Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Mungu ibariki sana Marekani iendelee kuwa taifa kubwa lenye nguvu duniani Ili Mungu aendelee kuitumia Marekani kutandika watesa wakristo na kuwanyima uhuru wa kuabudu popote duniani


Urusi ilitesa sana wakristo hata kuwa na Biblia ilikuwa kosa la kufungwa maisha

Marekani Mungu anaitumia kutandika waonea wakristo na wanyanyasaji wakristo kwenye nchi zao kuwanyima uhuru wa kuabudu

Marekani ana udhaifu kibao wa kiimani za Kidini lakini Mungu anaitumia kama Rungu lake la kutandika wanyanyasa wakristo


Russia anavuna akichopanda Wakiristi wengi sana wakikufa kwa mateso makubwa Russia

Ee Mungu endelea kuisaidia Marekan.
I
dah waafrika sisi
 
Hapana mkuu mimi ndio mwenye thread. Kwahiyo kuna mtu ulim quote ila na mimi nikataka kujua sababu ya kuoneshwa kushangazwa na uafrika wetu, mpaka ukaandika vile
aah! kuna myahudi mmoja kutoka huko simiyu bariadi kachafua koment mkuu
 
Boss, Umechambua kishabiki mno. Tunakosa la kujifunza kupitia uzi wako.
Ukisoma kwa umakini sana maelezo yake ni wazi hajui hata kilicho tokea leo, wala impact yake kwenye masuala ya mabeberu na Russia - mbona Russia wakati mwingine anavurumisha rockets na mabom babu kubwa kutifua concrete Bunkers walipo jificha baadhi ya majenerali wa US,Poland nk bunkers zinageuzwa vifusi kabisa - mpaka sasa maafisa hao wakuu wa jeshi imeshindikana kuwaokoa wamekufa kifo kibaya - sasa mbona hatujaona au kusikia US ikituma/vurumisha similar poweful missiles/bombs kuishambulia Urusi kama kulipiza kisasi - wapo kimya kabisa, badala yake wanawapatia jeshi la Ukraine vi drone vya (DIY) kwa lengo la kuwatia taaruki wakazi wajini Moscow ili BBCna CNN wapate cha kuandika. vi drone hivyo vinarushwa na ma terrorist waliyo penyezwa na Ukraine intel agency na CIA walipo ona plan "A" yao ime fail miserably ndio wakaja na plan "B" hii ya kuwatumia magaidi kama ilivyo kuwa huko Syria mpaka Russia ikapashwa kuingilia kati kumuokoa Assad asipinduliwe na kuuwawa na mabeberu kama Gaddafi.

Sasa swali ni: kama ni kweli US/NATO awaogopi Russia mbona anatumia Taifa lingine dhaifu kuendeleza mgogoro ambao hauna kichwa wala miguu - mwisho wa siku mabeberu wakiongozwa na Merikani wala hawataweza kuishinda/dhoofisha Russia kijeshi wala Kiuchumi -watabaki kuabika wao, angalio kinacho endelea huko Ulaya magharibi hivi sasa, vurugu tupu,hakuna kazi, viwanda vinafungwa ovyo - mpaka wanabaki wanajilahumu kwa ujinga wao kwa kufuata siasa za Merikani kama vipofu.
 
Ukisoma kwa umakini sana maelezo yake ni wazi hajui hata kilicho tokea leo, wala impact yake kwenye masuala ya mabeberu na Russia - mbona Russia wakati mwingine anavurumisha rockets na mabom babu kubwa kutifua concrete Bunkers walipo jificha baadhi ya majenerali wa US,Poland nk bunkers zinageuzwa vifusi kabisa - mpaka sasa maafisa hao wakuu wa jeshi imeshindikana kuwaokoa wamekufa kifo kibaya - sasa mbona hatujaona au kusikia US ikituma/vurumisha similar poweful missiles/bombs kuishambulia Urusi kama kulipiza kisasi - wapo kimya kabisa, badala yake wanawapatia jeshi la Ukraine vi drone vya (DIY) kwa lengo la kuwatia taaruki wakazi wajini Moscow ili BBCna CNN wapate cha kuandika. vi drone hivyo vinarushwa na ma terrorist waliyo penyezwa na Ukraine intel agency na CIA walipo ona plan "A" yao ime fail miserably ndio wakaja na plan "B" hii ya kuwatumia magaidi kama ilivyo kuwa huko Syria mpaka Russia ikapashwa kuingilia kati kumuokoa Assad asipinduliwe na kuuwawa na mabeberu kama Gaddafi.

