Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Tuache unafiki wa kihistoria sababu ya udini kuna masalia mangapi ya wayahudi waliokimbia ukimbizini nchi za kiarabu baada ya kuvamiwa na kutolewa pale na warumi na makhalifa wa kiarabu na waturuki?????
Ina maana unadhani mauaji ya halaiki ya wayahudi yalianzia kwa wahispania na wajerumani na warumi pekee????
Unajua makhalifa wa kiarabu walichokua wanawafanyia wayahudi waliokataa kua waislamu??????
Mkuu nimekuwekea na ushahidi wa video kabisa za marabbi wa kiyahudi wakizungumzia namna walivyoishi kwa amani na upendo kwenye nchi za kiarabu wakati kwenye nchi za Ulaya (Kikristo) hawa chosen people walikua wanafukuzwa na kufanyiwa mauji ya kimbari.


The historical journey of the Jewish people over the past thousand years A series of short histories relating to community relations with Jews over the past thousand years.


1080 - Expelled from France.

1098 - Expelled from the Czech Republic.

1113 - Expelled from Kievan Rus (Vladimir Monomakh).

1113- Massacre of Jews in Kiev.

1147 - Expelled from France.

1171 - Expelled from Italy.

1188 - Expelled from England.

1198 - Expelled from England.

1290 - Expelled from England.

1298 - Expelled from Switzerland (100 Jews executed by hanging).

1306 - Expelled from France (3,000 burned alive).

1360 - Expelled from Hungary.

1391 - Expelled from Spain (30,000 executed, 5,000 burned alive).

September 17, 1394 - Expelled from France.

1407 - Expelled from Poland.

1492 - Expelled from Spain (law banning Jews from entering the country forever).

1492 - Expelled from Sicily.

1495 - Expelled from Lithuania and Kiev.

1496 - Expelled from Portugal.

1510 - Expelled from England.

1516 - Expelled from Portugal.

1516- Laws in Sicily allow Jews to live only in ghettos.

1541 - Expelled from Austria.

1555 - Expelled from Portugal.

1555-A law is passed in Rome allowing Jews to live in ghettos only.

1567 - Expelled from Italy.

1570 - Expelled from Germany (Brandenburg).

1580 - Expelled from Novgorod (Ivan the Terrible).

1592 - Expelled from France.

1616 - Expelled from Switzerland.

1629 - Expelled from Spain and
Portugal (Philip IV).

1634 Expelled from Switzerland.

1655 Expelled from Switzerland.

1660 - Expelled from Kyiv.

1701 Completely expelled from Switzerland (Edict of Philip V).

1806 - Napoleon's Ultimatum.

1828 - Expelled from Kyiv.

1933 - Expelled from Germany and genocide.



Kinachokusumbua wewe ni Islamphobia tu.
 
View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago

Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!

Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
kama magaidi ya hamas yamemuua Mtanzajia Joshua na mwendake Clement kwa ukatili namna ile, hakika wafute kabisa na shule, yaishi tu kama manyani kwenye mahema ya ukimbizini huko jangwani. futa kabisa.
 
Hamas anadili na idf, na anawakanda kweli kweli
Idf wao wanauwa innocent people

So, wengi wenu mpo kichuki, na kufurahia mauwaji ya wasio na hatia

Kweli kama huna imani ni mtihani mkubwa sana. Najivunia sana kuwa Muislamu, kuwa muislamu ni neema kubwa. Alhamdu Lillah
Hakuna neema kubwa zaidi unayoweza kupewa binaadam kama kua Muislam
Uislam ni zaidi ya neema iliotukuka kabisaaa
 
