Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Hapana siendelei tena nishahisi ninaejadiliana nae ni mtu ambae shingo yake imebeba tu box la chuki.
Heheeee
Hajitambui nilimramba block huyo jamaa tokea Russia vs Ukraine kule
Maana hajawahi kua na hoja zaidi ya vihoja uchwara
 
Ningekuwa mods ungekula ban ya milele. Shuaini zako wameuwawa watamzania wawili bila hatia unaleta porojo za udini hapa kisa hawakuwa wa dini pendwa yako.
Mpuuzi huyo hana hata ya kumjibu lolote
 
Unauwa wasio na hatia kweli, ukisaidiwa na wamagharibi 😁 hebu Niwekee ya hamas kama wewe ni kidume 😄
Screenshot_2023-12-19-08-35-12-450_com.instagram.android.jpg
 
Hamas wanakwambieni piganeni tu ila mwisho mtakimbia wenyewe
Kule Qatar mmerejelea tena kutafuta nini piganeni
Shida watu wanapigana vitani nyie mnaoana wanaume kwa wanaume hapa ndio shida huanzia kwenu
unavyoongea utafikiri upo gaza. Imagine ubabe wote ule, kibri chote kile, kujifanya miamba kwa raia wasio na silaha, leo wanaenda kuliwa kabang na mazayuni. hofu zimewajaa, hawajui wataamkia wapi. na gazeti moja la israel limeandika wengi wa hao wamefia lock up. hatujui wamefia nini.
View: https://twitter.com/i/status/1736808590135243181
 
View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago

Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!

Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
anayeua ndugu yako ni adui yako ila ndio Ivo Tena Imani imetufanya mapimbi
 
Back
Top Bottom