakiwi kabisa kusafiri siku ile na kweli sikwenda,

Sasa kilichoenda kutokea kwa wale wenzangu walipata ajari mikumi na hakuna aliyepona wote wanne walipoteza maisha..
 
Tafsiri yake, hiyo ni ndoto ya kishetani.

Fanya ibada za kila siku, ibada haina msimu wala siku.
unatofautishaje ndoto ya shetani na ndoto ya Mungu ?
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako, lakini miasha yangu yana stori complicated kdg kuhusu haya mambo ya kiroho.

Maana kuna wakati huwa naota kama naongea na mtu lkn yupo kwenye taswira na umbo la duara kama jua na anatoa mwanga mkali sana mweupe, mara nyingi anayoniambia hutokea kama alivyonielekeza.

Mfano mwezi wa 11 mwaka jana nilitakiwa kwenda safari na watu furani mkoani na tulipanga kuondoka jioni, Cha ajabu siku ya safari kuna mazingira yalitokea tu baada ya kumaliza kula mchana nikapitiwa na usingizi (nilikuwa nyumbani).

Alipokuja usingizini (huyu mwenye taswira ya duara) aliniambia sitakiwi kwenda safari ile na sitakiwi kabisa kusafiri siku ile na kweli sikwenda,

Sasa kilichoenda kutokea kwa wale wenzangu walipata ajari mikumi na hakuna aliyepona wote wanne walipoteza maisha..
Basi,mtoto Samweli akamtumikia BWANA mbele ya Eli,Na neno la BWANA lilikuwa adimu siku zile ;hapakuwa na mafunuo dhahiri.
2.Ikawa wakati huo,Eli alipokuwa amelala mahali pake (tena macho yake yalikuwa yameanza kupofuka, hata asiweze kuona),3 na taa ya Mungu ilikuwa haijazimika bado,na Samweli alikuwa amelala katika hekalu la BWANA,palikuwa na sanduku la Mungu;4 basi,wakati huo BWANA akamwita Samweli;naye akasema, Mimi hapa.

5.Akamwendea Eli kwa haraka ,akasema,Mimi hapa;kwa maana uliniita. Akasema ,Sikukuita;kalale tena.Naye akaenda, akalala tena.

6.BWANA akaita mara ya pili,Samweli!Samweli! Akaondoka akamwendea Eli,akasema,Mimi hapa;kwa maana uliniita, Akajibu, Sikukuita, mwanangu;kalale tena.

7.Basi Samweli alikuwa hamjui BWANA bado,na neno la BWANA lilikuwa bado halijafunuliwa kwake.8. BWANA akamwita Samweli mara ya tatu, Naye akaondoka akamwendea Eli, akasema, Mimi hapa;kwa maana uliniita, Ndipo Eli akatambua ya kuwa BWANA ndiye aliyemuita yule mtoto.

9.Kwa hivyo Eli akamwambia Samweli, Enenda, kalale;itakuwa ,akikuita, utasema, Nena,BWANA;kwa kuwa mtumishi wako anasikia.Basi Samweli akaenda akalala mahali pake.

10.BWANA akaja, akasimama, akaita vile vile kama kwanza, Samweli Samweli! Ndipo Samweli akasema,Nena ,BWANA ;kwa kuwa mtumishi wako anasikia.

11.BWANA akamwambia Samweli ,Angalia, nitatenda tendo katika Israeli ,ambalo kila atakayelisikia masikio yake yatamwasha.

(1Samweli 3:1-11).

Ndoto yako jibu lake liko hapo.

Bila shaka umemjua huyo anayekuja kwa mg'ao sawa na Ufunuo wa Yohana 1:16 Naye alikuwa na nyota Saba katika mkono wake wa kuume;na upanga mkali, wenye makali kuwili, ukitoka katika kinywa chake;na uso wake kama jua liking'aa kwa nguvu zake.

Samweli aliitwa mara 3 pasipo kuijua sauti ya Mungu ndipo mara ya 4 akaitika sawa sawa na Mungu alivyotaka aitike baada ya kufunuliwa na Eli.

Umekuwa ukimuota huyo mtu ila hukumjua ni nani mpaka ulivyokuja kuuliza hapa, sasa umeshamjua kwahiyo kazi kwako kufuata maelekezo yake maana ana ujumbe wako.

Unaota unafunga ndoa na una watoto wawili.
Uko kwenye kifungo ambacho hujajua ni upande wa Mungu au wa shetani. Hapa inaonyesha kila upande unakutaka uutumikie, kwahiyo ni wewe kujinasua kutoka kwenye hilo agano au kujua ni agano lipi umefungwa nalo.
 
Back
Top Bottom