Tuache unafiki wa kihistoria sababu ya udini kuna masalia mangapi ya wayahudi waliokimbia ukimbizini nchi za kiarabu baada ya kuvamiwa na kutolewa pale na warumi na makhalifa wa kiarabu na waturuki?????
Ina maana unadhani mauaji ya halaiki ya wayahudi yalianzia kwa wahispania na wajerumani na warumi pekee????
Unajua makhalifa wa kiarabu walichokua wanawafanyia wayahudi waliokataa kua waislamu??????
Ndio unatakiwa uweke ushahidi wa hao makhalifa walivyokua wanawafanyia hao wayahudi sio unatuletea porojo tu na chuki zako dhidi ya waislam.
Halafu ulivyokua haujielewi unasema kabisa baada ya kuvamiwa na waarabu na kuteswa wayahudi wakakimbilia kwenye nchi za kiarabu.
Yaani mwarabu akutese katika nchi yako halafu wewe uende katika nchi hiohio ya mtesi wako ukapate amani?
Mimi nimekuwekea ushahidi hapa chini Video ya Rabbi wa kiyahudi anaelezea jinsi wayahudi walivyokua wanaishi kwa amani katika nchi za kiarabu kuliko sehemu nyingine yoyote duniani.
Mpaka leo wayahudi wapo kibao Yemen wanaishi kwa upendo na amani na hawataki hata kurudi nchi ya ahadi licha ya kubembelezwa kwelikweli na kina Netanyahu.
Hizo chuki unazozieleza hapa kuhusu waarabu ingekua ni kweli kwa mauwaji ya kimbari yanayoendekea kufanywa na waisrael dhidi ya wapalestina basi Wayahudi wa Yemen wangekua wanauliwa kila siku ili kulipa kisasi, lakini kwa kua waarabu wa Yemen ni watu waadilifu wanajua wayahudi wa Yemen hawahusiki wanawaacha waendelee kula bata halafu wao wanapambana na mazayuni ya hukohuko Israel.
 
kama magaidi ya hamas yamemuua Mtanzajia Joshua na mwendake Clement kwa ukatili namna ile, hakika wafute kabisa na shule, yaishi tu kama manyani kwenye mahema ya ukimbizini huko jangwani. futa kabisa.
Nenda kawasaidie
Maana hizi kelele kelele tu za kwenye kibod haziwasaidii
Mazayuni yanalia lia huko endelea kupiga piga tu kelele hapa...!!
 
Nenda kawasaidie
Maana hizi kelele kelele tu za kwenye kibod haziwasaidii
Mazayuni yanalia lia huko endelea kupiga piga tu kelele hapa...!!
mazayuni yanalia wakati wapalestina zaidi ya 25,000 wameshapelekwa kuzimu? na magaidi rundo, wengine wamekamatwa wengine wameuawa. majengo yote yamevunjwa na lile eneo wana mpango wapalestina wasirudi tena, wanaanza kujenga majengo yao. wanalia nini sasa?
 
Screenshot_2023-12-19-08-30-14-427_com.instagram.android.jpg
 
Ndio unatakiwa uweke ushahidi wa hao makhalifa walivyokua wanawafanyia hao wayahudi sio unatuletea porojo tu na chuki zako dhidi ya waislam.
Halafu ulivyokua haujielewi unasema kabisa baada ya kuvamiwa na waarabu na kuteswa wayahudi wakakimbilia kwenye nchi za kiarabu.
Yaani mwarabu akutese katika nchi yako halafu wewe uende katika nchi hiohio ya mtesi wako ukapate amani?
Mimi nimekuwekea ushahidi hapa chini Video ya Rabbi wa kiyahudi anaelezea jinsi wayahudi walivyokua wanaishi kwa amani katika nchi za kiarabu kuliko sehemu nyingine yoyote duniani.
Mpaka leo wayahudi wapo kibao Yemen wanaishi kwa upendo na amani na hawataki hata kurudi nchi ya ahadi licha ya kubembelezwa kwelikweli na kina Netanyahu.
Hizo chuki unazozieleza hapa kuhusu waarabu ingekua ni kweli kwa mauwaji ya kimbari yanayoendekea kufanywa na waisrael dhidi ya wapalestina basi Wayahudi wa Yemen wangekua wanauliwa kila siku ili kulipa kisasi, lakini kwa kua waarabu wa Yemen ni watu waadilifu wanajua wayahudi wa Yemen hawahusiki wanawaacha waendelee kula bata halafu wao wanapambana na mazayuni ya hukohuko Israel.View attachment 2846932
Huyo Islamophobia imemjaa hawez kukubaliana na wewe ingawaje anakuelewa sana
Unapigia mbuzi gitaa ila sio mbaya endelea anaweza akakuelewa
 
