Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Apigwe apigwe mbwa huyoooo 😁😁😁
 
KKu
Kuwa makini kuna warusi wa kwa tandale kwa bibinyau wanakuja...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Anae ota ni yeye au wewe?

Amka Moscow watu wanajipigia tu. Tena nyingine naskia zilitumwa wizara ya Ulinzi wakaziwahi.
Bora mchambuzi mwenzangu wa habari umekuja kunisaidia kuwaelewesha hawa warusi wa mwananyamala kwa manyanya.

Wengi wamemezeshwa propaganda kwamba Urusi ina nguvu, na wakati inatolewa kamasi na kimvuli kidogo cha Mmarekani.
 
ngoja nitunze kumbukumbu. baada ya vita kuisha nitakutafuta uje , ueleze Tena hiki ulichisema leo hapa jukwaani, ili sote tujifunze kwa mala nyingine hii conspiracy theory uliyoleta leo. Akilihuru
Muda wowote unakaribishwa mkuu, vipo hauna ndugu zako au rafiki zako huko Moscow uwambie watoke mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi nchi nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…