Ndoto yatimia: Serikali kupitia TPA kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanzia mwaka huu wa 2023/24

Ndugu Mayor Quimby ,kongole kwa mchango mzuri sana, ila unapoitoa "h" ,maneno yako yanakuwa na ukakasi kuyasoma ndugu.
"aufikii" badala ya "haufikii".
Ubarikiwe kwa mchango mzuri sana na jitahidi urekebishe hilo la "h".
 
Sawa. Kwahiyo mnaanza kujenga lini?
Itakapofikia wakati wake.

Stay calm.

We jipange tu ujue utanufaika vipi na ujenzi wa bandari.

Ila wazo la kufikiri unaweza/mnaweza kuzuia achana nalo kabisa.

Kaombe uwe hata kibarua/saidia fundi ili walau upate chochote kitu.
 
Najua inawauma sana kuona mradi anautekeleza mama. Umeona utafute namna ya kuonyesha mradi huu bila JPM usingefanyika?? Pole sana, mradi ulikua ushapangwa kwenye mpango wa taifa whether kwa ubia au pesa za ndani ungefanyika tu.

Tatizo lenu mlidhani miradi haiwezi kufanywa na mtu mwingine asiyeitwa JPM...... 🤣🤣🤣.
 
Nashangaa tu, kwa mawazo kama haya!
It's hard to believe!
You know nothing kwenye uchumi
[/QUOTE]
Sijaona chochote cha kunishawishi kwamba wewe unaelewa lolote kuhusu uchumi.
Unachofanya ni kuimba tu nyimbo kama kasuku za hao wakoloni wapya wanaotafuta njia mpya za kuendelea kuitawala dunia kiuchumi.

Ulikwenda shule kukariri tu, unayoambiwa, bila kujiongeza kwa lolote!
 
Waanze na upembuzi wa ujenzi wa reli, siyo wanakuja jenga limradi likuuubwa alafu maroli yanakuja kuharibu barabara kizembe tu.

SGR kipande cha kutoka bagamoyo mpaka Morogoro kianze wakati mnaendelea na ujenzi wa hiyo bandari.
 
Makataba wa ujenzi wa bandari hii uwekwe wazi kwanza. Tusifurahie tu bandari inajengwa what is within a contract agreement
 
You know nothing kwenye uchumi
Sijaona chochote cha kunishawishi kwamba wewe unaelewa lolote kuhusu uchumi.
Unachofanya ni kuimba tu nyimbo kama kasuku za hao wakoloni wapya wanaotafuta njia mpya za kuendelea kuitawala dunia kiuchumi.

Ulikwenda shule kukariri tu, unayoambiwa, bila kujiongeza kwa lolote!
[/QUOTE]
Huwezi muelewa Mchumi Kwa akili za historia au kukariri matrix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…