mazayuni yanalia wakati wapalestina zaidi ya 25,000 wameshapelekwa kuzimu? na magaidi rundo, wengine wamekamatwa wengine wameuawa. majengo yote yamevunjwa na lile eneo wana mpango wapalestina wasirudi tena, wanaanza kujenga majengo yao. wanalia nini sasa?
Screenshot_2023-12-19-08-30-14-427_com.instagram.android.jpg

Anajilazimisha kufurahia lakini takwimu zinamkataa......na hii imetolewa na Aljazeera ambao ni vibaraka wao......
 
Mkuu tatizo la waislamu na waarabu ni unafiki wa kihistoria linapokuja suala la wayahudi na kuna vipengele wanaviruka kimakusudi na kinafiki
Waislamu walikaa kwa amani na wayahudi sababu walikua wana watawala enzi za makhalifa na ottoman empire....na walianza chuki pale tu wayahudi walioanza harakati za kurudisha himaya zao.
NB: MUISLAM AU MWARABU ATAKAA KWA AMANI YA KINAFIKI NA WEWE KAMA UNAMZIDI NGUVU...
NJE YA HAPO ANGEPENDA WEWE UWE MTUMWA NA KIJAKAZI WAKE KISA ANAKUITA KAFIR

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa hio NB: yako mbona unajikanganya mwenyewe?

JUU - unasema Waislamu walikaa kwa amani na wayahudi sababu waislamu ndio walikua watawala enzi za makhalifa na ottoman empire.

CHINI unasema MUISLAM AU MWARABU ATAKAA KWA AMANI YA KINAFIKI NA WEWE KAMA UNAMZIDI NGUVU...
NJE YA HAPO ANGEPENDA WEWE UWE MTUMWA NA KIJAKAZI WAKE KISA ANAKUITA KAFIR"

Hivi najadiliana na mtu timamu au ndio napigizana kelele tu na mwendawazimu?
 
mazayuni yanalia wakati wapalestina zaidi ya 25,000 wameshapelekwa kuzimu? na magaidi rundo, wengine wamekamatwa wengine wameuawa. majengo yote yamevunjwa na lile eneo wana mpango wapalestina wasirudi tena, wanaanza kujenga majengo yao. wanalia nini sasa?
Endeleeni na mipango yenu
Hamas kamatieni hapo hapo mupo kwenye mkondo sahihi
Lini unaenda kuwasaidia mazayuni wenzio
 
Endeleeni na mipango yenu
Hamas kamatieni hapo hapo mupo kwenye mkondo sahihi
Lini unaenda kuwasaidia mazayuni wenzio
kwani unafikiri vita inaisha, Israel wamesema hadi hamas wote wafe ndio watasitisha. wala hakuna anayekimbia.
 
Huyo Islamophobia imemjaa hawez kukubaliana na wewe ingawaje anakuelewa sana
Unapigia mbuzi gitaa ila sio mbaya endelea anaweza akakuelewa
Hapana siendelei tena nishahisi ninaejadiliana nae ni mtu ambae shingo yake imebeba tu box la chuki.
 
kwani unafikiri vita inaisha, Israel wamesema hadi hamas wote wafe ndio watasitisha. wala hakuna anayekimbia.
Hamas wanakwambieni piganeni tu ila mwisho mtakimbia wenyewe
Kule Qatar mmerejelea tena kutafuta nini piganeni
Shida watu wanapigana vitani nyie mnaoana wanaume kwa wanaume hapa ndio shida huanzia kwenu
 
Back
Top Bottom