Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Ndoto ya Marekani kuivamia Urusi sasa yatimia

Mungu ibariki sana Marekani iendelee kuwa taifa kubwa lenye nguvu duniani Ili Mungu aendelee kuitumia Marekani kutandika watesa wakristo na kuwanyima uhuru wa kuabudu popote duniani


Urusi ilitesa sana wakristo hata kuwa na Biblia ilikuwa kosa la kufungwa maisha

Marekani Mungu anaitumia kutandika waonea wakristo na wanyanyasaji wakristo kwenye nchi zao kuwanyima uhuru wa kuabudu

Marekani ana udhaifu kibao wa kiimani za Kidini lakini Mungu anaitumia kama Rungu lake la kutandika wanyanyasa wakristo


Russia anavuna akichopanda Wakiristi wengi sana wakikufa kwa mateso makubwa Russia

Ee Mungu endelea kuisaidia Marekan.
I
 
2117399.jpeg
2117399.jpeg
 
Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi na ardhi yake vinatumika tu kama kichaka ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...


View attachment 2640177View attachment 2640178
NATO na USA gani unayoizungumzia?? Bro. Naona moves za komando kipensi zimekuathiri sana
 
We kenge si ndiyo ulisema Putin akiiona 2023 ashukuru Mungu.
Unapiga story na dadako jikoni unakuja kutuandikia hapa
 
Umeandika kama uko Shimo la Tewa hujui lolote..Kwani mara ngapi watu wanauawawa Washngton hata watu 100 hata wanafunzi??? Hujawahi kuona?

Magaidi waliipiga hiyo marekani hapo hapo kwao na inapigwa mpaka leo hivyo usiseme mambo kama unahara...tulia..Putin yuko hapo na anaendelea na kazi hata leo asbh ameingia ofisni..Russia sio Zimbabwe subiri uone kinachofuata...
Ngoja sasa tuone kati ya Washington na Moscow wapi watu wanaishi kwa hofu sasa hivi
 
Unadhani Russia ni Zimbambwe?

Hahahahaaaaaaa unaota mchana kweupe
Mimi nafikiri wewe ndo unaota mkuu, maana hauna habari kama sasa hivi warusi na wao wanaanza kuishi chini ya mahandaki wakihofia dude linalotumwa na Marekani lisije kuwaangukia muda wowote.
 
Hivi zile s600 sijui s500 hazikuona au ilikuwaje?
Ikumbukwe Putin alikoswa koswa na drone miezi 2 iliyopita na hii ni mara ya pili 😁👇

Huu wa kwako ni ushahidi mzuri sana. Mwenye macho haambiwi tazama maana wenyewe wanajionea.
 
uzi wako unatia hasira. lakini ndo ukweli wenyewe. hatuna jinsi warusi wenzang.
imbombo ngafu
Ni kweli haya yanayoendelea Russia yanatia hasira, lkn ndo hivyo inabidi warusi wa mwananyamala kwa manyanya mkubaliane na hali kwamba nyinyi mlimwaga mboga na Biden akamwaga ugali 😂😂
 
Mungu ibariki sana Marekani iendelee kuwa taifa kubwa lenye nguvu duniani Ili Mungu aendelee kuitumia Marekani kutandika watesa wakristo na kuwanyima uhuru wa kuabudu popote duniani


Urusi ilitesa sana wakristo hata kuwa na Biblia ilikuwa kosa la kufungwa maisha

Marekani Mungu anaitumia kutandika waonea wakristo na wanyanyasaji wakristo kwenye nchi zao kuwanyima uhuru wa kuabudu

Marekani ana udhaifu kibao wa kiimani za Kidini lakini Mungu anaitumia kama Rungu lake la kutandika wanyanyasa wakristo


Russia anavuna akichopanda Wakiristi wengi sana wakikufa kwa mateso makubwa Russia

Ee Mungu endelea kuisaidia Marekan.
I
Hapa tunavyoongea sasa hivi ni mwendo wa makombora na vimuli muli huko Moscow. Kila mtu kajificha ndani kwake hahaha
 
Hapo sasa wamepiga nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].hapo utasema kweli Urusi kashambuliwa
Kitendo cha Ukraine kufanikiwa kuingiza ndege zisizokuwa na rubani ndani ya ardhi ya nchi inayojiita yenye nguvu na teknolojia kubwa tena katika mji mkuu wao sio jambo dogo hilo yakhee.
 
Vipi wakuu,

Wakati vita hii ya Rusia na Ukraine inaanza...

1. Kuna watu walihisi kwamba vita hii ni ya Ukraine na Rusia peke yake, na kwamba kwa vile Ukraine ni kanchi kaunyonge basi Rusia anakwenda kumtandika M-ukraine kwa muda mfupi na kuichukua nchi yote ili iwe Jamhuri ya Rusia hapo baadae.

2. Kuna watu walihisi vita hii alievamiwa ni M-Ukraine peke yake, hivyo basi lolote linalotokea lipo juu ya kichwa chake mwenyewe (m-ukraine)

3. Wengine walihisi kwamba pamoja na kwamba M-Ukraine anapata support fulan ya silaha kutoka kwa wakubwa wakiongozwa na mtemi wa dunia (USA) ila hatokuwa na uwezo wa kufika mbali maana ngoma ya mtoto siku zote huwa haikeshi nk.

Sasa ndugu zangu niwambie tu kwamba hii vita ya Ukraine sio ya Ukraine tu kama wengi wanavyofikiria, bali ni vita ya Rusia na nchi bandia ya Marekani ambapo hilo jina la nchi ya Ukraine na ardhi yake vinatumika kama kichaka tu ili kuhalalisha kile kinachokwenda kufanywa na Marekani siku za usoni.

Putin analijua hili ndio maana anatumia nguvu kubwa kujaribu kupambana na kinvuli hicho cha Marekani, huku Marekani yenyewe original ikimchora na kuendelea kumchosha ili mwisho wa siku wamalize mchezo kiulaini kama vile mlevi anaeangushwa na ganda la ndizi.

Wakati Mmarekani anapanga mikakati yake kupitia Ukraine (Marekani bandia) kuna ndugu zetu warashia wa kwamtogole na mwanarumango walikuwa wakipanua midogo yao kumsifia Putin na jeshi lake, huku wengine wakiamini kwamba hakuna siku ambayo M-Ukraine ataweza kuifikia ardhi ya Putin kirahisi.

Sasa Mungu sio Athumani leo hii kila kitu kipo wazi kwamba Mmarekani anapoamua lake hakuna pa kwenda kujificha. Namaanisha hata ukiwa umejificha katika mji uliozungukwa na mitambo ya namna gani bado atakutumia mizinga huko huko ikufukunyue.

Hapa tunapoongea tayari Marekani ameshaingia hadi chumbani kwa Putin (Moscow) na kufanya maangamizi, huku kwao Marekani kina 50Cent na Jay Z wakiendelea kula mziki bila bughuza yoyote ya mabomu au rocket.

Kwa sasa inasemekana Putin anaishi pangoni kama ilivyokuwa kwa Sadam, lkn nakuhakikishieni, kama hajajitokeza mapema kuomba msamaha au kukimbilia China kuomba hifadhi basi ajiandae kukutana na yale aliyokutana nayo Saddam, Gadafi.

Picha ndio kwanza linaanza. Marekani original na NATO yake bado hawajaingia kazini.

Time will tell...


View attachment 2640177View attachment 2640178
Umenichekesha sana hapo kwa Putin kwenda kuomba hifazi China 😃😀
 
Back
Top Bottom