Sasa swali ni: kama ni kweli US/NATO awaogopi Russia mbona anatumia Taifa lingine dhaifu kuendeleza mgogoro ambao hauna kichwa wala miguu - mwisho wa siku mabeberu wakiongozwa na Merikani wala hawataweza kuishinda/dhoofisha Russia kijeshi wala Kiuchumi -watabaki kuabika wao, angalio kinacho endelea huko Ulaya magharibi hivi sasa, vurugu tupu,hakuna kazi, viwanda vinafungwa ovyo - mpaka wanabaki wanajilahumu kwa ujinga wao kwa kufuata siasa za Merikani kama vipofu.
Kwani aliyeanzisha vita vya Ukraine ni nani kiongoi
 
Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi ya Ukraine na ardhi yake vinatumika kama kichaka tu ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...


View attachment 2640177View attachment 2640178

Wewe umebeba kichwa kama mzigo, hujui kitu, nitajie vita hata moja Marekani amewahi shinda, taja moja. Kama hujui kitu, kaa kimya.
 
Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi ya Ukraine na ardhi yake vinatumika kama kichaka tu ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...


View attachment 2640177View attachment 2640178
Wacha propaganda wewe. Kama Marekani ingekuwa na haja ya kuivamia Urusi ingefanya hivyo miaka ya tisini baada ya USSR kusambaratika na kuiacha urusi ikiwa maskini sana. Marekani iliisaida sana Urusi kwanza kupata silaha zote za Nyuklia zilizokuwa Ukraine, na pia kuipa mikopo mingi sana ya kufufua uchumi wake. Putin anapokosa ajenda anatengeneza maadui wa cold war kutisha raia wake na yeye kuonekana mtetezi wao.
 
Ina
Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi ya Ukraine na ardhi yake vinatumika kama kichaka tu ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...


View attachment 2640177View attachment 2640178
Inasemekana.
 
Wewe umebeba kichwa kama mzigo, hujui kitu, nitajie vita hata moja Marekani amewahi shinda, taja moja. Kama hujui kitu, kaa kimya.
Wewe umemezeshwa maneno lkn kwa bahati mbaya waliokumezesha wamekuficha baadhi ya mambo.

Marekani kama Marekani huwa haiingii vitani hovyo hovyo, bali hupigana tu vita vya mikakati kama hizi unazoziona za mbali mbali, huku Marekani kwenyewe watu wakiendelea na shughuli zao za kimaisha, kimziki, burudani, watu wanaingia nchini na kutoka, biashara zinafanyika kama kawaida, nk bila hata watu kujua kama nchi hiyo ipo katika mikakati ya vita.

Lakini Marekani yenyewe kama inaamua kuingia vitani kwa style hii ya Urusi kwamba imeingia vitani hadi kukusanya wanajeshi wake wa akiba, vijana kulazimishwa kupigana nk, ujue hapo ni lazima yatokee ya Japan kitu ambacho dunia na Marekani yenyewe haitaki kukishuhudia.

Ukitaka kujua kama Marekani inapoingia kwenye vita kamili kama ya Urusi huwa inashinda au inashindwa iulize Japan na Vietnams kilichowakuta katika ardhi yao.
 
Russia wamesema drone, sio makombola kama unavyosema wewe. Na hizo drone zinarushwa na magaidi ambao wapo ndani ya urusi kinyemela
Sasa wewe unafikiri hao magaidi wanaweza kuanzisha ugaidi ndani ya ardhi ya nchi kubwa kama Russia bila kuwa na support ya Mmarekani nyuma yao.

Wewe unafikiri hizo drone walizipata wapi?
Na ziliweza kuingiaje nchi Urusi?
 
Back
Top Bottom