shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Nachokiona ni chuki moyon mwako. Kuna Haja gani ya kuitaja burigi [emoji2369]Habari ndugu Wana jukwaa.
Ile ndoto ya Mwendazake kuifanya Chato kuwa Mkoa inaonekana kugonga mwamba Kama sio kuota mbawa kabisa kufuatia Mikoa Jirani Kugoma.
Taarifa kutoka huko Kigoma,Mwanza na Kagera Ni kwamba Wananchi wamekataa maeneo Yao kuwa sehemu ya Mkoa mpya wa Chato hivyo kuzika rasmi wazo la Mkoa wa Chato/Burigi Chato [emoji23][emoji23].
Mie Ni mjumbe tuu ,someni wenyewe hapa [emoji116]
Hapo kuna upumbavu hupi, Magufuli kufanya kwao alikotokea kuwa Mkoa,Mbona hata Wachaga walimwomba Samia Moshi uwe Mkoa,hapo sikusikia makelele kama haya kisa Wachaga?Sioni tatizo chato kuwa Mkoa labda kwasababu alikuwa anatokea Magufuli.B
Hivi wewe bado hujaona tatizo la Magufuli kwenye hilo la kutaka kuundwa mkoa wa Chato?
Wadau hapa JF wanasema Chato haina sifa zozote za kuwa mkoa, Magufuli alipanga kuifanya Chato kuwa mkoa kwa sababu Chato ni nyumbani kwake. Na huo ndio upumbavu wa Magufuli unaopingwa.
Hapo kuna upumbavu hupi, Magufuli kufanya kwao alikotokea kuwa Mkoa,Mbona hata Wachaga walimwomba Samia Moshi uwe Mkoa,hapo sikusikia makelele kama haya kisa Wachaga?Sioni tatizo chato kuwa Mkoa labda kwasababu alikuwa anatokea Magufuli.
Badala wadai kwa vigezo wao wanadai kwa sababu za kijinga..tatizo ni kwamba wanaodai Chato kuwa mkoa wanataka kumtukuza na kumuenzi Magufuli tu, sio kwasababu wananchi wanahitaji huo mkoa.
Kuna mdau kasema hapo juu,yote hiyo ni siasa tena naongezea za umbumbumbu.Kuna umuhimu wake mkuu,binafsi nimeona impact ya kuugawa mkoa wa Mbeya na kuupata Songwe......kuna baadhi ya wilaya zilisahaulika kama Ileje,now angalau zimefikiwa na maendeleo
Hawa watu wanachuki binafsi na Magufuli akuna kingine unakuta Mtu anatoka Biaramulo anafuata uduma Bukoba njini ambapo ni mwendo wa masaa zaidi ya 7 hawezi kwenda na kurudi siku hiyo hiyo,sasa Biaramulo ikimegwa kudogo ikapelekwa Chato ambapo ni karibu kuna ubaya gani?
Hivi ni huduma gani katika zama hizi za mawasiliano ambazo zitatakiwa kuwepo makao makuu ya mkoa na yasiwepo wilayani,katani hadi ngazj ya chini kabisa ya mtaa na vijiji.kutenga mikoa ni kulaisha uduma za jamii baada ya kutumia Siku mbili unafatilia uduma,utumie masaa tu,nimekutolea mfano kutoka Biaramulo mpaka Bukoba ambapo ni makao makuu ya mkoa ni zaidi ya masaa 8 hapo haujatokea vijiji vya mpakani,lakini kuja Chato inaweza kuwa masaa 3,sasa mtu kama huyu asili inamsadia nini?
Tumieni hivyo vyanzo vya mapato mjenge nyumba zenu msije kutuletea upuuzi wa kuiba kodi zetu tena!Mengi tu, samaki, dhahabu, misitu na mbuga ya wanyama.
Wewe unalipa kodi gani. Michosho tuTumieni hivyo vyanzo vya mapato mjenge nyumba zenu msije kutuletea upuuzi wa kuiba kodi zetu tena!
Amina.
Huyu ndio chaguo la Mungu na sio yule Ibilisi mwenye kauli za kishenzi.
Eti kaa na mavi yako
Kumbe unachungulia kapuni wewe jambazi mkubwa. Kijukuu cha jambazi muuaji mchawi aliyepigwa na muumba March 2021Wewe unalipa kodi gani. Michosho tu
Nawajua mafashisti na wengine waliokuwa na mawazo mgando, huwa wanafikiri Mungu kawabarikia, Wanapenda kweli kudai na wenzao wamebarikiwa pale Ujambazi wao Ukihalalishwa.SUKUMA gang wana uhasama na mama, lakini wacha Mungu na wasiotaka perepeche wanasimama na mama
Badala wadai kwa vigezo wao wanadai kwa sababu za kijinga
Za kumuenzi Mwendazake na legacy za kipuuziTaja hizo sababu? Usitumezeshe upuuzi. Sababu gani hizo za Kijinga?
Ndiyo wakome.Asingekufa yule Bwana Chato ingelikuja kuwa Nchi huru inayojitegemea Kama Ukrain au Slovenia.Habari ndugu Wana jukwaa.
Ile ndoto ya Mwendazake kuifanya Chato kuwa Mkoa inaonekana kugonga mwamba Kama sio kuota mbawa kabisa kufuatia Mikoa Jirani Kugoma.
Taarifa kutoka huko Kigoma,Mwanza na Kagera Ni kwamba Wananchi wamekataa maeneo Yao kuwa sehemu ya Mkoa mpya wa Chato hivyo kuzika rasmi wazo la Mkoa wa Chato/Burigi Chato ππ.
Mie Ni mjumbe tuu ,someni wenyewe hapa π
Loh!Jivi wewe upo Ulimwemgu gani? Hivi ni lini wachaga waliomba Moshi uwe mkoa.Hapo kuna upumbavu hupi, Magufuli kufanya kwao alikotokea kuwa Mkoa,Mbona hata Wachaga walimwomba Samia Moshi uwe Mkoa,hapo sikusikia makelele kama haya kisa Wachaga?Sioni tatizo chato kuwa Mkoa labda kwasababu alikuwa anatokea Magufuli.
Za kumuenzi Mwendazake na legacy za kipuuzi
Ila kiongozi aliyekuwa madarakani hakulazimishaWakati mnaigawa Rukwa Magufuri alikuwa Rais ? Au wakati mnaifanya Njombe yenye watu laki nane kuwa mkoa ni Magifuri ndiye aliyeidhinisha ?